Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

ndio

watu wanabakwa kwene ndoa zao na vipigo na kulzimishwa kila aina ya uchafu lakini ukisimama tu na kusema basi utapewa kila aina ya neno
as if ndoa ni ticket ya kwenda mbinguni

Na hapa ndipo lilipo tatizo. Ndoa imekuwa tiketi ya unyanyasaji. Leo ni wachache sana wenye guts za kukataa na kusimama hadharani kusema kuhusu hili jambo.
 
Katika wanawake kumi, hesabu moja, mbili, tatu, nne wameshawahi kuliwa nyuma. Hii tabia imeota mizizi sana kwa sababu, wanaume wengi wanaiga mitindo hii bila kuangalia athari na wanawake nao wanadhani kwa kutoa penzi kinyume basi wanapemdwa zaidi.
Wadada wengi tu saivi wameharibiwa...

Kiukweli kabisa hawafanyi hivyo kwa mapenzi yao. Asilimia kubwa wanafosiwa wengine wanabakwa.
 
Kiukweli kabisa hawafanyi hivyo kwa mapenzi yao. Asilimia kubwa wanafosiwa wengine wanabakwa.


Naona unatetea kwa kigezo cha kubakwa. Nasimamia hoja yangu kuwa ulilmbukeni wa wadada wengi unawa cost miaka hii. Unakubali kumridhisha/kumfurahisha mtu kwa kigezo cha kumpa nyuma...naamini kabisa, hata ndani ya ndoa, kwa mwanamke anayejitambua hawezi kukubali kuliwa nyuma kwa kulazimishwa, sheria si zipo.. Iwe kanisani, msikitini au mahakamani- una haki ya kujitetea coz its illegal, unethical, immoral etc.

Wengi wenu mnapenda sana huo mchezo.
 
Naona unatetea kwa kigezo cha kubakwa. Nasimamia hoja yangu kuwa ulilmbukeni wa wadada wengi unawa cost miaka hii. Unakubali kumridhisha/kumfurahisha mtu kwa kigezo cha kumpa nyuma...naamini kabisa, hata ndani ya ndoa, kwa mwanamke anayejitambua hawezi kukubali kuliwa nyuma kwa kulazimishwa, sheria si zipo.. Iwe kanisani, msikitini au mahakamani- una haki ya kujitetea coz its illegal, unethical, immoral etc.

Wengi wenu mnapenda sana huo mchezo.

Sijakataa kwamba hawapo wanaopenda huo mchezo,wapo ila asilimia kubwa wanalazimishwa kuhusu swala la kushtaki hebu jiulize kuna wasichana wangapi wapo huko nje hawajui lolote kuhusiana na haki zao?
 
Kwakweli jinsi mambo yanavyoendelea inaelekuwa swala la kawaida kabisa kumfanya mwanamke kinyume na maumbile.Kuna siku kimenitokea hiki kitu mwaka 2011 nilikuwa na mahusiano na kasichana ka sekondari ila kalinishangaza siku moja wakati nikiwa katika harakati za score second goal huku nimezoe changa nyingi ndio ni score hata kama ni penati dogo nikajikuta kaitoa maiki yangu na kuizamisha kwenye SAMADI umoto ukazidi nikajua imeingizwa kwenye BIOGAS aisee itabid nitoe nikamulza kwanin unafanya hvyo akaniambia napenda kufanya vle na huwa anapata raha sana kuliko hata kwenyewe,dogo akaniambia mimi mshamba ndio maana nakataa nakadai tuachane nakaunga mkono hoja kwa 100%..Kwahiyo jaman kunawanawake wanapenda sana hako kamchezo haijal yupo kwenye ndoa au lah,
 
mimi nadhani wanawake huwa wanajitakia tu wenyewe kuliwa tigo,na wengi huliwa bila kujua madhara yake,nakumbuka mwaka 2012 nikiwa nimemaliza University nilikuwa na msichana mmoja yaani girlfriend,kwakweli alikuwa amenizimia sana huyu mtoto sema ni kabila moja ambalo ni ngumu kuolewa hivi,siku moja wakati nakula mzigo akaniambia honey....vipi nikikupa na nyuma utafurah?unajua nakupenda sana nipo radhi kukupa kitu chochote ili ufurahi,daaah nikamwambia hapana mpenzi kwakua nakupenda siwezi kukufanyia hivyo.akanielewa
Mimi akiniambia hivyo sidhan kama naweza kuendelea naye
 
Kweli wa Tz mnapenda sana 0713, mleta mada kauliza kuhusu "kinyume na maumbile" wachangiaji wengi wamekomaa tu na Tigo, wakati kinyume na maumbile siyo tigo pekee.
Hata kuzama chunvini au kunyonya koni ni kinyume na maumbile. Kwa nini ionekane Tigo pekee ni kinyume na maumbile, halafu kuzama chunvini au kunyonya koni ni sawa, Wakati vyote ni kinyume na maumbile?
 
