Mtu anatoka kijijini, anafika town anakutana na msembe mwenzake wanakubaliana kwenye mapendo, mapendo yakiwapanda basi anaanzisha 'mambo' ya kitandani wote kwa pamoja wanakubaliana kufotoa na wanafotoa kweli, baada ya kukutana na vipande vya wali midomoni mwao kwenye 'mambo', hamu ya mapendo imekwisha na ndipo hapo wanaexpose fotoz walizopiga wakiwa naked!