Kwanini wasanii wa Bongo hawajui kujieleza?

Kujielezea kipaji ..
Hapana kujieleza ni practice.
Kazini boss wangu ametengeneza podium kila siku tuna safety topic ambapo mmoja huwa anajieleza mbele ya audience ya managers ambao wanweza kuwa 8
Mpaka managers nao wanajieleza Na kuna uhuru wa kupongezana Na kukosoana. Mimi sikuwa mpenzi wa kuongea mbele za watu but now am getting there.
 
Tatizo si kujieleza tu. Hata ng'ombe anajieleza.

Tatizo ni kujieleza vizuri, kwa mpangilio, ukaeleweka.
Lakin mkuu si mmesema HAWAJUI KUJIELEZA, means sio tu kujieleza Vizuri, but Hawajui KUJIELEZA sio?. Halafu umesema kujieleza ni Self expression..hivyo kwa asiye muelewa means hana knowledge ya kinachoelezwa na mzungumzaji , hayo mambo yakuto maliza sentence may be kwa audience lengwa huelewa...kama sio mlengwa wa maelezo ya mzungumzaji utaishia kufanya DISCOURSE ANALYSIS na Pragmatic kumjaji kuwa hajui kujieleza....
 
Unapoandika "mmesema" ushanijumuisha na wengine.

Sipendi kujumuishwa hivyo.

Jikite kwenye nilichoandika mimi.

Usiniletee habari za "mmesema".

Ukijua kuhesabu moja mpaka mbili lakini usijue zaidi unajua kuhesabu au hujui?

Ukijua kusoma a na b usijue zaidi, unajua kusoma au hujui?
 
Kiranga,
Hahahahaha Povu lanin mkuu....labda unatatizo sawa na hao wasanii

Kwanza ujue hii ni thread inayochangiwa maoni na watu wengi. Nimesema "mmesha" kwa sababu kuu Moja umeunga mkono hoja ya mleta topic, hivyo wewe na mleta topic pamoja na wengine wanao unga mkono hoja hii nimewaweka group Moja kwasababu ya wazo lenu Moja. Kama hutaki kujuishwa Fanya kitu hiki, either uhakikishe wazo lako ni lako halijaungwa mkono na mwingine or hujaunga mkono hoja ya mwingine ili uwe peke yako katika kukosolewa hiyo tu haitoshi pia hakikisha topic hiyo ni yako pekee..
FACT KUPANIC HARAKA NI TATIZO LA KISAIKOLOJIA
 
Wewe hata nikipiga chafya kwa reflex action utaona povu.

Kwa sababu huwezi mjadala wa mikikimikiki.

Hujajibu maswali niliyouliza na uliyojibu sijauliza.
 
sawa kaka nimeona amri kumi hizo
 
Wewe hata nikipiga chafya kwa reflex action utaona povu.

Kwa sababu huwezi mjadala wa mikikimikiki.

Hujajibu maswali niliyouliza na uliyojibu sijauliza.
Wala Sina shida kujisifu kwako kusiko na logic hapa maana ni udhaifu pia....sijakujibu kwasababu maswali yako yamesha jijibu yenyewe..😂 na sjakatazwa kueleza nisiyo ulizwa
 
Wala Sina shida kujisifu kwako kusiko na logic hapa maana ni udhaifu pia....sijakujibu kwasababu maswali yako yamesha jijibu yenyewe..[emoji23] na sjakatazwa kueleza nisiyo ulizwa
Una shida, ndiyo maana unaninukuu.

Usingekuwa nanshida ungenipotezea tu.
 
Inawezekana upo sahihi kwa upande wako...Ila kwa upande wangu kukupotezea hiyo ndio itakuwa shida..
Kwa sababu huwezi kuacha kunifikiria kama binti asivyomsahau mwanamme aliyemtoa bikira.

Straight to ignore list.
 
Kiranga siku hizi anakimbilia Ignore list.😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…