Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

kweli bwana hii hali ya 'tigo' imezidi kushika anga hapa Tanzania,kwa mfano hapa ofisini kwetu kuna jamaa huyo kaowa mwaka jana tu lakini sijui kama anamla tigo mke wake au la kwa sababu kabla ya hapo jamaa alikuwa mchafuzi kuanzia kwa wanafunzi wa secondary hadi kwa wake za watu naye alikuwa anajisifu kuwa hawezi kutembea na mwanamke bila kumla tigo na hili nililithibitisha mwenyewe kwani mafuta ya KY yalikuwa hayakosi kwenye gari lake pia kuna wake za watu wawili nasikitika kusema kuwa aliwala tigo ila aligonga mwamba kwa mwanamke wa tatu kwani ulitokea ugomvi hadi sasa hawaongei,alimfira kwa nguvu hadi akachanika ****** ,aliokolewa na wahudumu wa gesti na huko ndo nilipata habari ikabidi siku moja nimuulize huyo mwanamke ni kwa nini hawasalimiani na huyo jamaa,huyo mwanamke alichonijibu kilikamilisha upelelezi wangu,kwani alisema 'MIMI NA WATU WA MOMBASA MBALIMBALI'

Pia kuna wanawake kufirwa ni jadi kwani utamkuta mwanake kaolewa lakini ile mumewe kumtia kidole tu au kugusa tigoni unakuwa ugomvi,ila unakuta ana bwana mwingine nje tena anayejisifia kuwa anamfira vizuri.

HIZI NI NYAKATI ZA SODOMA NA GOMOLA ZINARUDI

 
Bishanga, mbona hajahukumu bali ametoa benefit of doubt? Swali ni je, unaona ni sahihi?
King'asti kinachonikera mimi ni tabia iliyokithiri mmu ya mtu mmoja kutaka wana mmu wote tuishi kwa standards zake na tuhukumiwe kwa standards zake,why,inahuu? Bishanga duniani nimekuja kivyangu nitaondoka kivyangu na kama ni hukumu thats a private matter between me and my maker.
 
Mtoa mada umekosea kuandika heading navyo dhania, mana kila anaye ingia humu ataonekana anapenda kula nyaa.

Ok sasa turudi kwenye thread yako mimi nakunga mkona 100%

Kitu kimoja huwa nakaa najiuliza kwanini hata Jogoo hajawahi kokosea step anapo mpanda kuku akiweka vitu ndani haweki nyuma, anaweka mbele siku zote...afu we tazama kichwa cha jogoo afu utazame cha binadamu...Hapo ndo utajua si hoja ukubwa wa kichwa ukadhani na ubonko wa akili utakuwa mkubwa :biggrin:
 
ndefu sana! afu kuna mijitu inakera zaidi! ana kot sred loote! arrggg!!
 
Nimekusoma, nimejitahidi kukuelewa, usinihusishe na kundi lolote kati ya uliyoyapanga. tuweke wazi katika hili, hivi ufiraji ulianza lini na wapi, jamii itajadili ikijua imeanzisha mbio au imepokea kijiti. kwenye swala la hiyari ya moyo, swali la ,unajisikiaje, lina lenga kutoa mafunzo kwa wasiojua kupitia shuhuda za washiriki wa kifiro au kukemea kiaina, wadhani watajiona wajinga na kughairi, unadhani hawakatazwi na vitabu vyao vya dini? au unafikiri hawaulizwi maswali magumu juu ya nafsi zao.
 
I do judge things in this way, labda niwashirikishe, tukihukumu basing on right or wrong, mambo mengi sana ni wrong. . .even the point of having sex before marriage is wrong, na tutambue kua kosa ni kosa that is what I believe yote kwenye mizani yana kipimo kimoja 'wrong' there is no intermediate. Ukibase kwa analysis ya 'right-wrong' ideology mambo mengi tunafanya sana 'wrong' hata kama si hili la mtoa mada, but kama mtoa mada na wewe ukute kwa mfano, unafanya mapenzi kabla ya ndoa nayo hii kwa upande wangu halina tofauti na mada yako, viko kundi moja. tujaribu kuangalia je jambo lolote ni 'reasonable' sasa kiswahili chake hapo ndo pananishinda, nafkiri tafsiri ya karibu ni je ni 'cha msingi' kwa upande wangu anal sex is NOT reasonable, to some people it seems it is. But naomba tukichangia tusiangalie right-wrong situation but rather reasonability.
Nawasilisha.
 

NI WAPI NIMETOA HUKUMU? NIMESEMA WEWE KAMA NI MDAU WA MATENDO HAYA, THEN UJIHOJI NA KUONA KAMA NAFSI YAKO IKO HURU NA UNAYOYAFANYA, THEN UCHUKUE HATUA MWENYEWE. JE, NI WAPI IMEWEKWA AMRI KWAMBA KAMA KUNA TATIZO NA NI PRIVATE, THEN WATU WASILIONGELEE? WEWE KWA NAFASI YAKO HAUONI NI KWA NAMNA GANI WATOTO WETU NA NDUGU ZETU WANAATHIRIKA NA HUU UCHAFU?

