Kwanini wasanii hawamuigi Diamond?

Kwanini wasanii hawamuigi Diamond?

Diamond kazijali na kuzipa umuhimu kiasi inaonekana kama za kwake
but zipo tu miaka mingi

kwa TZ Diamond ndo rahisi kumtolea mifano
siwezi sema Chris Brown ...au MJ...
Diamond ni rahisi zaidi wao kumfuata

Hayo mambo mara nyingi huendana na personality ya mtu.

Na si wote wanaopenda publicity...kila aina ya publicity.

Si kila msanii anataka au anapenda kuwa gumzo kuhusu maisha yake binafsi, kwa mfano.

Cha muhimu ni wao kuridhika na walipofikia na wao kuwa wao [being themselves].
 
Hayo mambo mara nyingi huendana na personality ya mtu.

Na si wote wanaopenda publicity...kila aina ya publicity.

Si kila msanii anataka au anapenda kuwa gumzo kuhusu maisha yake binafsi, kwa mfano.

Cha muhimu ni wao kuridhika na walipofikia na wao kuwa wao [being themselves].

Sidhani kama msanii anapanda jukwaani na nguo zile zile ulizomuona nazo
akipita nazo mtaani...utasema ni personality tu ya mtu
huku mwingine akipanga kabisa nguo za steji na za mtaani..

nafikiri kuna kujali au kukosa ushauri...

Hata huko kwa kina MJ na Chriss Brown kuna ma stylists...na handlers wa kila aina
wa kumsdaidia msanii
huwezi sema tu mimi najifanyia nnavyojua
 
Monkey see, monkey do!

Wengine tunaweza kuhoji kwa nini wamuige huyo Diamond?

Kwani wao hawawezi ku chart courses zao wenyewe?

Kilichofanikiwa kwa Diamond siyo blueprint ya mafanikio ya wengine.

So ni heri wakabaki kwenye njia zao kuliko kumuiga Diamond.
Nilivyomuelewa Mleta uzi...sio lazima kuiga ile ya kuiiiiiga kila kitu.

Ila ni kweli Msanii lazima awe na 'taste' za kisanii...na ndio kinachomtofautisha na Wanajamii wengine.

Leo hii Diamond akiamua kujitokeza katikati ya Mtaa wowote Uswazi ni dhahiri atabadili hali ya pale ghafla...kwa nini? kwa sababu ni Msanii, sio Mfanyakazi wa benki...au TRA.

Kuna mambo waangalie jinsi anavyoyazingatia/yaendesha.
 
Sidhani kama msanii anapanda jukwaani na nguo zile zile ulizomuona nazo
akipita nazo mtaani...utasema ni personality tu ya mtu
huku mwingine akipanga kabisa nguo za steji na za mtaani..

nafikiri kuna kujali au kukosa ushauri...

Hata huko kwa kina MJ na Chriss Brown kuna ma stylists...na handlers wa kila aina
wa kumsdaidia msanii
huwezi sema tu mimi najifanyia nnavyojua

Msanii gani kapanda jukwaani na nguo zilezile ulizomwona nazo mtaani?
 
Msanii gani kapanda jukwaani na nguo zilezile ulizomwona nazo mtaani?

Wengi aisee
kama ulitazama lile tamasha la Komaa concert
yaani wengine ilikuwa kama wametoka jogging straight jukwaani
hakuna glamour hata kidogo
 
Kwa hiyo The Boss unamaanisha katika mziki kuna njia moja ya kufanikiwa tu? Ambayo ndiyo anayopita diamond?
 
Kwa hiyo The Boss unamaanisha katika mziki kuna njia moja ya kufanikiwa tu? Ambayo ndiyo anayopita diamond?

I hope umeelewa niliposema 'standards 'alizoweka diamond....

sijasema wafanye exactly kama diamond...but kuna vitu unategemea
ni new standard ifuatwe na wengine
 
I hope umeelewa niliposema 'standards 'alizoweka diamond....

sijasema wafanye exactly kama diamond...but kuna vitu unategemea
ni new standard ifuatwe na wengine
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji119][emoji119][emoji119][emoji106][emoji106]
 
Wengi aisee
kama ulitazama lile tamasha la Komaa concert
yaani wengine ilikuwa kama wametoka jogging straight jukwaani
hakuna glamour hata kidogo
Kwa hiyo?

