Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Una watotot wangapi?

Naiona ndo yako itaelekea kwenye malumbano siku sio nyingiusipoacha kutamani huo mchezo
 
Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia

huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...

natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?
Unapatikana wapi tuzungumzeeee
 
Kwa akili kama hizi bila hata kufanya sensa au tafiti ya kina waweza kuta nusu ya wanawake walio penye ndoa na robo tatu ambao hawajaolewa ni wangese . Yaani kabisa unamlia timing mumeo akutafune jicho bado kuna ndoa hapo kisha mnatulaumu waowaji hakuna unadhani vijana waliopita penye uzi huu ni ukakasi kiasi gani katika fikra zao umewasababishia ? walio kusifia na kukupa support ni mahayawani wenzio tu mtu mwenye maadili hawezi kuunga mkono usheitwan kama huu ndege wafananao huruka pamoja tafuta mabaradhuli wenzio mbona mnajuana tu mwache kijana wa watu na khulqa yake njema .
 
Ni mawazo tu mbele ndio kutamu ukikuta hakujatumika sana huko nyuma hakuna lolote za ya kutoka na uchafu tu
 
Ndo tatizo la kugaragazwa weee kabla ya kuwekwa ndani.

Unatumika mpaka wanakufungua tawi lingine.

Sasa unataka umfundishe ushetani na mumeo. Sad.
 
Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia

huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...

natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?


njoo hapa upate hiyo services
 
Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia

huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...

natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?
yaani hata wewe ulishapoteza marinda, wanawake wa siku hizi wachafu sana.
 
Pole sana mkuu........
Kwa jambo linalokutatiza & kukuumiza kichwa kwa muda mrefu, kwa jinsi ulivyotoa maelezo yako nimeelewa kuwa ngono kinyume na maumbile ni tendo ambalo umeanza kushiriki muda mrefu na hivyo aliyekuanzishia hayupo tena duniani.
Mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

Kwa jinsi ninavyoelewa ngono kinyume na maumbile ina madhara na faida hivyo sitozungumzia kwa sababu unazielewa kwa sababu unauzoefu nao hilo tendo.

USHAURI :
Kama ulivyoeleza awali kuwa unampenda na kumjali mumeo, hivyo unaogopa kumwambia kuwa mshiriki kwa pamoja hilo tendo.

Cha kufanya kaa naye ongelea zaidi masuala ya tendo la ndoa kipindi mpo faraghani, na mwambie ukweli historia uliyopitia na mpaka kufikia hatua ya kuanza kushiriki ngono kinyume na maumbile na umejaribu kutafuta suhulisho na limeshindikana hivyo ungemuomba akusaidie naye awe anashiriki nawe katika hilo tendo la ngono kinyume na maumbile,
Na katika mazungumzo yako jaribu kuzungumza kwa hisia na zungumza kwa lugha ya kisanaa pia kusudi uweze kumshawishi na kufanya mazungumzo yako yaweze kujitosheleza, na aweze kuridhiria ombi lako,

Wala usiogope kwa kuwa unampenda na ukimwambia ataweza kubadili mawazo na kuhusu ndoa yenu au akachukizwa na jambo ambalo umemwambia kuhusu kushiriki ngono kinyume na maumbile pamoja na wewe.
Unapaswa kumwambia ukweli na haijalishi ataupokea vipi huo ujumbe wako, ili mradi umemueleza ukweli na kwa kutumia lugha ya ushawishi.

Kumbuka suala kama hili ni vyema ukapanga muda muafaka na kujipanga jinsi gani utakavyo mfikishia ujumbe huo,

Huu mchezo wa ngono kinyume na maumbile ni moja ya ngono ambayo imekatazwa kisheria za kibinadamu na kisheria kwa mwenyezi mungu,
Ila mtu akishaanza hii mchezo ni ngumu kuacha mara moja hivyo huchukua muda mrefu kuacha huu mchezo wa ngono kinyume na maumbile.

Hivyo kwa mhusika ambaye kiari ameshaanza kushiriki au amekuwa mshiriki wa muda mrefu kuacha itakuwa ngumu kikubwa ni kupunguza kufanya tendo la ndoa & tendo kinyume na maumbile na hii itapunguzia kushiriki tendo hilo pia kwa upande mwingine suhulisho lake ni kumuomba mungu msamaha na kukupa ujasiri wa kuweza kukataa kufanya hilo tendo ngono kinyume na maumbile maombi na dua ndizo muongozo wa kuepuka kufanya hili tendo haramu ngono kinyume na maumbile.


Nikutakie krismas njema na mwaka mpya mwema
Na ndoa yenu iwe salama
( * 2017 * )
 
Nilitee Ngoma hiyo wala usivunje ndoa yako maana akikugundua ndoa huna. Njoo nikukusaidia kuondoa huo msongo.Tigo nitaichambua kama Katanga.Njoo inbox
 
Sizingui ujue inasikitisha hali ya wanawake wa sasa ni tabu aisee
[emoji38] [emoji38] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Ni kweli lakini hatuna budi kukubali matokeo kwa sababu vizazi huwa vinabadilika kutokana na mazingira na mifumo ya kibinadamu pia ambayo kila siku hubadilika, hivyo hufanya baadhi ya mambo kuwa kitendo cha kawaida kufanyika katika jamii husika.

Mfano:
Kwenye miaka ya 70's na 80's ilikuwa ni vigumu watu kushiriki baadhi ya mambo katika jamii kama vile kijana kufanya mapenzi katika umri ambao haujamruhusu na hata kabla ya ndoa, ama mke wa mtu, au mume wa mtu kufanya mapenzi angali wapo kwenye ndoa, kufanya mapenzi kinyume, na maumbile, mtoto kukataa shule na kuamua kufanya uhuni mitaani, msichana ama mvulana kuvaa Nguo za ajabu na zisizo eleweka mbele ya wazazi,

Lakini ukitizama karne hii na miaka ya sasa utaona kuwa ni jambo la kawaida Mzee kushiriki ngono na binti mdogo, wanafunzi kushiriki ngono, mashoga nao ongezeko kubwa mitaani,
Basi tambua kwa hii mfumo wa wanawake kupenda kushiriki ngono kinyume na maumbile ni jambo la kawaida kwa sasa ingawa sio wote wanaopenda kushiriki hilo tendo la ngono kinyume na maumbile.

Haya ni mambo ambayo yalikuwepo hapo kale na sasa yanajirudia kwa kasi kubwa na asilimia kubwa mno, na huko mbeleni bado yataendelea kuwepo,
Hivyo ni vyema ufanye kile ambazo unaona kinafaa kwa sababu kila mtu anayo siri nzito moyoni mwake na mambo ambayo alikwisha yapitia na anayotarajia kuyafanya, hiyo ni siri ya mtu binafsi. Kikubwa ni kumuomba mwenyezi mungu atusaidie kuepukana na haya mambo ya waliwengu na ya kidunia pia........

[emoji4] [emoji4] [emoji120] [emoji120]

[emoji12] [emoji95] [emoji379]
 
Back
Top Bottom