NI MARA NGAPI TUMEWEZA KUONA WATU WAKILETA HOJA HAPA JF ZA KUJUTIA NA KUUMIA SANA KWA YALE WALIYOTENDEWA NA WANAUME WENYE NAFASI KUBWA KTK MASHIRIKA MBALIMBALI ILI KUMDHALILISHA HUYU BINTI KWASABABU YA KUPEWA VYEO? JE KTK HILO TUKAE KIMYA WKT WATU KAMA HAO WAMEWASHAURI HATA KWENDA KUONANA NA WANASAIKOLOJIA KWA AJILI YA USHAURI.

Pia naomba nikufahamishe kwamba mimi sihukumi mtu humu lkn nimesema kila mtu anayehisi kuguswa kwa namna moja na hili suala, afikirie na kuona nafsi yake iko huru kiasi gani na hiki anachokifanya? kama ni vibaya, then na aache mara moja. Mimi nimelisemea kwani ni tatizo katika jamii yetu. Sijatoa hukumu na wala sina mamlaka ya kuhukumu, kwani hiyo ni kazi ya MWENYEZI MUNGU pekee.

Hatahivyo, hatuwezi kukaa kimya kwa kisingizio kwamba ni private issues? ni mara ngapi hapa JF tumeweza kuwashauri watu kuhusu mambo mbalimbali ya mahusiano ambayo ni private issues? mbona hata siku moja sijakuona ukijitokeza hapa na kuwaambia wale wahitaji kwamba hizo ni private issues hivyo hatupaswi kushauriana?


Ndugu yangu Bishanga, ulipoposti thread yako kuhusu namna nzuri ya madada kuchuna mabuzi (waume za watu) hukusikia personal attack kutoka kokote na hata kwangu, sasa wewe unakimbilia mambo ya hukumu hapa, nani kakuhukumu? wewe kama ni mdau wa huu uchafu, ni jukumu lako kujihoji na kuchukua hatua kwani jaribu kufikiria kama ni Mkeo au Binti yako ndiyo mtu anafanya naye mapenzi sehemu ya haja kubwa je wewe waona ni salama? na kama siyo salama ni kwanini wewe unawafanyia wake na mabinti za watu wengine?

Na katika huu uchafu, wanaume ndiyo mara nyingi wanakuwa wa kwanza kutumia nafasi zao kuwadhalilisha madada/mabinti na hata mama zetu. Na ni imani yangu wanaume wakibadilika hata mabinti/dada na wake zetu watakuwa salama.

Bishanga, hakuna hukumu hapa bali wewe fikiri then uchukue hatua.
 


Ahsante sana ndugu yangu kwa kuweza kuona hili tatizo.
 


Hapana ndugu yangu, siwezi kukuhusisha na kundi lolote lkn lengo la thread hii ni kujaribu kuhoji jinsi mtu anayeshiriki tendo hilo je anajisikiaje? je kwake anaona ni salama kumtenda/kutendwa hivyo? je anaona nafsi yake iko huru?
 

Ahasante kwa mchango wako. Lkn mada yetu kwa leo ni kufanya/kufanywa mapenzi kinyume na maumbile kwa dada zetu/mama zetu na hata binti zetu. Ukisoma kwa makini utagundua kwamba hapa sijaongelea hata mashoga/Lesbians, n.k; kwani naamini hizo nazo ni topic pana ambazo zinaweza kujadiliwa kwa nafasi zao bila kuunganisshwa hapa. Pia, hata hilo la kufanya mapenzi kabla ya ndoa nalo inaweza ikawa na topic/thread yake ili watu waichangie. Lkn katika hili focus yetu iwe kufanya mapenzi kinyume na maumbile (haja kubwa) kwa dada/mama na binti zetu.
 
Hapana ndugu yangu, siwezi kukuhusisha na kundi lolote lkn lengo la thread hii ni kujaribu kuhoji jinsi mtu anayeshiriki tendo hilo je anajisikiaje? je kwake anaona ni salama kumtenda/kutendwa hivyo? je anaona nafsi yake iko huru?

Wahusika wa tabia tunayoijadili huwa wameshashauriana na akili zao wakaegemea uamuzi wa ku-du, tukiwauliza wanajisikiaje! inakuwa kama tunaomba watushuhudie including furaha wanayoipata, naomba unijibu mara hii, hivi haya mambo yalianzia wapi na lini? ili tuwajue waasisi na wafuasi, jibu la swali hili yatasaidia kuboresha mjadala uliouanzisha.
 
anajisikia vzr tu ndo make hajawah kumuuliza mtu lina baki n siri ya kitanda kwn anaamini yupo sahihi! Kuna watu tunavuta sigara tunakunywa pombe wkt tunajua zina madhara mungu hapendi na matangazo yapo kila sehemu ni hali ya ubinadamu tu kwan binadamu anafanya mambo kwa reasoning
kama wewe unavyojiuliza unajisikiaje kufanya hiyo kitu ya ndogo na wao watakushangaa imekuaje unaweza ishi au fanya mapenz bila kufanyi hii kitu na ataona ka si kukwambia kuwa unapitwa na mengi kwa mtizamo wake ka ulivyoona kuwa ana roho ngumu mpk anafanya hvyo.
tusipende kuingiliana privacy za watu kama ambavyo watumiao hawajaingilia ya kwako!
Kila kitu kilichokatazwa ni kizuri mtazamo tu!
 
