Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

MIMI MWENYEWE NASHANGAA MKUU KWENYE UISLAM,
MUNGU GANI HUYO AMBAYE WATU WAKE WANAMSAIDIA KUHUKUMU MTU, YANI MTU AKIKOSOA DINI ANAULIWA HAPO HAPO , KISA KUGOMBANIANA KUJINJA NGOMBE MNAUWA PADRI KWA KUMJINJA.
MUNGU WA UISLAMU NI DHAHIFU MNO MIMI NAWAAMBIA JF. ANAONEKANA ALLAH HAWEZI TOA HUKUMU MPAKA MNAMSAIDI KUTOA HUKUMU.
NA NINASHANGAA SANA MUNGU GANI ANARUHUSU KUUA MTU ALIYEMUUMBA KISA HAJAWA DINI HIO NASHANGAA SANA.

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”

HATA BILA UISLAMU DUNIA INAWEKANA HATA KUSINGEKUWA UGAIDI HAPA DUNIA .

MK254
 
Ulichoandika na kilichomaanishwa kwenye hyo amri ni vitu viwili tofauti haya kama hivyo ndivyo niletee amri kwenye bible iliyoidhinisha muoe mke mmoja na mfakamie ngurue kama hakuna wanyama wengine na nyinyi mungu wenu ndo dhaifu zaidi amri ni za mungu ila kila baada ya mda inatoka edition mpya ya amri wakati huyo mnayemuita mungu hayupo sasa anayewapa hayo maagizo ni nani? wazee wa agano jpya na agano lijalo mtaruhusiwa kupigana miti jinsia moja.
 
AMRI KUMI ZA MUNGU NDO HIZI NINAZOZIJUA MIMI NI ( KITABU CHA KUTOKA 20:1 MPAKA 17), HIZO UNAZOSEMA WEWE ZIPO WAPI ZINAZOBADILISHWA
 
Kabisa kama wale wa kwaya ya huko Shinyanga waliopukutika kwaya nzima kwa kale kaugonjwa kapale patumu!.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ezekieli 7:15 NEN

“Nje ni upanga, ndani ni tauni na njaa, wale walioko shambani watakufa kwa upanga, nao wale waliomo mjini njaa na tauni vitawala.



Yani watu wapo shambani wanalima wanaambiwa watakufa kwa upanga na walioko mjini njaa itawauwa na tauni
Acha kushabikia ujinga ww
Ukiwa huna la kuandika bora nyamaza
 
Unajua maana ya parable?
Kama SIJAKOSEA baadhi ya herufi.
 
by the wy ukiristo sio dini.kubalinitu huuukweli mchungu.
 
Angeweka ustaadhi muda huu nyumba yake ingeshachomwa moto. Wakirsto wastaarabu sana. Ila ustaarab ukizidi unakuwa ukondoo. Haiwezekani mpaka muda huu makanisa hayajatoa tamko
Wakristo tunahangaika na mbingu. Ugomvi una wenyewe
 
nikikundi chakulelea matowash nawasagaj.
Uzuri wa sisi wakristo, hasa SISI WAKATOLIKI, tukitukanwa, huwa tunakusikiliza, tunaenda kanisani kwetu kusali, tukitoka tunaenda bar kula bia na KITIMOTO. Tunakuacha na matusi yako.

KAMA HIVI HAPA NIMEAMUA KWENDA KULA KITIMOTO NA Bantu Lady Kumezea matusi yako..

Ahahahahaaa...!!
 
Chizi kabisa 🤣🤣🤣🤣 achana na wafia dini. Kama uko town twende tukamwagilie moyo na kumtafuna mnyama. Shida siku hizi una ahadi za kinyoka kabisa Ngalikihinja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…