Kwanini Wapalestina waliisaliti Tanzania na kumuunga mkono nduli Idd Amin kupigana?

Kwanini Wapalestina waliisaliti Tanzania na kumuunga mkono nduli Idd Amin kupigana?

Kuua watu kwa kuvunja miiko ya kivita (Rules & Customs of War) ni jambo la kishenzi kuwahi kufanywa na nchi ambayo inajiita imestaarabika kama Israel. Kiuhalisia Israeli walitegewa mtego na wakaingia mazima huku dunia ikishuhudia ukatili wao. Huwezi kuua watoto na wanawake kikatili vile.​
October 7 Hamas waliua wanajeshi pekee?
 
Kwanza tupe tafsiri sahihi ya neno NDULI au maana ya neno NDULI
 
October 7 Hamas waliua wanajeshi pekee?
Hamas walienda mbali kabisa hadi kuteka raia, wengine ambao ni wazee (Holocaust Survivors) bila huruma. Kiufupi wengi wenu mnaoshangilia kwa kuchagua upande kwenye ile vita mna janga kubwa mno la kimaadili. Kinachoendelea Palestine ni unyama ambao ulifanywa kipindi cha Dark Ages.​
 
Mimi huwa naona ni sababu za kimaslahi na udini.

Maslahi
Tuanze na Libya.
PLO ilikuwa inapewa sana msaada wa kifedha na Libya, pia Libya ilikuwa inatoa pressure kwa jumuiya ya kimataifa na umoja wa nchi za Kiarabu kuhusu agenda ya Palestina.
Hivyo Libya ilikuwa na uzito kwa PLO kuliko Tanzania ambayo ilikuwa inapiga kelele zaidi kwenye OAU lakini kelele zake kimataifa hazikuchukuliwa kwa uzito sawa na wa Libya. Heshima ya Tanzania kwenye UN ilikuwa ndogo kuliko heshima ya Libya, na bado Libya ilikuwa inasikika vizuri kwa Waarabu.

Kwa kuwa Libya ilikuwa upande wa Iddi Amin, PLO ililazimika kuwa upande wake vilevile. Leo hii Iran haiwezi pigana na Uturuki, alafu utarajie Hamas au Hezbollah wawe upande wa Uturuki wapigane na mfadhili wao na trainer.

Tukija kwa Uganda yenyewe.
Wakati Wapalestina wanateka ndege ya Israel mwaka 1976 waliileta Entebbe airport. Hapo Iddi Amin alijitoa mhanga kimataifa kuwaonyesha ushirikiano wa waziwazi Wapalestina. PLO walikuja kwa mshirika wao kwenye vita ya Kagera.

Naamini PLO walizingatia maslahi sababu hata kwenye uvamizi wa Iraq kwa Kuwait mwaka 1991, PLO walikuwa upande wa Iraq. Iraq ndio ilikuwa inawanufaisha kifedha na kupaza sauti UN na Arab League kuliko Kuwait wasiotaka shida.

Dini
Iddi Amin alisaidiwa na Gaddafi sababu ya dini yake.
Gaddafi alianzia Chad kwenye kusaidia upande wenye Waislamu, kwenye Chadian civil war alikuwa anasaidia kundi la Kiislamu, baadae akafanya annexation ya eneo la Chad. Baadae Chad ikapigana naye kwa ufanisi kwenye Toyota war ikashangaza dunia kuyatimua majeshi ya Libya.
Gaddafi pia aliwasaidia magaidi waliolipua disco mjini Berlin, hakuwa na sababu, dini tu.
Vilevile Gaddafi alimfanya Rais Albert Bernard Bongo kubadili dini na kuwa Omar Bongo ndio ampe misaada. Na kwenye hekaheka hizo, Bongo akaifanya Gabon iwe mwanachama wa Organization of Islamic Countries wakati Waislamu nchini humo hawakuwa hata 10%.

Ukija kwa PLO, hawajawahi kuwa involved kijeshi na upande usio wa dini yao.

