Kwanini Wapalestina waliisaliti Tanzania na kumuunga mkono nduli Idd Amin kupigana?

Kwanini Wapalestina waliisaliti Tanzania na kumuunga mkono nduli Idd Amin kupigana?

Mkuu kua serious kidogo!

Kwa hyo ndo sababu ya Uganda kuvamia nchi yetu?
Kulikuwa na kambi za waasi uko Tanga ambao walikuwa wanakwenda kufanya matukio Uganda na kuvuka mipaka kuja Tanzania.sasa niambia ni serikali gani duniani inaweza vumilia nchi jirani kuwapa mafunzo waasi na kukaa kimya?
 
Tanzania ilikuwa moja ya nchi kinara barani Afrika kutetea haki za Wapalestina. Nchi hii ilienda mbali na kuamua hata kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na nchi ya Israel mwaka 1973 baada ya shinikizo la nchi za kiarabu zilizokuwepo ndani ya O.A.U kuwa kubwa. Ikumbukwe Israel walikuwa na mchango mkubwa kwa Tanzania kuliko hata Palestine, kwasababu wao ndiyo walisaidia katika kufundisha maafisa wengi wa jeshi la Tanzania, akiwemo Marehemu Generali Muhiddin Kimario, pamoja na kusuka JKT.

Mwaka 1973, baada ya vita vya Yom Kippur nchi nyingi za Afrika zilivunja mahusiano ya kidiplomasia na Israel, na kuanza kutetea haki za Wapalestina. Ukisoma nyaraka za OAU, moja katika falsafa inazozipinga ni UZAYUNI (ZIONISM) na UBAGUZI WA RANGI (APARTHEID). Tanzania ilikwenda mbali na kuanza kutetea haki za wapalestina kule UN. Kinachoshangaza ni kwamba Palestine Liberation Organization (PLO), mbali na kuwa marafiki wa Tanzania, walijiunga na vikosi vya Libya katika kumsaidia Idd Amin ambaye alikuwa anapambana na Tanzania.

Najiuliza tu, chanzo kikubwa cha PLO kuisaliti nchi ambayo ilikuwa inawatetea sana ni nini ?​
hakika wewe huna akili plo hawakuisaliti tanzania
 
Huwezi ona taifa jirani linahifadhi waasi alafu ukawa unawachekea hovyo,hiki ndicho alicho kuwa anafanya Tanzania kwa kuwa hifadhi baadhi ya viongozi walio pinduliwa wa Uganda.

Pia Kuna Mogadishu accord ilisainiwa Kati ya Tanzania na Uganda ili kutoa tishio la Vita.
Marekani ya africa mashariki Tanzania
 
Kulikuwa na kambi za waasi uko Tanga ambao walikuwa wanakwenda kufanya matukio Uganda na kuvuka mipaka kuja Tanzania.sasa niambia ni serikali gani duniani inaweza vumilia nchi jirani kuwapa mafunzo waasi na kukaa kimya?
Tanga sehemu gani?
Walifanya tukio gani ndani ya Uganda? Na lini?
Hao waasi walikua wanaitwaje?
 
Idd Amin alituwin kwenye propaganda na alifanikiwa kuzishawishi nchi za kiarabu kwamba Nyerere anamvamia yy kwa sababu mi mwisilamu, ndo maana dictator Gadafi alikua aggressive sana kumsaidia Amin
Kwahiyo chanzo kilikuwa ni dini ?
 
Tanga sehemu gani?
Walifanya tukio gani ndani ya Uganda? Na lini?
Hao waasi walikua wanaitwaje?
DAR ES SALAAM, Tan zania, Oct. 7 (Reuters)—Tan zania and Uganda have agreed to end hostilities and to pull all forces back from their com mon border by Oct. 19.

The pledge came in a Somali mediated peace agreement signed in Mogadishu two days ago and made public In Dar es Salaam, Kampala and Mo gadishu tonight.

Both sides also pledged to stop hostile propaganda and to “refrain from harboring or allowing subversive forces in the territory of one state against the other.”

The agreement comes at the end of two years of hostile re lations between the two African states, which were close to war three weeks ago when a Ugan dan exile force loyal to the for mer President Milton Obote, crossed into Uganda from Tan zania in a bid to overthrow President Idi Amin.

“The Government of the Re public of Uganda and the Gov ernment of the United Repub lic of Tanzania have agreed to end all hostilities between them and restore peace and ce ment the fraternal ties that have always existed among their peoples,” the agreement said.
 
ila sasa hivi wanaulipia usaliti waoo kwa kumsapoti nduli amiinView attachment 2857718View attachment 2857716
Kuua watu kwa kuvunja miiko ya kivita (Rules & Customs of War) ni jambo la kishenzi kuwahi kufanywa na nchi ambayo inajiita imestaarabika kama Israel. Kiuhalisia Israeli walitegewa mtego na wakaingia mazima huku dunia ikishuhudia ukatili wao. Huwezi kuua watoto na wanawake kikatili vile.​
 
Wewe bado Kinda sana,Gaddafi mwenyewe aliingizwa chaka.
Colonel Ghaddafi alikuja kuomba msamaha na kutafuta amani baada ya lile tukio. Watanzania sisi huwa hatuna hiyana na mtu tukayamaliza. Ila sasa ukiwauliza ndugu zetu waislamu hili swali kwanini PLO walivamia huwa hawawezi kutoa majibu mujarabu.​
 
Mimi huwa naona ni sababu za kimaslahi na udini.

