Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Hivi MKUU wa mkoa mfano anakifanya nini kituo? Akili nyingine bhana
 
Busara ndogo inatuelekeza kuna vitu ambavyo katu hatuwezi kuvifanya mathalan kutembea uchi wa mnyama hadharani au hata kuweza kukaa uchi wa mnyama chumbani kwako hata kama uko peke yako, labda ukiwa bafuni ,

tunajisitiri kwa ajili kulinda heshima ya utu wa mwanadamu sisi sio wanyama .

Kwa busara hiyo hiyo tunajadiliana na kuelimishana mambo yenye tija yanayohusu maisha yetu ya sasa na kwa ajili ya kuendeleza vizazi vyetu kama smbavyo sisi tulivyoyakuta kutoka kwa wazazi wetu,

Inaudhi sana kuona kuna vyombo vya habari vikipalilia njia ya maangamizi kwa vizazi vijavyo

wahusika wa TV hiyo leo wapo duniani baada ya kuzaliwa na baba na mama wakae wajiulize huko miaka ya nyuma kama kungekuwapo na watu wanao shawishi ushoga na jamii ya wakati huo wangeshawishika na na kuitikia bila shaka kizazi cha mwanadamu kingetoweka kwenye uso wa dunia , ni jambo ovu kupindukia wanalojaribu kulitetea na kulitangaza

Tupige kelele nyingi juu ya ufisadi huu wa ushoga usishamiri nchini kwetu
 







kiukweli hiyo ndio halisi halisi ya inchi ilipofikia haina maana kuendelea kuficha na wakati ukweli kama ulivyoooooo
cha msingi serikali ingekaa na kutafuta suruhu ya hili na sio kumuadhibu alietoa ukweli wa mambo
 
umeamua ku attack mtu baadala ya kuangalia sera za chombo husika.Kikubwa mnacho takiwa kujiuliza ni kwamba, je mashoga wapo Tanzania! Je, kuwepo kwao ni kero kwa jamii au hakuathiri chochote?Kama ni kero nani avunje ukimwa? isije ikawa tukaacha tatizo likawa kubwa ndio tuanze kusituka na kuanza kuchukua hatua za zima moto. Nakumbuka wakati ukimwi umeingia Nchi kule kutaja kinga za ugonjwa ilionekana kashfa na aliye sema alistahili kuadhibiwa vikali. mpaka janga lilipo tuzidi umri ndio tukaanza ooh inabidi tuvunje ukimwa! too late.
 
Kukaa kimya na kutojadili haina maana tatizo halipo,miaka yote tumekuwa kimya na hali ndio inazidi kushamiri!Lazima tujadili tujue chanzo ni nini!Utajuaje chanzo kama hauwahoji wahanga?Clouds hawana kosa,tunachojaribu kufanya ni kufunika sehemu inayotoka moshi badala ya kufukua na kuzima moto!
 
Mkuu mapenzi ya jinsia moja yamekatazwa Tz. Uhuru usio na mipaka unatia kinyaa
 
tatizo la kwanza la watanzania tunachukia picha na kupenda uhalisia.
mashoga tunakao nao mtaani kama hatuwaoni.
walojaribu kuwachukulia hatua,walipingwa kwa kuonekana wanavunja haki za binadamu.
wanaopinga leo kipindi kuonyeshwa ndio hao hao wanaotia saini ya mashoga kuwepo.
kama hatuwataki,ni bora tuanze kuwakama huku mitaani na kuwafunga magerezani na hukumu kali dhidi yao ili tuonekane kweli tunawachukia na siyo kufungia kipindi wakati wao wapo mtaani wanatamba.
 
Mkuu mapenzi ya jinsia moja yamekatazwa Tz. Uhuru usio na mipaka unatia kinyaa

Mimi nazungumzia uhuru wa kujieleza!Hivi unadhani uhusiano wa jinsia moja umeanza kupigwa marufuku jana?Ni muda sasa lakini muda unavyozidi songa ndio tatizo linazidi kuongezeka!Ni wakati wa kuwa na mjadala ili kubaini tatizo ni nin hasaTukifumbia macho tutakua hatujatatua tatizo,we hv to face the reallity and find a permanent solution!Lazima pia tusikie kutoka kwa wahanga,ni wapi waliteleza ili tujue tunawatoaje huko!
 
Huyo wa juzi hakuenda pale kuonyesha aliteleza..alienda pale kuelezea jinsi anavyofurahia kushiriki mapenzi hayo. Je,ilikuwa sahihi kupewa jukwa kuelezea jinsi anavyofurahia kuwa shoga? Kumbuka alienda kueleza mazuri ya kuwa shoga! Hebu angalia clip yake yote
 
Motive ya mtangazaji na mgeni aliyealikwa vilikuwa vitu tofauti!Mtangazaji yeye alilenga kuadress tatizo,lakini mgeni mualikwa naye akakomaa kutetea upande wake!Hata maswali ya Zamaradi yalikuwa straight,alitaka kujua ni nini kilimkumba mpaka akaingia huko!Mtangazaji aliendesha kipindi akielezea ushoga kama janga au tatizo kwenye jamii,mgeni mualikwa akakomaa!
 
Kesho nanii atawapigia simu kwa vipindi vyao vyenye kuelimisha jamii,
 
Tcra kwa hili wamechemka ninamashaka na credibility ya wafanyakazi wa pale kwa sababu sioni kosa lolote walilofanya clouds tv katika hichi kipindi ila nadhani tcra wanafanya kazi kwa kusikiliza mihemko ya watu ambao wengi wao ni bendera fata upepo
 
Mfh
 
mimi sioni kosa la clouds khs kuonyesha kipindi kile ukweli nawapongeza kwa kuzungumzia tatizo ambalo lipo ktk jamii yt .jamani ili kuliondoa tatizo ni vyema kulijadili ili kujua athari zake je watz mnapenda tatizo hili lijadliwe lini ?inashangaza kuona watu hawapendi kujadili mada hii lkn mtaani watu wanashiriki mambo hayo kwa siri kama ilivyo kunywa gongo.hatuwezi kuondoa tatizo bila kujadili.
 
Kwa maoni yangu nadhani wapo sahihi maana issue ni maudhui na mtangazaji katika kile kipindi alitanabaisha dhima ni kuwafanya wazazi wajue jinsi gani ya kulea watoto wao ili wasiingie katika tabia hiyo... Nadhani swala hili linakuzwa lakini niliangalia na maudhui ya kipindi yaliendana na dhima ya mwendeshaji kwa hadhira maana hakuongelea faida za uchoko ila aliongelea kilichosababisha na madhara ya uchoko na kjwataka wazazi wawe responsible kwa vijana wao wakiume...
To me I see no effect rather a complete lesson to parents..
Maana dada kaoge alisema tabia yake ilikuzea hata na baba yake mzazi maana alikua akimuita kama mwanamke..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…