Obuma
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,727
- 5,096
Hivi MKUU wa mkoa mfano anakifanya nini kituo? Akili nyingine bhanaMkuu wa Mkoa, Mbabe wa Vita, Mh. Makonda, watolee uvivu hawa.. plse, iwe funzo nchini na duniani kote...!!
Clouds wanajua wako enzi za JK..!!
Am looking fwrd Makonda kula nao sahani moja..!!
Ruge ni mtu mmoja anajiona anajua sana, na anajiona celebrity,kumbe hovyo sana Ruge.. arrogant tu,.. I believe atakutana na mkono wa Makonda.. demu wake huyo mtangazaji ndio ana promote ushoga nchini, dawa ni kuwafungia tu..!!