Unataka hao wote wamuige Diamond?

Hahahaa.

Na wakimuiga nao ndo watafanikiwa kama alivyofanikiwa yeye?

Mimi sioni sababu ya kuiga.

Moja ya msingi muhimu sana katika sanaa ni utofauti.

Kuiga iga ni kinyume kabisa na huo msingi.

Pia, hata kwenye sanaa anuai inahitajika. Siyo wote muigane.
 
Hata Diamond sio owner wa hizo swaga
zipo kwenye industry siku nyingi only Diamond kazifanyia kazi inavyostahili

Wao wanapaswa kuzipa umuhimu kama Diamond alivyozipa umuhimu..
Safi boss uko vizur sana kuwapa majibu mibasharaaa,ni zaid ya miaka7 sasa wenzie wanasubiri bwana mondo ashuke kisaniii,kumbe mwenzao anatiririka na dunia ya sasa ndo manawatake wasitake atawalisha Katanga naa akiamua hata kachori,na wote wanakula bila kuuliza chochote si fans wa kiba wala mond wala wa wengine ni mwendo wa karanga tu




But lastly huyu kijana anahitaji HONOURABLE DEGREES KWA KWELI,HUU MUZIKI KAUTANGAZA DUNIANI NA KAULETEA HESHIMA SANA KWA NAFASI YAKE
 
I hope umeelewa niliposema 'standards 'alizoweka diamond....

sijasema wafanye exactly kama diamond...but kuna vitu unategemea
ni new standard ifuatwe na wengine
Well...vipi na hao wengine wakitengeneza standards zao?
 
Kwa hiyo?

Unataka hao wote wamuige Diamond?

Hahahaa.

Na wakimuiga nao ndo watafanikiwa kama alivyofanikiwa yeye?

Mimi sioni sababu ya kuiga.

Moja ya msingi muhimu sana katika sanaa ni utofauti.

Kuiga iga ni kinyume kabisa na huo msingi.

Pia, hata kwenye sanaa anuai inahitajika. Siyo wote muigane.

I wonder kama umenielewa
RnB kuna vitu artists wanaigana
same as hip hop na singeli na bongo fleva...

Na kuna standards zikiwekwa na msanii mmoja the rest wanafuata..

na ku add glamour kwa msanii ni kitu chenye nguvu...
 
I wonder kama umenielewa
RnB kuna vitu artists wanaigana
same as hip hop na singeli na bongo fleva...

Na kuna standards zikiwekwa na msanii mmoja the rest wanafuata..

na ku add glamour kwa msanii ni kitu chenye nguvu...

Ulichoandika si rocket science wala si total solar eclipse kiasi nishindwe kuelewa.

Wewe unazungumzia standards au unazungumzia 'niche' ya msanii individually?

Mimi naona hapo unachanganya madesa.

Hata huko Marekani unapopenda kupatolea mfano kuna wasanii kibao tu waliofanikiwa kwa kujitofautisha na wengine.

Hakuna 'universal' industry standard inayofuatwa kama unavodai.

Labda cha muhimu zaidi ni kulenga kazi zako kwa walengwa walio mahsusi na kujua hao vionjo vyao.

Umemtolea mfano Chris Brown...kwa taarifa yako Chris Brown si msanii pekee mwenye mafanikio Marekani.

Wapo na wengine wengi tu walofanikiwa kwa kujifanyia mambo kivyao bila kuiga iga kwa wasanii wengine.

Na kwa vile tu jambo fulani limefanikiwa kwa mtu A hiyo haina maana kuwa litafanikiwa kwa mtu B.

Kwa ufupi, sanaa ni tasnia iliyo changamani ambayo mafanikio yake hutokana na mambo na sababu nyingi, na si kuigana igana tu.

Hakuna playbook ya sanaa.
 
Msanii kuvaa vyovyote vile haiwezi kuwa standard
ni kutokuwa na standard...wakiweza kuwa na standards better
Hizo standards zimeandikwa wapi?

Kuna rule book yake au ni ubunifu wa mtu na mtu tu kulingana na vionjo alivyonavyo?
 
Watajifunza saa ngapi wakati muda wote wanawaza kiki za ugomvi nae ili wapae kiumaarufu nchini tu
 
Back
Top Bottom