Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

blessings

Anapata nani mfanya au mfanywa?
 
Last edited by a moderator:
....

Kwa wale "wazamiaji" ndio wajihadhari na kansa za makoo....[smh]
 
Hii nimeisikia katika mojawapo ya hizi redio zilizojaa Bongo. Wanasema vijana wanateketea kwa kansa/saratani ya koo. Na wamesema ngono za mdomo ndio zinachangia kupata hizi saratani.

Haya wale tunaodhani ngono ni kila kitu katika mapenzi tufikirie upya kuhusu mambo tunayofanya huko vyumbani. Watu wako bize kulamba sehemu ambazo ukifiria.....dah. Ngoja niwaachie wadau muendelee.

Karucee, watu8 nawaomba mje hapa tusaidiane kuokoa jahazi. Nimewaita nyie kwa sababu ya uzoefu mlionao kwa vijana wa mjini. Baada ya kusema hayo wengine wote tujumuike hata kama sikuwataja.
 
Last edited by a moderator:
Tunakuja kaka, namsubiri jirani yangu watu8 anipitie.
 
Last edited by a moderator:


Naona Dr. umeamua kuwa mpiga Ramli?
 
Tafadhali fanya upekuzi /research kwanza kabla kufungua mdomo....wakati mwingine mnakurupuka bila kuelewa jambo kwa mapana...fanya research,read then utakuwa na broader knowledge on issues na hautahitaji kuuuliza maswali kama haya.
Hii ina maana hausomi kwa mapana....wanyama pia wana same-sex thing ila most of them only have sex for procreation(propagating species) and not for fun/enjoyment.
Humans have sex 90% of the time for fun/enjoyment/recreation and only a small percentage for procreation(birth).
 

Ninamashaka na hiyo picha kwenye avatar yako...kwani ungekuwa daktari ..ungekuwa umeelimika na kujua kua wanyama wapo tu wengi ambao hufanya mapenzi ya jinsia moja...unatia aibu sana..Ndo maana watu hawaamini professionals wa vijiweni.
 
Wanagongana kinoma.kuku wakiongoza manake wao hawana k kila kitu ni hapohapo mapenzi romance uzazi haja kubwa haja ndogo nk nk ! Yani kwa kifupi mkundi wa kuku ni multi functional
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…