Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Usije kuta tayari keshamfumua huyu! dah pole sana mdada
 
Kumuingilia Mkeo kinyume na Maumbile hakuleti kwako wewe mfanyaji heshima kwa mkeo bali kunaleta wewe kwako mfanyaji dharau kwa mkeo. ukiwa unapenda kumuingilia mkeo kwa kinyume na maumbile basi hata siku akikusaliti mkeo na yule atakae mpelekea atampa hiyo tigo uliye anzisha wewe kazi yake .Kwa hiyo usifanye kabisa kitendo hicho.

MADHARA SABA KWA MWANAMKE AKIINGILIWA KINYUME CHA MAUMBILE


1.Mwenyeezi Mungu humchukia sana mtu huyo (Mfanyaji Mwanamme na Mfanywaji mwanamke)


2.Mwanamke anayefanyiwa mchezo huu hupata matatizo makubwa wakati wa kujifungua ikiwa ni pamoja na kutokwa na haja kubwa mfululizo wakati akijaribukumsukuma mtoto.
Tukio hili humsababishia aibu kubwa mwanamke, kiasi cha kumshushia hadhi yake mbele ya jamii.


3.Pia anaweza kumuua mtoto kwa vile kila akimsukuma atoke, pumzi hukata kutokana na misuli inayofahamika kwa jina la ‘sphincter’ kulegea na kusababisha ambane mtoto.


4. Umri unaposonga, haja kubwa hutoka bila kizuizi kutokana na misuli ya sphincter inayobana njia ya haja kubwa kulegea.


5. Inaweza kusababisha saratani ya eneo hilo ‘cancer of colon’.


6. Ugonjwa wa UTI, yaani uambukizi kwa njia ya mkojo, huwa sugu, maana akitokea mwanaume alifanya kitendo hicho kisha akafanya ngono kama kawaida, bakteria wanaoishi sehemu hiyo wanaingia na kuwa na madhara makubwa.


7. Hasara yake kubwa mwanaume anayekufanyia mchezo huwa hawezi kukuoa, pia ni rahisi kukutangaza kwa jamaa zake na kuonekana kituko mbele za watu, kama umeolewa heshima yako hupungua ndani ya ndoa.

Mchezo mchafu sana chunguza hawa jamaa zetu wa asili ya arabbia wake zao wengi hujifungulia nyumbani na wana wakunga wao maalumu coz huo mchezo wanaufanya sana na wake zao.
 
watu wanabadilisha ukweli wa Mungu kutokana na tamaa za miili yao......Mungu aturehemu.....

Mimi nishajiwekea mipango ya maisha yangu kwenye mahusiano, sitaki yapingane na Mungu kwa kufanya yale ambayo Biblia imesema si vyema kuyatenda
 
kwa hiyo ubongo wako katika ubora wake umefikia hapo kufikiria. Namuonea huruma mkeo.
 
wadau kwa sisi ambao tumekuta wake zetu hawana tena bikra,kuna haja ya kumfumua marinda ya nyuma ili kujenga heshima na kumbukumbu au unamsamehee bure,uendelee kula makombo?

huna adabu we mtoto, how come unafikiria huo ujinga mods mko wapi sikuhizi?mpaka watu walete mambo ya kina komba na machemli ndo mnatoa ban?
 
wadau kwa sisi ambao tumekuta wake zetu hawana tena bikra,kuna haja ya kumfumua marinda ya nyuma ili kujenga heshima na kumbukumbu au unamsamehee bure,uendelee kula makombo?

Ni upumbavu
Ni upumbavu
Ni upumbavu
Ni ujinga
Ni ujinga
Ni ujinga
Ni uwendawazimu
Ni uwendawazimu
Ni uwendawazimu
 
Zaa wa kwako utamkuta nayo iyo bikra ila usisubiri akafika darasa la 5 bado utaikosa
 
Kweli wewe una kipururu mxuuuuuu!!!
Utaanzwa kufumuliwa wewe, hebu tumia akijili Loh.
 
wadau kwa sisi ambao tumekuta wake zetu hawana tena bikra,kuna haja ya kumfumua marinda ya nyuma ili kujenga heshima na kumbukumbu au unamsamehee bure,uendelee kula makombo?

Mkuu hao watoto ulionao wametokana na huyo mama[mke] wako. Hivyo huyo mama mheshimu sana, unachotaka kufanya ni unyama, ambao hata wanyama hafanyi.
 
fumua marinda wife ...huo ndo mpango mzima sio unakaa kaa sitting room unajichekesha tu bila utaratibu ....mxxx
 
wadau kwa sisi ambao tumekuta wake zetu hawana tena bikra,kuna haja ya kumfumua marinda ya nyuma ili kujenga heshima na kumbukumbu au unamsamehee bure,uendelee kula makombo?
walahi0†7 Nisaikum harithirakum! Ila haram ule uchu wa mara fm mara sm, walahi utakufa na janaba!
 
mkuu shule mnafungua lini..? et form za kujiunga na form5 kwa shule za serkali zmetokaa? mjali tumbo
 
Last edited by a moderator:
fumua marinda wife ...huo ndo mpango mzima sio unakaa kaa sitting room unajichekesha tu bila utaratibu ....mxxx

Kwahiyo wewe unataka akicheka kicheko kiendane na nnya.Mafirauni muda wote mnafikiria kufanya dhambi tu.
 
Back
Top Bottom