Huwa nina hisia kwamba bila Gaddafi kuwataka PLO waje vitani Uganda, basi wao wasingekuja. Aliyewaita waje na aliyewasafirisha na kuwapa silaha ni Gaddafi. Kwa kifupi PLO kwao Mwalimu Nyerere ni 'kafiri mwenye kiherehere na kelele zisizo na nguvu'.

Kwa kifupi gaddafi alitaka kuisilimisha africa kwa kigezo cha kuungana na kuwa bara moja .
 
Umemeza propaganda, Yom Kippur bila msaada wa Marekani Israel walishikwa pabaya na General Assad. Japo nakubaliana na wewe kuhusu suala la unafiki wa viongozi wa Afrika kwenye hili.​
Mkuu nchi zote tatu namaanisha Egypt na Syria na Isrel zilisaidiwa na Marekani na Urusi na China kwa vifaa na washauri wa kijeshi na vipuri.
Na hata Urusi ilitishia kuingilia vita kama IDF wataendelea kukaa mbele ya mji wa Isimailia na kukataa cease fire maana range zao za mizinga zilikua within Cairo city.
Mwanzo wa vita Egypt na Syria zilikua zinaelekea kuishinda Israel.....ila kibao kiligeuka.......nadhani unakumbuka siege za Sinai desert pale IDF walipowazunguka wale wanajeshi wa Egypt na kuwafanya mateka na kusababisha makamanda wa msiri wakubali mpango wa cease fire na kubadilishana mateka wa kivita!!!
Na nadhani unakumbuka pia makomandoo wa Egpyt jinsi walivyofanikiwa kuwaua wanajeshi wa IDF kama 700 hv na kuteka wengine mamia na kujipenyeza ndani kabisa ya jangwa la sahara lililokua chini ya IDF kasoro kule El sheikh....chini ya ulinzi wa mfumo wa kuzuia makombora na ndege za kijeshi wa urusi sikumbuki unaitwa SARS,s au la......na walifanikiwa kuangusha ndege 28 au 37 hv za IDF.....siku za mwanzo za vita..!!
Na nadhani unakumbuka pale mwanzo makomandoo smart wa vikosi vya parachuti wa jeshi la Syria walipofanikiwa kuteka vilima vya Golan....kabla ya kuzidiwa na kurudishwa nyuma mpaka bonde la mto Jordan upande wa kaskazini.
Kama kusingekua na cease fire basi IDF wangefika near Damascus na near Ismailia.....maana range za mzinga yao zilikua within Damascus town na Ismailia town na Cairo.
Japo nje ya Ismailia walipata upinzani mkali wa makomandoo wa jeshi la Egypt.
Propaganda ipo wapi mzeee???
Kama msaada wa kijeshi.......USA na France ziliisaidia Israeli silaha na vipuri......na Egypt na Syria walipewa silaha na vipuri walipewa na USSR na PRC.
SOMA VIZURI ANDIKO LANGU AFU UNIAMBIE PROPAGANDA NI IPI ???
NA NANI ALIUA ADUI WENGI???
NA NANI ALIKUA NA MATEKA WENGI????
KATI YA ISRAEL NA EGYPT NA SYRIA 1973
 
October 7 Hamas waliua wanajeshi pekee?
Mkuu hv zile body camera za wapiganaji wa hamas zilikua zinadanganya?????
Unajua vitu vingine usiwe unadanganya wakati vipo wazi....kila mtu aliona walichofanya hamas ndani ya zile kitbuzz za wayahudi
 
