Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Hata hivyo vingine vingi vina shida ndani yakewapinzani wa nchi hii wanaishindwa ccm sababu ni wanafiki tu,vingine vyote wako vizuri kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivyo vingine vingi vina shida ndani yakewapinzani wa nchi hii wanaishindwa ccm sababu ni wanafiki tu,vingine vyote wako vizuri kabisa.
Katika watu wanafiki now tz ni huyo Maria na mwenzake Fatuma, eti nao wanajiita wanaharakati, huo uharakati wao hata haueleweki ni katika nini. Halafu ni watoto wa viongozi wakubwa tu, ukiacha hilo umri wao na wayafanyayo haviendani kabisa. Fatuma kwa sasa kakimbia ACT anaisapoti CDMNchi hii imejaaa watu WANAFIKIIII. Hapo huwezi kuwasikia kina Maria Sarungi wanaongelea Barakoa.
Maana wao wenyewe hawajui wanaamini kwenye nini.
Huwa Ni fashion tu kama sehemu ya mapambo katika mavazi na ndio maana huko mahakamani hakuvaa leo alikuwa anamuangalia tu Mbowe na barakoa yake.Mbona sugu anavaa sana kwan sio mpinzan?
mbona ameuliza kwa uzuri tu shida nn mkuu
🙏✍️Labda huyo ni Jobo.
Nchi hii imejaaa watu WANAFIKIIII. Hapo huwezi kuwasikia kina Maria Sarungi wanaongelea Barakoa.
Maana wao wenyewe hawajui wanaamini kwenye nini.
Maria Ni mtu ambaye anapenda league tu bila hata kujua anaamini kwenye nini. Yule kweli ni mjaluo.aliambiwa aseme SUUU na kiwangwala mpaka leo mdomo mzito
Kwahiyo CHADEMA wanafuata matamko ya serikali ?Hiyo ilikuwa picha ya lini mkuu.
Kumbuka tamko la serikali ni la jana tu. Kabla ya jana hata mwenye tamko alituhamasisha sana kwa nyungu, malimao na mi chai chai.
Bila tarehe mkuu huu utakuwa utopolo mwingine kama wa Veronica tu.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kwani wale waliohimiza kupiga nyungu mbona hamuwasemi?Wapinzani hasa Chadema wana akili sawa na za nyumbu. Wanaongelea hili muda huu na ukimpa tu mgongo ashasahau alikiwa anapings nini au anaunga mkono nini?
Wazanzibari ni watu wa Upendo huwezi kuwalinganisha na wale wa kutoka BurundiSamia ni rais bora Africa imejionesha wazi.. Anapenda hadi na wapinzan..
Hadi nesi afe ndio jamaa ataacha kuattend hapo
Mbona nyie wenyewe mapenda nyungu, au nyungu mmeiacha, wapuuzi mlikuwa mnapangiwa na mtu mmoja tu na Muumba akapiga palepale wote mnavaa barakoa mlizoaminishwa ni za mabeberu zina virusi nyambafuUtawaweza hao ka kitu kwaiyo ni kwenda against tu kipindi nchi haivai wao walikuwa wanavaaa sasa hivi nchi inavaa wenyewe hawavai yani wanapenda ligi utadhani bundasiliga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila cha muhimu uhai tu
Kwahiyo CHADEMA wanafuata matamko ya serikali ?
Kwahiyo wataalamu wamesema hakuna kuvaa barakoa ?Wanafuata matamko ya wataalamu.
Kwahiyo wataalamu wamesema hakuna kuvaa barakoa ?
Sawa mangiiiiiiiiiiiiKuanzia jana tumeshauriwa na wataalamu kuvaa barakoa. Jibu swali sasa picha yako uliyoleta ni ya lini "wacha sugu wee?"
TBC wanamwita Hamnazo...Mkuu kuwa serious na afya yako Corona haifai kabisa Kuna mtu Fulani alinanga Sana Leo imebaki story tu RIP
Sawa mangiiiiiiiiiiii
MangiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiDanganyeni wamcharo, butata na kyabakari, na ukara huko. Huku hakuwafai!
Mangiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii