Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Wanagongana kinoma.kuku wakiongoza manake wao hawana k kila kitu ni hapohapo mapenzi romance uzazi haja kubwa haja ndogo nk nk ! Yani kwa kifupi mkundi wa kuku ni multi functional
Idiotic mind
No research no right to speak
 
Idiotic mind
No research no right to speak

Thanx Nivea lakini hebu niambie kama kuku ana njia za haja mbili kama wanyama wengine! nakushauri kamchunguze tena kuku then utaprove idiotic mind yangu otherwise it will be vice versa
 
Tafadhali fanya upekuzi /research kwanza kabla kufungua mdomo....wakati mwingine mnakurupuka bila kuelewa jambo kwa mapana...fanya research,read then utakuwa na broader knowledge on issues na hautahitaji kuuuliza maswali kama haya.
Hii ina maana hausomi kwa mapana....wanyama pia wana same-sex thing ila most of them only have sex for procreation(propagating species) and not for fun/enjoyment.
Humans have sex 90% of the time for fun/enjoyment/recreation and only a small percentage for procreation(birth).

Asiyeuliza hana ajifunzalo. Kama hajui asiulize?! Yeye ktk research yake ya kuzunguka zunguka hajawahi kuona ndo maana ameulza.

USIWE KAMA WENYE DIGRII ZA VyEtI
 
Kaka wanyama wanafanya sex kwa ajili ya kuzaana tu na si kwa starehe kama sisi binadamu
 
Wanagongana kinoma.kuku wakiongoza manake wao hawana k kila kitu ni hapohapo mapenzi romance uzazi haja kubwa haja ndogo nk nk ! Yani kwa kifupi mkundi wa kuku ni multi functional

hajasema ndege
 
Tafadhali fanya upekuzi /research kwanza kabla kufungua mdomo....wakati mwingine mnakurupuka bila kuelewa jambo kwa mapana...fanya research,read then utakuwa na broader knowledge on issues na hautahitaji kuuuliza maswali kama haya.
Hii ina maana hausomi kwa mapana....wanyama pia wana same-sex thing ila most of them only have sex for procreation(propagating species) and not for fun/enjoyment.
Humans have sex 90% of the time for fun/enjoyment/recreation and only a small percentage for procreation(birth).

Wewe pamoja na kujiona msomaji na mchunguzi still hakuna kitu ume argue . .. bora hata huyo aliyeuliza .

Aliyekuambia wanayama hufanya hivyo kwa ajili ya procreation ni nani ? umejuaje ...evidence ipi inaonyesha . .
that is physcological issue... ni yeye mfanya na mfanywa ndio wanaogundua.

Bora useme Binadamu wanajua ni nn baada ya hapo ..wanafanya wakiwa na malengo maalumu kichwani

Ika ukisena mnyama anafanya ili kesho kesho kutwa amuone jike na mimba ...huo ni uwongo kabisa .
Sio kila ukisomacho maahali kipo sahisahi
Madhara ya kuiamini sana Wikipedia kuliko akili yako.
 
Wapo wanyama wanaofanya mapenzi kinyume cha maumbile na wanasayansi wamewaona na kudocumenti hilo mara kadhaa.

Wanyama hao wanaitwa Bono bono wanapatikana huko DRC na kidogo CAR. Wasome kuhusu tabia yao hiyo hapa

en.m.wikipedia.org/wiki/Bonobo
 
Mkuu hujawachunguza vizuri,wanyama wanafanya sana tu ushoga ningeweza kukupostia hapa video zinazoonyesha ushoga wa wanyama lakini hii ni public forum kama ukitaka waombe mods waihamishie mada yako jukwaa la wakubwa ili nikuunganishie video za wanyama wakilana tiGo dume kwa dume kisha ubadili hiyo heading yako hapo juu.

Jukwaa la wakubwa ndo lipi hilo naskiaga tu ila sijui lilipo
 
Sisi tuliwahi kufuga paka huko nyuma..basi kuna paka hilo ni kubwa lilikua linakuja usiku linamkimbiza linambaka mwanzoni aliumia mk****u na akawa anatoka damu lakini baadae alizoea maana alikua ukimfungia mlango ndani usiku analia mpaka umtoe.

