dangote mchunguzi
New Member
- Jul 4, 2015
- 4
- 0
Wanawake hamna namna mwanaume akiamua afanye chochote hamna namna ya kuresist bcoz hana control kwenye mapenzi labda jamaa awe boya
Kiruuu labda huyo mwanamke wako ila sio wote. Nyie mmekutana maibilisi so msituingize na sie malaika hata shetani anatufaham kuwa sisi sio wake kama ninyi.
mi naona sawa mkikubaliana,mbona nje anakuwa anatoa,makubaliano yanakuwa akikosea na wewe jifanye hujui na kama unaumia lia lia kimahaba akimaliza piga kimya,,,nb watu tunanyanya 071 mbona hawakatai?
Ushooo enging'asia naing'asia enaibung'i ngutukie
Wanawake hamna namna mwanaume akiamua afanye chochote hamna namna ya kuresist bcoz hana control kwenye mapenzi labda jamaa awe boya
Kiruuu labda huyo mwanamke wako ila sio wote. Nyie mmekutana maibilisi so msituingize na sie malaika hata shetani anatufaham kuwa sisi sio wake kama ninyi.
kweli mume wako anaeza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa????
kweli mume wako anaeza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa????
kweli mume wako anaeza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa????
roho mbaya tuSiku hiyo ndo atakayoniacha kabisa
Kwani kichwa kina macho mkuu. Sema kuna ile kugonga gonga ukuta wa 0713 katika kutafuta tundu usiku wa manane hzo zipo sa wngne wanatafsiri unataka umhondomole mtandao pendwa
Mkuu plz badilisha basi avatar yako jamani? Mi inanitisha kila siku lol!
Hahahah ngoja nikufikirie dah nikecheka kweli"
Plz do it for me, ntakupa kitu kizuri kuleee kwenye jukwaa letu koh!