Anaweza kabisaaa, i had a case, watu wako kwenye ndoa 7months,siku mume akamuomba nyuma na that was the end of it, mwanamke akasema hiyo kitu haiwezekani mimi ni Mkristo na hiyo hairuhusiwi, na kuanzia hapo matatizo yakaanza, tena aliona kama unsolvable kwake, and that is where procedure za talaka zikaanza na mwanamke akainitiate procedure vizuri tu. Nilisikitika cause ni miezi 7 tu, marriages are not easy, kuna mambo wanaume wanayafanya huko nje kama haya na kumletea mke wake,..another case the woman alikuwa analazimishwa kabisa, like raped kabisa...its a sad world we are living in, wanaume mtakaosoma hii, do not do that to anybody, au kuwasimanga wake zenu, kuwapiga, matusi, some remain kwa sababu ya vow and they pray trusting God for help, ila ni ngumu cause inategemea na imani ya mtu, ni ngumu sanaa, sio kila mtu anaweza, these things lead to depression, yani wanawake wengne wanachanganyikiwa kabisa, alafu ndio unamuacha..dah,maisha haya, its not easy kabisa