Umemeza propaganda, Yom Kippur bila msaada wa Marekani Israel walishikwa pabaya na General Assad. Japo nakubaliana na wewe kuhusu suala la unafiki wa viongozi wa Afrika kwenye hili.​
Mkuu ni kweli kabisa nakubaliana na ww kua mwanzo wa vita waarabu wa Syria walikua wanashinda na waliwateka na kuua wayahudi wengi.Na unajua kabisa hata General Assad....alikua anasaidiwa na Warusi....vile vifaru na vifaa vya kuona usiku gizani..ile kombainia ya vifaru ikiongozwa na ndugu yake aliyekufa vitani siku chache mbele
Na Usisahau hata pale makomando wa vikosi vya parachuti vya Syria walipoteka kwa mara ya kwanza zile stations za kijeshi juu ya vilima vya Golan....train walipewa na Warusi kabla ya vita...na hata walipozidiwa na wengine kuuawa na kushikwa mateka bado silaha za kirusi walikutwa nazo.
Usisahau kwamba IDF walipenetrate mpaka within Damascus range.!!
NB: TUNAWAPA CREDIT IDF SABABU WALIPIGANA NA NCHI MBILI NA KUSURVIVE NA BILA CEASE FIRE ZILIZOLAZIMISHWA NA USSR NA USA BASI IDF WANGETEKA MAENEO MENGINE YA SYRIA NA EGYPT.........KUMBUKA WAKATI WA CEASE FIRE ILIPOANZA KILA JESHI LILISIMAMA LILIPOISHIA NA HAPO NDIPO MSHINDI ALIONEKANA WAZI
PROPAGANDA NI IPI MKUU????
 
Kama hoja ni dini, mbona ALGERIA taifa la kiislamu liliiunga mkono Tanzania na kutoa msaada muhimu kabisa ?​
Katika vita vya kagera au????
Kama ni vita vya kagera....
Kumbuka walikua na uhasama na waarabu wenzao wa libya.....ilo lipo wazi.....na libya walikua wanawaunga mkono wanajeshi wa Amin.
 
Hakuna Dini, chama, ideology chenye mshikamamo kama Waislamu.
Waislam ushirikiana katika jambo lolote lile liwe Jema ama Ovu.
Uislam wa Amin Dada ulikuwa na nguvu kuliko uhusino wa Tanzania na Palestine.
Mshikamo kweli nauona SUDAN na Somalia na Chad na Darfur na Libya na Syria na Iraqi na Mindiano state na Nigeria kaskazini kwa uchache tu...hawana tofauti na wakrsto wa Ireland kaskazini na Bosnia na mabudha wa Mynamar 😂🤣🤣🤣.
Uislam wa Amin wa kuwatenga watu wa dini nyingine kisa sio waislamu na kuukataa uafrika na kuukumbatia uarabu 🤣🤣🤣😂 kweli ulikua na nguvu na matokeo yake kila mwaka alikua anaponea chupuchupu assassination attempt,s..!!!
IDEOLOGY YA WAISLAMU IPO KATIKA QUR'AN 9:30
QUR'AN 9:5
QUR'AN 47:4
QUR'AN 22:19
QUR'AN 9:123
QUR'AN 9:5
QUR'AN 8:65
QUR'AN 8:60
QUR'AN 8:12
QUR'AN 2:191
QUR'AN 5:33
QUR'AN 3:28
HIZI NDIZO KWA UCHACHE ISLAM IDEOLOGY NA MSHIKAMANO WENU WA KIARABU ZINAZOWAFANYA WATU WA IMANI NYINGINE KAMA SISI TUWAONE WAISLAMU NA WAARABU AKILI ZAO ZINA WALAKINI.....
NA NDIO MAANA WAKITAKA VITA JAMII ZA DINI NYINGINE ZIPO TAYARI KWA VITA MDA WOWOTE SABABU
ZINAAMINI KWA IDEOLOGY HIZI ZA QUR'AN HAPO JUU KUA WAISLAMU WANA UPUNGUFU WA BUSARA VICHWANI MWAO KWA KUAMINI DUNIANI WAPO PEKE YAO TU NDIO WANA HAKI YA KUISHI NA WENGINE NI VIJAKAZI NA WATUMWA TU.
 