Paka wetu alikua mwanaume lakini alikua analiwa kiboga.

Nilikuja kuthibitisha kama ni kweli huo mchezo wa kufi** paka wenzie kutoka kwa hilo lipaka likubwa kwa jina "maliki" baada ya jirani yetu naye kulalamika paka wake wa kiume kuingiliwa kinyume na maumbile na paka maliki.

Nahitimisha kwa kusema paka nao hufanya mapenzi kinyume na maumbile.
 
Swali lako ni sawa na ungeuliza kwanini wanyama hawavai nguo kama binaadamu.
Kwa wakristo ukirefer maandiko katika kitabu cha mwanzo ni kwamba Adamu na Eva waliumbwa bila kua na ufahamu wa mambo mengi lakini baada tu ya kula lile tunda walijulishwa watakua werevu na ndipo walipojijua kua wako uchi na kujifunga majani. So from there binaadamu aliweza jua jema na baya tofauti na mnyama ambaye hana habari hiyo.
Hayo yote ni mwendelezo wa kazi ya yule muovu shetani.
Sasa wewe kama binaadamu unayejua jema na baya tumia utashi ulionao either kukubali au kukataa jambo.
 
wadau kwa sisi ambao tumekuta wake zetu hawana tena bikra,kuna haja ya kumfumua marinda ya nyuma ili kujenga heshima na kumbukumbu au unamsamehee bure,uendelee kula makombo?

---------------------

Kumuingilia Mkeo kinyume na Maumbile hakuleti kwako wewe mfanyaji heshima kwa mkeo bali kunaleta wewe kwako mfanyaji dharau kwa mkeo. ukiwa unapenda kumuingilia mkeo kwa kinyume na maumbile basi hata siku akikusaliti mkeo na yule atakae mpelekea atampa hiyo tigo uliye anzisha wewe kazi yake .Kwa hiyo usifanye kabisa kitendo hicho.

MADHARA SABA KWA MWANAMKE AKIINGILIWA KINYUME CHA MAUMBILE


1.Mwenyeezi Mungu humchukia sana mtu huyo (Mfanyaji Mwanamme na Mfanywaji mwanamke)


2.Mwanamke anayefanyiwa mchezo huu hupata matatizo makubwa wakati wa kujifungua ikiwa ni pamoja na kutokwa na haja kubwa mfululizo wakati akijaribukumsukuma mtoto.
Tukio hili humsababishia aibu kubwa mwanamke, kiasi cha kumshushia hadhi yake mbele ya jamii.


3.Pia anaweza kumuua mtoto kwa vile kila akimsukuma atoke, pumzi hukata kutokana na misuli inayofahamika kwa jina la ‘sphincter' kulegea na kusababisha ambane mtoto.


4. Umri unaposonga, haja kubwa hutoka bila kizuizi kutokana na misuli ya sphincter inayobana njia ya haja kubwa kulegea.


5. Inaweza kusababisha saratani ya eneo hilo ‘cancer of colon'.


6. Ugonjwa wa UTI, yaani uambukizi kwa njia ya mkojo, huwa sugu, maana akitokea mwanaume alifanya kitendo hicho kisha akafanya ngono kama kawaida, bakteria wanaoishi sehemu hiyo wanaingia na kuwa na madhara makubwa.


7. Hasara yake kubwa mwanaume anayekufanyia mchezo huwa hawezi kukuoa, pia ni rahisi kukutangaza kwa jamaa zake na kuonekana kituko mbele za watu, kama umeolewa heshima yako hupungua ndani ya ndoa.
 
wadau kwa sisi ambao tumekuta wake zetu hawana tena bikra,kuna haja ya kumfumua marinda ya nyuma ili kujenga heshima na kumbukumbu au unamsamehee bure,uendelee kula makombo?
Mi sijaikuta lakini siwezi kufanya hivyo, heshima itakuja tu ukijua kumtengeneza na kumsugua vizuri mpaka anasahau historia yote ya wapenzi waliokutangulia kabla yako.
 
Back
Top Bottom