Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

utaachaje barabara safi afu upite kwenye mtaro wa maji machafu,...gents tuache hizi mambo za t**go
 
Soma maandiko vyema, Sodoma na Gomora ziliangamizwa baada ya wanaume kwa wanaume kuanza kulana! Ukisoma Biblia kitabu cha Walawi nadhani sura ya 18 au 21, verse za mwisho mwisho, inasema kulala na mwanaume, mfano wa mwanamke ni machukizo kwa Mungu!

Hakuna sehemu inayokataza kujiburudisha na mwanamama kwa njia hiyo!
Usiishie hapo tu. Hebu soma Warumi 1:26 uone inawazungumziaje wanawake. Na ukishasoma, usiniambie kulikuwa na dildo enzi hizo(kwamba wanawake walifanyana wao kwa wao)
 
Mzizimkavu tuambie mume wa Elton John yeye mbona hajapata hii kesi na wengine wengi tu mfano wake (ambao wamejitangaza na kuoa rasmi)
 
Mi nasikitika sana kwa yule mshenzi kunivurugia historia yangu baada ya kunibadilishia gia angani nikamtatua rinda hivi hivi
 
Dah nilisoma zamani sana hadi nimeona uvivu kuimaliza tena maana ilinigusa sana.
Asante kwa kutukumbusha
 
Both.

Lol nasikia ukianza tafuna huko huachi. Kuna mwanamke flan alinipa hyo offer nikachomoa.
Kweli, kwa wanawake mara nyingi inakuwa ngumu kuacha kwa maana kuna utamu fulani hivi unausikia, kwanza ni ngumu
 
Back
Top Bottom