Mkuu nchi zote tatu namaanisha Egypt na Syria na Isrel zilisaidiwa na Marekani na Urusi na China kwa vifaa na washauri wa kijeshi na vipuri.
Na hata Urusi ilitishia kuingilia vita kama IDF wataendelea kukaa mbele ya mji wa Isimailia na kukataa cease fire maana range zao za mizinga zilikua within Cairo city.
Mwanzo wa vita Egypt na Syria zilikua zinaelekea kuishinda Israel.....ila kibao kiligeuka.......nadhani unakumbuka siege za Sinai desert pale IDF walipowazunguka wale wanajeshi wa Egypt na kuwafanya mateka na kusababisha makamanda wa msiri wakubali mpango wa cease fire na kubadilishana mateka wa kivita!!!
Na nadhani unakumbuka pia makomandoo wa Egpyt jinsi walivyofanikiwa kuwaua wanajeshi wa IDF kama 700 hv na kuteka wengine mamia na kujipenyeza ndani kabisa ya jangwa la sahara lililokua chini ya IDF kasoro kule El sheikh....chini ya ulinzi wa mfumo wa kuzuia makombora na ndege za kijeshi wa urusi sikumbuki unaitwa SARS,s au la......na walifanikiwa kuangusha ndege 28 au 37 hv za IDF.....siku za mwanzo za vita..!!
Na nadhani unakumbuka pale mwanzo makomandoo smart wa vikosi vya parachuti wa jeshi la Syria walipofanikiwa kuteka vilima vya Golan....kabla ya kuzidiwa na kurudishwa nyuma mpaka bonde la mto Jordan upande wa kaskazini.
Kama kusingekua na cease fire basi IDF wangefika near Damascus na near Ismailia.....maana range za mzinga yao zilikua within Damascus town na Ismailia town na Cairo.
Japo nje ya Ismailia walipata upinzani mkali wa makomandoo wa jeshi la Egypt.
Propaganda ipo wapi mzeee???
Kama msaada wa kijeshi.......USA na France ziliisaidia Israeli silaha na vipuri......na Egypt na Syria walipewa silaha na vipuri walipewa na USSR na PRC.
SOMA VIZURI ANDIKO LANGU AFU UNIAMBIE PROPAGANDA NI IPI ???
NA NANI ALIUA ADUI WENGI???
NA NANI ALIKUA NA MATEKA WENGI????
KATI YA ISRAEL NA EGYPT NA SYRIA 1973
Mkuu ni kweli kabisa nakubaliana na ww kua mwanzo wa vita waarabu wa Syria walikua wanashinda na waliwateka na kuua wayahudi wengi.Na unajua kabisa hata General Assad....alikua anasaidiwa na Warusi....vile vifaru na vifaa vya kuona usiku gizani..ile kombainia ya vifaru ikiongozwa na ndugu yake aliyekufa vitani siku chache mbele
Na Usisahau hata pale makomando wa vikosi vya parachuti vya Syria walipoteka kwa mara ya kwanza zile stations za kijeshi juu ya vilima vya Golan....train walipewa na Warusi kabla ya vita...na hata walipozidiwa na wengine kuuawa na kushikwa mateka bado silaha za kirusi walikutwa nazo.
Usisahau kwamba IDF walipenetrate mpaka within Damascus range.!!
NB: TUNAWAPA CREDIT IDF SABABU WALIPIGANA NA NCHI MBILI NA KUSURVIVE NA BILA CEASE FIRE ZILIZOLAZIMISHWA NA USSR NA USA BASI IDF WANGETEKA MAENEO MENGINE YA SYRIA NA EGYPT.........KUMBUKA WAKATI WA CEASE FIRE ILIPOANZA KILA JESHI LILISIMAMA LILIPOISHIA NA HAPO NDIPO MSHINDI ALIONEKANA WAZI
PROPAGANDA NI IPI MKUU????
Bwana Nelson unaamini kabisa kwamba bila msaada wa Marekani, Israel ilikuwa inashinda vita ya Yom Kippur ?​
 
Katika vita vya kagera au????
Kama ni vita vya kagera....
Kumbuka walikua na uhasama na waarabu wenzao wa libya.....ilo lipo wazi.....na libya walikua wanawaunga mkono wanajeshi wa Amin.
Miaka ya 70's Libya-Algeria Relations were cordial. Hili la kusema walikuwa hawapatani ndiyo nalisikia kwako leo!​
 
Vita ya Kagera chanzo ni urafik wa Nyerere na Obote,

Kitendo cha Amin kumpindua Obote kilimkwaza Sana Nyerere. Tangu hapo Nyerere na Obote wakawa na mipango ya Chini Chini ili kufanikisha Obote kurudi Madarakani.