Maslahi
Tuanze na Libya.
PLO ilikuwa inapewa sana msaada wa kifedha na Libya, pia Libya ilikuwa inatoa pressure kwa jumuiya ya kimataifa na umoja wa nchi za Kiarabu kuhusu agenda ya Palestina.
Hivyo Libya ilikuwa na uzito kwa PLO kuliko Tanzania ambayo ilikuwa inapiga kelele zaidi kwenye OAU lakini kelele zake kimataifa hazikuchukuliwa kwa uzito sawa na wa Libya. Heshima ya Tanzania kwenye UN ilikuwa ndogo kuliko heshima ya Libya, na bado Libya ilikuwa inasikika vizuri kwa Waarabu.

Kwa kuwa Libya ilikuwa upande wa Iddi Amin, PLO ililazimika kuwa upande wake vilevile. Leo hii Iran haiwezi pigana na Uturuki, alafu utarajie Hamas au Hezbollah wawe upande wa Uturuki wapigane na mfadhili wao na trainer.

Tukija kwa Uganda yenyewe.
Wakati Wapalestina wanateka ndege ya Israel mwaka 1976 waliileta Entebbe airport. Hapo Iddi Amin alijitoa mhanga kimataifa kuwaonyesha ushirikiano wa waziwazi Wapalestina. PLO walikuja kwa mshirika wao kwenye vita ya Kagera.

Naamini PLO walizingatia maslahi sababu hata kwenye uvamizi wa Iraq kwa Kuwait mwaka 1991, PLO walikuwa upande wa Iraq. Iraq ndio ilikuwa inawanufaisha kifedha na kupaza sauti UN na Arab League kuliko Kuwait wasiotaka shida.

Dini
Iddi Amin alisaidiwa na Gaddafi sababu ya dini yake.
Gaddafi alianzia Chad kwenye kusaidia upande wenye Waislamu, kwenye Chadian civil war alikuwa anasaidia kundi la Kiislamu, baadae akafanya annexation ya eneo la Chad. Baadae Chad ikapigana naye kwa ufanisi kwenye Toyota war ikashangaza dunia kuyatimua majeshi ya Libya.
Gaddafi pia aliwasaidia magaidi waliolipua disco mjini Berlin, hakuwa na sababu, dini tu.
Vilevile Gaddafi alimfanya Rais Albert Bernard Bongo kubadili dini na kuwa Omar Bongo ndio ampe misaada. Na kwenye hekaheka hizo, Bongo akaifanya Gabon iwe mwanachama wa Organization of Islamic Countries wakati Waislamu nchini humo hawakuwa hata 10%.

Ukija kwa PLO, hawajawahi kuwa involved kijeshi na upande usio wa dini yao.

Huwa nina hisia kwamba bila Gaddafi kuwataka PLO waje vitani Uganda, basi wao wasingekuja. Aliyewaita waje na aliyewasafirisha na kuwapa silaha ni Gaddafi. Kwa kifupi PLO kwao Mwalimu Nyerere ni 'kafiri mwenye kiherehere na kelele zisizo na nguvu'.
 
Kumbuka hata walipoteka ndege ya Israel waliipeleka uganda idd amin akawasaidia kuhifadhi mateka.
Hii iko wazi walikuwa karibu na Idd Amin zaidi
Tanzania imeunda mahusiano na PLO hata kabla Iddi Amin hajawa Raisi wa Uganda. Swali linakuja, kwanini mbali na kuwaunga mkono na kuwasemea huko duniani, waliamua kuishambulia Tanzania ?​
 
Tanzania imeunda mahusiano na PLO hata kabla Iddi Amin hajawa Raisi wa Uganda. Swali linakuja, kwanini mbali na kuwaunga mkono na kuwasemea huko duniani, waliamua kuishambulia Tanzania ?​
Jibu ni simple mahusiano yao na Idd Amin yalikuwa ya vitendo zaidi
 
Israel alikuwa na mchango gani Tanzania mbona mnataka kuleta mambo ambayo hayapo ! Gharama ya kurudisha ubalozi na uhusiano wa kidiplomasia na wazayuni zimewacost vijana wetu ... Wasingekweda kama tungekuwa kama alivyotuacha Nyerere...
 
Kwenye vita kila mmoja huchagua upande kulingana na muono wake,huenda Palestine kupitia PLO waliona Idd Amin alikuwa sahihi hivyo kujivua unafiki wa kutoa msaada kwa rafiki ambaye anavunja haki za msingi za wengine.