Na hapa ndipo lilipo tatizo. Ndoa imekuwa tiketi ya unyanyasaji. Leo ni wachache sana wenye guts za kukataa na kusimama hadharani kusema kuhusu hili jambo.

sure
ili uishi kwa amani
kataa na simamia ukweli
mpende na kumuheshimu mumwe wako lakini hili swala la kutatuliwa marinda ukienda kujifungua hata mtoto uwez kusukuma ni tatizo
 
How can someone stand up somewhere na kujipiga piga kifua kwamba una mpenda sana mkeo,una mheshimu pia ili hali bila haya unathubutu kumwomba mkeo ndogo achilia mbali kuwa na wazo hilo kabisa? Wanaume we have to change,Si Mungu tu bali hata shetani anachukizwa na matendo yetu!

sure jamani

clinic unakuta mmama mtoto anashindwa kupush kabisa
imagne siku hizi mtu anawahi kisu anajua hana pumzi kila mahali pako wazi
 
Naamini ni sababu kubwa na inatosha; kwanza kuna udhalilishaji, pili kuna tendo haramu kisheria.

Kuhusu kanisani likewise, hilo sio tendo la ndoa bali dhambi na uharibifu kwa jina la ndoa, huko ni kuinajisi ndoa.

Vv

hata baraka hamna mnafanya kazi kama nini lakini ha,na chochote kinahoonekana
 
Katika wanawake kumi, hesabu moja, mbili, tatu, nne wameshawahi kuliwa nyuma. Hii tabia imeota mizizi sana kwa sababu, wanaume wengi wanaiga mitindo hii bila kuangalia athari na wanawake nao wanadhani kwa kutoa penzi kinyume basi wanapemdwa zaidi.
Wadada wengi tu saivi wameharibiwa...

nakubaliana na wewe hii case clinic imetawala

by the way ni kweli ukimpa mchumba/mume hiyo tigo ndo atakuoa/kukupenda zaidi?
 
Mmmh taratibu jamani, how sure are u?

Hili ni tatizo ambalo tayari limeadhiri akili za vijana wengi na hata wazee wetu,sioni tija ya hili jambo. Elimu yahitajika na hasa kutambua madhara ambayo naamini watumiaji wengi wanayajua,kubwa zaidi hofu ya Mungu mioyoni mwa wanandoa na hata wasio wanandoa imetoweka.

Turudi katika maadili na utamaduni wetu wa kiafrika. Haya yote ni madhara ya kuiga,tumekuwa watu wa kubeba yote yafanywayo na ngozi nyeupe ijapokuwa mengine ni udhalilishaji mkubwa na kiukweli Mengine ni mazuri yatufaayo kwa maisha yetu.
 
Kwakweli jinsi mambo yanavyoendelea inaelekuwa swala la kawaida kabisa kumfanya mwanamke kinyume na maumbile.Kuna siku kimenitokea hiki kitu mwaka 2011 nilikuwa na mahusiano na kasichana ka sekondari ila kalinishangaza siku moja wakati nikiwa katika harakati za score second goal huku nimezoe changa nyingi ndio ni score hata kama ni penati dogo nikajikuta kaitoa maiki yangu na kuizamisha kwenye SAMADI umoto ukazidi nikajua imeingizwa kwenye BIOGAS aisee itabid nitoe nikamulza kwanin unafanya hvyo akaniambia napenda kufanya vle na huwa anapata raha sana kuliko hata kwenyewe,dogo akaniambia mimi mshamba ndio maana nakataa nakadai tuachane nakaunga mkono hoja kwa 100%..Kwahiyo jaman kunawanawake wanapenda sana hako kamchezo haijal yupo kwenye ndoa au lah,

hata bila kujali imani za dini
huj mchezo mbaya
 
Kati ya vitu ambavyo siji kufanya na huo mchezo mchafu eti kwa madai ya kumridhisha mwanaume. Aende tu kwa machangu mijianaume ya siku umpe tigo usimpe hatulii kamwe. Bera kumpendezesha yeye aue mwili na roho kuliko kuendekeza tamaa za mwili na ushetwani. Yani hadi mbuzi anazidi utashi binadamu inapokuja hilo swala.
 
Hili ni tatizo ambalo tayari limeadhiri akili za vijana wengi na hata wazee wetu,sioni tija ya hili jambo. Elimu yahitajika na hasa kutambua madhara ambayo naamini watumiaji wengi wanayajua,kubwa zaidi hofu ya Mungu mioyoni mwa wanandoa na hata wasio wanandoa imetoweka.

Turudi katika maadili na utamaduni wetu wa kiafrika. Haya yote ni madhara ya kuiga,tumekuwa watu wa kubeba yote yafanywayo na ngozi nyeupe ijapokuwa mengine ni udhalilishaji mkubwa na kiukweli Mengine ni mazuri yatufaayo kwa maisha yetu.

Pornography zimeharibu wengi, watu wanakopi na kupesti kila kitu wanachokiona huko bila kujua wenzio wako kibiashara zaidi na wanapimwa afya kila leo
 
Back
Top Bottom