Umemeza propaganda, Yom Kippur bila msaada wa Marekani Israel walishikwa pabaya na General Assad. Japo nakubaliana na wewe kuhusu suala la unafiki wa viongozi wa Afrika kwenye hili.
Mkuu nchi zote tatu namaanisha Egypt na Syria na Isrel zilisaidiwa na Marekani na Urusi na China kwa vifaa na washauri wa kijeshi na vipuri.
Na hata Urusi ilitishia kuingilia vita kama IDF wataendelea kukaa mbele ya mji wa Isimailia na kukataa cease fire maana range zao za mizinga zilikua within Cairo city.
Mwanzo wa vita Egypt na Syria zilikua zinaelekea kuishinda Israel.....ila kibao kiligeuka.......nadhani unakumbuka siege za Sinai desert pale IDF walipowazunguka wale wanajeshi wa Egypt na kuwafanya mateka na kusababisha makamanda wa msiri wakubali mpango wa cease fire na kubadilishana mateka wa kivita!!!
Na nadhani unakumbuka pia makomandoo wa Egpyt jinsi walivyofanikiwa kuwaua wanajeshi wa IDF kama 700 hv na kuteka wengine mamia na kujipenyeza ndani kabisa ya jangwa la sahara lililokua chini ya IDF kasoro kule El sheikh....chini ya ulinzi wa mfumo wa kuzuia makombora na ndege za kijeshi wa urusi sikumbuki unaitwa SARS,s au la......na walifanikiwa kuangusha ndege 28 au 37 hv za IDF.....siku za mwanzo za vita..!!
Na nadhani unakumbuka pale mwanzo makomandoo smart wa vikosi vya parachuti wa jeshi la Syria walipofanikiwa kuteka vilima vya Golan....kabla ya kuzidiwa na kurudishwa nyuma mpaka bonde la mto Jordan upande wa kaskazini.
Kama kusingekua na cease fire basi IDF wangefika near Damascus na near Ismailia.....maana range za mzinga yao zilikua within Damascus town na Ismailia town na Cairo.
Japo nje ya Ismailia walipata upinzani mkali wa makomandoo wa jeshi la Egypt.
Propaganda ipo wapi mzeee???
Kama msaada wa kijeshi.......USA na France ziliisaidia Israeli silaha na vipuri......na Egypt na Syria walipewa silaha na vipuri walipewa na USSR na PRC.
SOMA VIZURI ANDIKO LANGU AFU UNIAMBIE PROPAGANDA NI IPI ???
NA NANI ALIUA ADUI WENGI???
NA NANI ALIKUA NA MATEKA WENGI????
KATI YA ISRAEL NA EGYPT NA SYRIA 1973