Mimi binafsi huwa najiuliza nini sababu kuu ya vita ya Kagera ikiwa tayali kulikuwepo kwa Mogadishu accord ya 1971 ( Sina hakika sana na mwaka na niko tayali kusahihishwa).
Kama huu ndiyo uhalisia wa vita, nini kitawazuia PLO kufanya jambo kama hili tena endapo watakuwa na maslahi na kundi au nchi adui wa Tanzania siku za mbeleni ?​
 
Israel alikuwa na mchango gani Tanzania mbona mnataka kuleta mambo ambayo hayapo ! Gharama ya kurudisha ubalozi na uhusiano wa kidiplomasia na wazayuni zimewacost vijana wetu ... Wasingekweda kama tungekuwa kama alivyotuacha Nyerere...
Zina uhusiano gani na kurudisha ubalozi?
 
Porojo la kanisani hili ulioandika
Tatizo la maralia hujui mambo...
Unaijua BATTLE YA MASAKA na unajua tulihesabu maiti ngapi za waarabu wa PLO...??????
Unaijua BATTLE YA ENTEBBE na unajua tulihesabu maiti ngapi za wanajeshi wa Libya na waarabu wa PLO????
Unakumbuka siku Kanali Ghadafi alipoomba radhi na kuomba mateka wake wasamehewe????
Unakumbuka nyerere alipoamua kutowawekea kinyongo PLO
TATIZO WEWE NI MNAFIKI WA HISTORIA KAMA WALIVYO WAARABU.
 
Mimi huwa naona ni sababu za kimaslahi na udini.

Maslahi
Tuanze na Libya.
PLO ilikuwa inapewa sana msaada wa kifedha na Libya, pia Libya ilikuwa inatoa pressure kwa jumuiya ya kimataifa na umoja wa nchi za Kiarabu kuhusu agenda ya Palestina.
Hivyo Libya ilikuwa na uzito kwa PLO kuliko Tanzania ambayo ilikuwa inapiga kelele zaidi kwenye OAU lakini kelele zake kimataifa hazikuchukuliwa kwa uzito sawa na wa Libya. Heshima ya Tanzania kwenye UN ilikuwa ndogo kuliko heshima ya Libya, na bado Libya ilikuwa inasikika vizuri kwa Waarabu.

Kwa kuwa Libya ilikuwa upande wa Iddi Amin, PLO ililazimika kuwa upande wake vilevile. Leo hii Iran haiwezi pigana na Uturuki, alafu utarajie Hamas au Hezbollah wawe upande wa Uturuki wapigane na mfadhili wao na trainer.

Tukija kwa Uganda yenyewe.
Wakati Wapalestina wanateka ndege ya Israel mwaka 1976 waliileta Entebbe airport. Hapo Iddi Amin alijitoa mhanga kimataifa kuwaonyesha ushirikiano wa waziwazi Wapalestina. PLO walikuja kwa mshirika wao kwenye vita ya Kagera.

Naamini PLO walizingatia maslahi sababu hata kwenye uvamizi wa Iraq kwa Kuwait mwaka 1991, PLO walikuwa upande wa Iraq. Iraq ndio ilikuwa inawanufaisha kifedha na kupaza sauti UN na Arab League kuliko Kuwait wasiotaka shida.

Dini
Iddi Amin alisaidiwa na Gaddafi sababu ya dini yake.
Gaddafi alianzia Chad kwenye kusaidia upande wenye Waislamu, kwenye Chadian civil war alikuwa anasaidia kundi la Kiislamu, baadae akafanya annexation ya eneo la Chad. Baadae Chad ikapigana naye kwa ufanisi kwenye Toyota war ikashangaza dunia kuyatimua majeshi ya Libya.
Gaddafi pia aliwasaidia magaidi waliolipua disco mjini Berlin, hakuwa na sababu, dini tu.
Vilevile Gaddafi alimfanya Rais Albert Bernard Bongo kubadili dini na kuwa Omar Bongo ndio ampe misaada. Na kwenye hekaheka hizo, Bongo akaifanya Gabon iwe mwanachama wa Organization of Islamic Countries wakati Waislamu nchini humo hawakuwa hata 10%.

Ukija kwa PLO, hawajawahi kuwa involved kijeshi na upande usio wa dini yao.

Huwa nina hisia kwamba bila Gaddafi kuwataka PLO waje vitani Uganda, basi wao wasingekuja. Aliyewaita waje na aliyewasafirisha na kuwapa silaha ni Gaddafi. Kwa kifupi PLO kwao Mwalimu Nyerere ni 'kafiri mwenye kiherehere na kelele zisizo na nguvu'.
Ndugu zetu waislamu huenda mbali na kusema kwamba ile vita ya Kagera ilikuwa dhidi ya Uislamu na wanailaani kabisa. Ila uhalisia unaipinga kabisa hii hoja yao. Kama ile vita ilikuwa ni ya kidini, kwanini taifa la kiiarabu na kiislamu la Algeria liliisaidia sana Tanzania hadi kushinda ?​
 
Back
Top Bottom