Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

wanadamu hawezi kuishi salama kwa kutimiza matakwa ya nafsi yake bali yale yampendazayo Mungu.....na hilo ni jambo lenye kumchukiza Mungu.......

Kama unaamini kuwa kuna siku ya mwisho na kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake....achana na ufirauni huo.......,

Mshinde shetani.....achana na uchafu huo.....tubu yale yaliyopita anza mwanzo mpya........

Madhara yake ni muda mrefu na yanatesa........



NB; MCHUMA JANGA HULA NA WA KWAO.....

Tena kwa bahati nzuri anamtu ambaye hajagasia na hicho tunda. Nafasi hiyo ndiyo mahala pake yeye kumshinda shetani. Kinachomsumbua ni mawazo tu. Hivyo ajielimishe namna bora ya kuridhika na tendo la ndoa nje ya tundu la majitaka ambayo naamini haja itumia siku nyingi 12month?
 
Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?
Unajuaje kama si huo mchezo ndio ulisababibisha huyo mumeo wa kwanza kupata ajali na kufariki!na sasa unataka kupata msiba mwingine,jiandae maana this time inaweza kuwa ni wewe mwenyewe au baya kuliko hilo.
 
Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?
Jinga kabisa.
 
Unamaanisha instala kumpitisha jamaa yetu mtaroni?????????? [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
 
Badilisha hicho kichwa Cha Habari... Andika
KUNA UCHAFU NATAKA KUMPA MUMEWANGU...
Shenz sana, nani kakuambia kutatuana rinda ni mapenzi..
 
mwanangu. Unajua Madhara ya Kuingiliwa Kinyume na Maumbile?

Mtafute Mwathirika wa Jambo Hilo Akuelezee Adha Anayokumbana Nayo Sidhani Kama Utajaribu tena Mchezo Uo.

Nadhani wewe ni Mtu Unae Amini Uwepo wa Mungu, lakini Napata wasi wasi kwamba Uenda ikawa Husomi Vitabu Vitakatifu Maana Kama Ungekuwa Msomaji Usinge Fanya Mchezo Uo Maana ni Laana Mbele za Mwenyezi Mungu.

Kilichopelekea Uangamizaji wa Sodoma Nyakati za Nabii Nuhu ni Mchezo wa Kuingiliana Kinyume na Maumbile.

Mimi nakushauri Umtafute Kiongozi wako wa Kiroho Akusaidie Maana hii ni Spirit imekuingia ni Mapepo ya Ufiranaji yanakusumbua

unahitaji kusaidiwa Mwanangu Mrudie Mungu Akusaidie Maana Adhabu yake ni Kubwa sana.

Maana imeangikwa Wafiraji au wafirwaji kamwe Hawata iona Pepo ya Mungu Kamwe.

Usikubali Shetani Akufanye Mtumishi wake Mwanangu, ishi kama Mungu Atakavyo.
 
Mnaponda bila kumuelewesha madhara. Tiririkeni madhara yake na wengine wajifunze. Halafu wengine wanafiki tu hapa!
 
Huo mchezo tafta mchepuko umpe. Kama ni mme wako wa ndoa usimpe hata sikumoja.
 
Unataka mumeo akufi.r.e......kha .....kweli Melo ana kazi kubwa ya kuficha identity za watu
 
Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?
Jiandae kutukanwa na manesi wakati wa kujifungua pindi utakaposhindwa sukuma mtoto kwa sababu nnya yatoka bila break, maluuun shwain
 
Back
Top Bottom