Amin kuivamia Kagera ilikuwa Kama jibu Kwa Nyerere na onyo kumuonya aache kushirikiana na Obote kumhujum , Amin hakuwa na Nia ya kupora Kagera iwe Uganda maana alikuwa anatambua kuwa uwezo huo hana, yeye alikuwa amechoshwa na uswahiba wa Nyerere na Obote.
Kama unavyojua mtu anayekuchokoza hata kama unajua humuwez kimapigano bado huwezi kukaa kimya bali Kwa hasira utaokota hata jiwe.

Nyerere alikuwa akisubir Kwa ham Amin aingie kwenye 18 zake ili apate sababu za kumtoa Madarakani.

Ubinafsi wa Nyerere na hasira za Kizanaki ulichangia pakubwa vita hii ,, vita ambayo makovu yake bado yanaonekana nchini.

Baada ya Vita Nyerere alipambana awezavyo kuirudisha nchi kwenye mstari ikashindikana akaamua kubwaga manyanga miaka 6 au 5 na nusu baada ya Vita.
 
Vita ya Kagera chanzo ni urafik wa Nyerere na Obote,

Kitendo cha Amin kumpindua Obote kilimkwaza Sana Nyerere. Tangu hapo Nyerere na Obote wakawa na mipango ya Chini Chini ili kufanikisha Obote kurudi Madarakani.

Amin kuivamia Kagera ilikuwa Kama jibu Kwa Nyerere na onyo kumuonya aache kushirikiana na Obote kumhujum , Amin hakuwa na Nia ya kupora Kagera iwe Uganda maana alikuwa anatambua kuwa uwezo huo hana, yeye alikuwa amechoshwa na uswahiba wa Nyerere na Obote.
Kama unavyojua mtu anayekuchokoza hata kama unajua humuwez kimapigano bado huwezi kukaa kimya bali Kwa hasira utaokota hata jiwe.

Nyerere alikuwa akisubir Kwa ham Amin aingie kwenye 18 zake ili apate sababu za kumtoa Madarakani.

Ubinafsi wa Nyerere na hasira za Kizanaki ulichangia pakubwa vita hii ,, vita ambayo makovu yake bado yanaonekana nchini.

Baada ya Vita Nyerere alipambana awezavyo kuirudisha nchi kwenye mstari ikashindikana akaamua kubwaga manyanga miaka 6 au 5 na nusu baada ya Vita.
Alitoka ahadi ya Watanzania kufunga mkanda kwa miezi 18,lakini mpaka sasa haijulikani mikanda ilifunguliwa lini.
 
Vita ya Kagera chanzo ni urafik wa Nyerere na Obote,

Kitendo cha Amin kumpindua Obote kilimkwaza Sana Nyerere. Tangu hapo Nyerere na Obote wakawa na mipango ya Chini Chini ili kufanikisha Obote kurudi Madarakani.

Amin kuivamia Kagera ilikuwa Kama jibu Kwa Nyerere na onyo kumuonya aache kushirikiana na Obote kumhujum , Amin hakuwa na Nia ya kupora Kagera iwe Uganda maana alikuwa anatambua kuwa uwezo huo hana, yeye alikuwa amechoshwa na uswahiba wa Nyerere na Obote.
Kama unavyojua mtu anayekuchokoza hata kama unajua humuwez kimapigano bado huwezi kukaa kimya bali Kwa hasira utaokota hata jiwe.

Nyerere alikuwa akisubir Kwa ham Amin aingie kwenye 18 zake ili apate sababu za kumtoa Madarakani.

