Kwanini warembo na mabarobaro wengi ni vilaza?

Kwanini warembo na mabarobaro wengi ni vilaza?

Kufaulu shule darasani sio kujitambua

Kujitambua ni jambo tofauti na kufaulu darasani

Masomo hutegemea mazingira zaidi na kuwa motive.

Ukitazama watu walioenda shule hapa Tz maisha yao bado hajaleta maana kwao hadi kwa jamii.



Kujitambua (sense of you who are) nikiwango cha juu Sana cha ufahamu hubebwa na mambo mengi ikiwemo hekima n.k

Unaweza kuwa hadi na PhD Ila ukawa hujitambui kujitamhua sio jambo jepesi

Watu wanaojitambua ni wachache sana

That's why pretty women can be smarter as well ugly woman can fail to be sober sound.

Kujitambua ndo ELIMU ya juu zaidi unfortunately hauwezi kuipata SHULE .


Kujitambua kwa mwanafunzi ni kujua yupo wapi na ana majukumu gani na wajibu gani, akishindwa kufanya hivyo huyo anakuwa hajitambui katika engo ya Elimu.

Kujitambua kuna maana tofauti kulingana na jambo linalo muhusu muhusika
 
Akili ni kusolve problem haijalishi anavaa pensi au bwangaa uwez kutambua uwezo wa mtu kwa kuvaa ila una hisi tu una data sahihi inakuhitaj u track maisha yake at least 1yr utapata majibu sahihi bila data ni uwongo.. ukiwa na data unaweza kutabiri na kutambua huyu mtu ni mjinga kuanzia saiv hadi next 5yr.. ila watu wanabadilika this year kilaza next 5yr ata wewe utaonekana mwehu..

Ni sawa watu wanabadilika, lakini kumbuka nyota njema huonekana asubuhi
 
Ni Kweli kabisa unachosema, shuleni nilikuwa nasoma na mabinti warembo Sana ila wengi walikuwa vilaza kupindukia😂
 
Ni Kweli kabisa unachosema, shuleni nilikuwa nasoma na mabinti warembo Sana ila wengi walikuwa vilaza kupindukia😂

Mkuu hata mpaka sasa bado warembo wengi hakuna kitu kichwani
 
Back
Top Bottom