Kwanini wapenzi wanapiga picha waki-do?

Kwanini wapenzi wanapiga picha waki-do?

Mbona ukienda beach unapiga picha? si ili baadae ukumbuke ulivo furahia kwenda beach? Basi na hapo ni hivo hivo...

Kweli Mwasi, ila mkitemana zinaishia kwenye blog za ajabu ajabu.....
 
Nimeona thred ya mdau akilalamika katumiwa picha za mpenzi wake aki-do na X wake. Nimejiuliza maswali mengi kuhusu kwa nini wapenzi hufikia point ya kupiga picha wanapo-do nimeshindwa kupata sababu. Hebu mnaojua mnijuze na mie, am ignorant in this part.

They are more ignorant zaidi yako basi!
 
ni ulimbukeni na utoto huo konny, wakikuwa wataacha!
 
Back
Top Bottom