The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Nilifikiri standards alizoweka Diamond ndo zinatakiwa kuigwa na kila msanii.
yaani waanzie alipo Diamond halafu ndo waongeze ya kwao
cha kushangaza unakuta msanii...yuko yuko tu
hakuna dancers,hakuna mavazi maalum
hakuna mbwembwe ya aina yoyote
yaani bado kuna wasanii wanawaficha hata wapenzi wao
nilifikiri Diamond kawaonesha namna ya kuwa star...watajifunza but wapi..
Tatizo liko wapi?
yaani waanzie alipo Diamond halafu ndo waongeze ya kwao
cha kushangaza unakuta msanii...yuko yuko tu
hakuna dancers,hakuna mavazi maalum
hakuna mbwembwe ya aina yoyote
yaani bado kuna wasanii wanawaficha hata wapenzi wao
nilifikiri Diamond kawaonesha namna ya kuwa star...watajifunza but wapi..
Tatizo liko wapi?