Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?
Kama haelewi njoo hapa mie nshakuelewa
 
Hivi Mwanaume kujifanya mwanamke na kuandika mada kama hii

UNAJISKIAJE?
 
Icho kidendo kibaya sana katika imani zote ni mbaya sana nitazunguzia katika imani yangu ya Islamic ukiwa katika ndoa utakiwi hata kujaribu kumzungumzia mkeo ndoa imekufa sembuse kumuingilia? Kama upo katika ndoa ya kisilamu akifanya biashara hyo hakuna ndoa tena
 
Kwanza kabisa unatakiwa ujitambue......na hatua kubwa kwenye kujitambua ni kujitoa kwenye utumwa wa matamanio.......

Sio kila kitu ambacho nafsi inakutuma kukifanya basi ni kizuri la hasha......

Pili unatakiwa ujitoe katika ulimwengu wa fikra na uje katika ulimwengu halisi ili utambue....ubaya wa jambo ambalo umeshalifanya na unataka kulifanya......

Ni jambo ambalo linakutoa katika ubinaadamu.....na pia linakutoa katika mikono ya neema za Mungu......ni jambo ambalo kwa macho ni la kawaida....ni jambo nzito sana mbele za Mungu.....,

Mwanadamu hawezi kuishi salama kwa kutimiza matakwa ya nafsi yake bali yale yampendazayo Mungu.....na hilo ni jambo lenye kumchukiza Mungu.......

Kama unaamini kuwa kuna siku ya mwisho na kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake....achana na ufirauni huo.......,

Mshinde shetani.....achana na uchafu huo.....tubu yale yaliyopita anza mwanzo mpya........

Madhara yake ni muda mrefu na yanatesa........



NB; MCHUMA JANGA HULA NA WA KWAO.....
Pooovuu! Usipofanya hili ndio humchukizi Mungu na ndio chukizo peke yake kwa Mungu?!

Vipi asiyefanya hili lakini anazika watu waliokotwa wamefungwa kwenye viroba bila kufanya uchunguzi?; Vipi anayeiba madawa hosoitali na kusababisha vifo vya wagonjwa sio chukizo kwa Mungu?

Katika makosa kuna makosa ya uchafu haya humhusu mtu binafsi lakini makosa yasiyosameheka ni yale mwanadamu atendayo dhidi ya mwanadamu mwenzie.
 
Pooovuu! Usipofanya hili ndio humchukizi Mungu na ndio chukizo peke yake kwa Mungu?!

Vipi asiyefanya hili lakini anazika watu waliokotwa wamefungwa kwenye viroba bila kufanya uchunguzi?; Vipi anayeiba madawa hosoitali na kusababisha vifo vya wagonjwa sio chukizo kwa Mungu?

Katika makosa kuna makosa ya uchafu haya humhusu mtu binafsi lakini makosa yasiyosameheka ni yale mwanadamu atendayo dhidi ya mwanadamu mwenzie.

Na iwe kulingana na utashi wa nafsi yako....

Maana kila mmoja atabeba msalaba wake yeye mwenyewe....
 
Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?
Mmmmh Dunia inaelekea ukingoni
Mungu akusamehe.
 
Aisee

Kweli kwenye kuoa ntakua makini,.maana nisijepata mke kama wewe apo dada unaetaka kumpitish mumeo kwenye mfereji wa majitaka
Usipoutumia ww wapo watakaoutumia uache ivoivo na uulinde kama mboni ya jicho lako
 
Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?
Ule unaitwa "mchezo kunuka " balaa!!!
 
Icho kidendo kibaya sana katika imani zote ni mbaya sana nitazunguzia katika imani yangu ya Islamic ukiwa katika ndoa utakiwi hata kujaribu kumzungumzia mkeo ndoa imekufa sembuse kumuingilia? Kama upo katika ndoa ya kisilamu akifanya biashara hyo hakuna ndoa tena
Mbona nasikiaga mnaita "sunna?"
 
Back
Top Bottom