Na ni kwa nini pia sehemu safi wanatumia kinga ila sehemu chafu(mdomo) hawatumii kinga? Na hiyo ya kunyonyana ndimi ilitoka wapi? Ukijua ilipotoka utakuwa umejua kitu cha tigo kilipotokea na sababu za kudumu kwake duniani.
 

nimekuelewa kwamba kwako ni jambo zuri na ni privacy yako. kila la kheri.
 
Ukishapata majibu uanzishe sredi nyingine (ila isiwe ndefu, wengine tumezoea makalkuleshen tu..) uulize je pia ni sahihi kunyonyana vikojoleo?

hahahahahaaaaa......labda kuna sehemu Mungu alisema haya, nendeni mkanyonyane vikojoleo na mpate raha duniani.
 

Telo,umetumia neno 'uchafu' ukimaanisha ngono kiume cha maumbile ni 'uchafu', na kulamba je? Telo how do you make love? Huwa unalamba na kunyonya wapi mkuu,au wewe ni 'posta - kariakoo mwanzo hadi mwisho? hivi ni haki kweli wewe na mpenzi wako muelekezwe na bishanga namna ya kuto.....ana? Is that really our domain?In my opinion any sexual act enjoyed by two consenting adult partners is non of our business so long as it is done in private.Mkuu huo ndo msimamo wangu na ninaomba unisamehe kwa hilo.
 
Wanajamvi,
Naona wengi wa wachangiaji wanasemea sana suala la privacy, kwamba hili jambo ni privacy hivyo hakuna haja ya kuijadili. Mimi siamini katika hiyo privacy inayoongelewa hapa kwasababu huo uchafu haufanyi mwenyewe na badala yake unaufanya na dada/mama na binti zetu. Na wao ndiyo wanaoathirika kwa kiasi kikubwa na huu uchafu, kwani ni wanaume ndiyo wamekuwa waanzilishi wa huu mchezo mara nyingi katika mahusiano. Wewe kama hiki kiendo ungekuwa unajifanya mwenyewe muhusika, then isingetuumiza sana jamii, lkn kwasababu unaondoka na kwenda kuwashawishi wengine kwa kutumia nafasi yako na unafanya nao huu uchafu, then ni lazima tuliongele, kwani siyo wewe tu unayeathirika na huu uchafu bali na sehemu nyingine ya jamii. Kwahiyo, hii habari ya privacy isiwe sababu ya wewe kuendelea kufanya huu uchafu na huku wanaathirika sehemu kubwa ya jamii yetu.

Pia, nafarijika kwasababu wengi tu wamepita na kusoma hii thread na ukizingatia thread ilivyo; wote waliobahatika na watakaobahatika kusoma hapa wana kazi moja tu hata kama hawatachangia kwa kuandika lkn lengo la thread itakuwa imefanikiwa kwasababu watakuwa wanajiuliza na baadaye wataamua kuchukua hatua. Hii thread kuisoma na kuielewa ni muhimu kuliko kuandika; Maswali ni kama yafuatayo;
  1. JE, HUU UCHAFU NINAOSHIRIKI NI SAHIHI KWANGU?
  2. JE, NAJISIKIA AMANI NINAPOSHIRIKI MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE (SEHEMU YA HAJA KUBWA)?
  3. JE, KAMA HUU UCHAFU AKITENDEWA MKE WANGU/BINTI YANGU/DADA YANGU/MAMA YANGU NA MTU MWINGINE NI SAWA TU?
  4. JE, NI KWANINI NIONE SEHEMU YA HAJA KUBWA KUWA WA THAMANI KULIKO UKE ?
  5. JE, NI KWANINI NISHIRIKI HILI TENDO LA KINYUME NA MAUMBILE WKT HATA DINI ZA MABABU ZETU ACHILIA MBALI DINI ZA KISASA HAZIKUWAHI KURUHUSU HUU UCHAFU?
  6. JE, UJASIRI WA KUTEMBEA NA MAFUTA KWENYE GARI AU POPOTE KWA AJILI YA KUWAINGIALIA KINYUME NA MAUMBILE DADA/MAMA/BINTI/WAKE ZETU KWAKO NI SAHIHI?
  7. N.K
  8. N,K
Naamini wale wenye kupenda kujifunza watafanya hivyo na kuchukua hatua na si kubeza kwa kisingizio cha privacy wkt huo uchafu haujifanyii mwenyewe na badala yake utafuta wengine katika jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…