Ubinafsi wa Nyerere na hasira za Kizanaki ulichangia pakubwa vita hii ,, vita ambayo makovu yake bado yanaonekana nchini.

Baada ya Vita Nyerere alipambana awezavyo kuirudisha nchi kwenye mstari ikashindikana akaamua kubwaga manyanga miaka 6 au 5 na nusu baada ya Vita.
Halafu baada ya kuifilisi nchi akawa anatumia mabavu kutuumiza na kutunyamazisha bila chembe ya huruma kwa kuwaita watanzania wanaotafuta kulisha familia zao WAHUJUMU UCHIMI. Amefanya makosa makubwa ya kuharibu uchumi, halafu anasingizia wananchi wa chini kwamba wao ndiyo chanzo cha uchumi kuporomoka. Hii ilikuwa ni dhambi mbaya kuwahi kuwafanyia wananchi wako. Muungwana yoyote, akikosea huwajibika ili kuepusha madhara.

Hebu fikiria, mwaka 1979 GDP ya nchi ilikuwa hata haizidi USD 5 Billion, lakini Kagera peke yake ikatumika USD 1 Billion. Hili halikuwa ni jambo la kawaida kuwahi kufanyika kwenye nchi inayoongozwa na wasomi. Tanzania ni nchi masikini inayoendelea, iweje tutumie USD 1 Billion, kwenye vita ambayo haikuwa na faida yoyote ile ya kisiasa au kiuchumi kwa Tanzania ?

Hebu tuyaache haya, kwanini waarabu ambao sisi tuliwasiadia sana kidiplomasia waamue kuingilia vita isiyowahusu ?​
 
Tanzania ilikuwa moja ya nchi kinara barani Afrika kutetea haki za Wapalestina. Nchi hii ilienda mbali na kuamua hata kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na nchi ya Israel mwaka 1973 baada ya shinikizo la nchi za kiarabu zilizokuwepo ndani ya O.A.U kuwa kubwa.

Ikumbukwe Israel walikuwa na mchango mkubwa kwa Tanzania kuliko hata Palestine, kwasababu wao ndiyo walisaidia katika kufundisha maafisa wengi wa jeshi la Tanzania, akiwemo Marehemu Generali Muhiddin Kimario, pamoja na kusuka JKT.

Mwaka 1973, baada ya vita vya Yom Kippur nchi nyingi za Afrika zilivunja mahusiano ya kidiplomasia na Israel, na kuanza kutetea haki za Wapalestina. Ukisoma nyaraka za OAU, moja katika falsafa inazozipinga ni UZAYUNI (ZIONISM) na UBAGUZI WA RANGI (APARTHEID).

Tanzania ilikwenda mbali na kuanza kutetea haki za wapalestina kule UN. Kinachoshangaza ni kwamba Palestine Liberation Organization (PLO), mbali na kuwa marafiki wa Tanzania, walijiunga na vikosi vya Libya katika kumsaidia Idd Amin ambaye alikuwa anapambana na Tanzania.

Ikumbukwe tu, mwaka 1973 Tanzania ndiyo ilikuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuitambua PLO na kuruhusu kundi hilo kujenga makao yake jijini Dar es salaam. Ofisi za PLO jijini , Dar es salaam ndiyo yalikuwa makao makuu ya PLO barani Afrika. Katika moja ya nukuu ambayo Mzee Nyerere aliwahi kuitoa kuhusu Palestina ni hii:

"Kizazi chetu kilikuwa kizazi cha mapambano ya utaifa kwa ajili ya uhuru wa nchi zetu … lakini hali ya Wapalestina ni tofauti sana na mbaya zaidi, Wamenyang’anywa nchi yao wenyewe, Kwa hiyo wanastahili kuungwa mkono na Tanzania na dunia nzima"

Najiuliza tu, chanzo kikubwa cha PLO kuisaliti nchi ambayo ilikuwa inawatetea hivi ni nini ?

View attachment 2857800
kwa sababu,IDDI AMIN alikuwa MWISLAM na NYERERE alikuwa MKRISTO
 
Back
Top Bottom