mlamsambwanda
Member
- Sep 10, 2018
- 42
- 30
Hahaa IPI na ipiMhhhh
Huna lolote.
Nina jinsia mbili mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa IPI na ipiMhhhh
Huna lolote.
Nina jinsia mbili mimi
Ya kike na kiumeHahaa IPI na ipi
Basi wewe ndiye hasa wa ndoto zangu nicheki PM mkuuYa kike na kiume
Usipomruka ukuta mwanamke wa Dar atakusema kwamba huwezi kazi. Mara nyingi wenyewe humchangamkia abdala kichwa wazi wakishamtoa mdomoni vile vile amelowa mate mzee wa watu wansmtumbukiza kusikojulikana. Mwanamme unajikuta unapata raha maradufu.
Mchezo huu umekuwa ukipendwa sana na wanaume wengi ambao wengi wao huwa hawatumii kinga na kusababisha wengi kupata magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU).
Lakini mchezo wa kuruka ukuta umekuwa na madhara makubwa sana kwa wanaume wanaoufanya kwa muda mrefu.
Tulipoangalia upande wa wanawake, tuliona sehemu kubwa ya wanaopenda mchezo huu ni wanaume ambao wengine wamebatizwa majina ya ‘basha’, wakimaanisha mwanaume mpenda kuruka ukuta bila kuangalia ni wa mwanaume mwenzake au wa mwanamke.
Kwa vile nia ya kona hii ni kuelimisha madhara ya mtu kupenda kuruka
ukuta ili aache mara moja, tunaendelea kutoa elimu ya bure ili mtu yakimkuta ajue yamempata kwa kiburi chake na kwa kupenda starehe ya kipuuzi.
Madhara anayoyapata mwanaume anayependa mchezo huo ni kama ifuatavyo:
Kwanza: Husababisha kusinyaa au kuweka makovu kwenye njia ya haja ndogo.
Pili: Njia ya haja ndogo kuziba kiasi au kuziba kabisa.
Tatu: Kupata saratani (kansa) ya tezi za figo (prostate gland).
Nne: Kupata magonjwa sugu ya uti wa mgongo.
Tano: Kuharisha.
Sita: Maambukizi ya VVU ambapo mwisho wake ni Upungufu wa Kinga Mwilini (Ukimwi).
Saba: Baadaye mhusika kupata msongo wa mawazo au sonona kwa kujutia tendo hilo.
Nina imani ndugu yangu umeona madhara mabaya sana ya tabia hiyo mbaya. Inawezekana umezoea mchezo huo wa kuwaingilia wenzako na kuona raha lakini tumeona madhara yake, ambayo kwa hakika kama wewe ni mmoja wao, unatakiwa kuacha mara moja kwa vile mwisho wake ni majuto na mateso.
Jiepushe kuiga mambo bila kujua faida na hasara zake pia usimtie mwenzako majaribuni kwa kumlazimisha kuingia kwenye mchezo huo. Wanawake wengi wamekuwa wakilazimishwa na wanaume kuingiliwa kinyume na maumbile kwa kuwatishia kuwaacha kama watakataa.
Swali linakuja, kipi bora, kuharibiwa au kuachana?
Kumbuka baada ya kuharibikiwa, thamani yako hushuka na sifa yako ikiwafikia waharibifu wa watu, basi unageuzwa jamvi la mtaa na hatimaye unakufa kwa msongo wa mawazo au mateso ya ugonjwa utakaupata baada ya kukubali kuingiliwa kinyume na maumbile.
Unaweza kushangaa baada ya kuelezea madhara yanayowapata wanaume nimehamia kwa wanawake. Ukweli mchezo huu umewaathiri sana wanawake ambao wengi wanaujutia.
Wewe mtu upo???Naamini wahusika wamekusoma vizuri lakini hakuna atakaekuelewa kabisa hapo
We Mzee!!jaribu kumjambisha..akistuka utajua
😀We Mzee!!
Vp we mfilaji nn maana unaona wanakurushia ndege wakoJamani muwe mnaongea Point. Sio kila kitu mnasingizia tu kusema Ni LAANA. acheni huu upumbavu jamani.
Na ukumbuke wanawake wengine wanafurahia kufanyiwa hivi sasa mtu kama huyo wewe inakuhusu nini? Wee linda makalio yako tu hapa duniani , mengine hayakuhusu , hata kama ni ya nani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nipe namba yake nitakupa mrejeshoMimi kuna demu nilisikia kuwa anatoa hiyo mambo nilivyomtongoza akakubali siku ya siku tunaenda lodge nikala sana mzigo (mbele) sikutaka kufanya chochote kuhusu (nyuma).
Mara ya pili tulivyokutana tena nikasema ngoja nitest nikawa namtia kidole cha mk...du huku nimemuweka juu mimi nimelala akawa ananambia "naskia utamu ukijuaje kama napenda kufanyiwa hivyo" nikamuuliza nikutie dushe akakataa katukatu yaani akanambia yeye starehe yake nikimtomba nimtie kidole tu sio kumfila.
Na mpaka leo kila nikijaribu kumuomba nyuma hataki kabisaa yaani ila nikimtia kidole anakubali fresh.
Sijajua kama ananipima imani kwa kukataa makusudi au ni kweli hapendi.
sasa wewe unapewa penati alafu unapaisha mpira.Nini kifanyike?Mimi demu wangu tukilala tu kawaida usingizi ananisogezea sana makalio, halafu dushe analipachika katikati ya mfereji, hii imekaaje wakuu?
Ndio nimeshtuka leo, kuna viashiria vingi wametaja hapo juu na yeye anavyo, mfano kusema mimi ukinif** nakuua,sasa wewe unapewa penati alafu unapaisha mpira.Nini kifanyike?
Waweza pata bikra mbeleSuluhisho ni kuowa bikra.