Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukiristo siodini mkuu kwahio wasanii wakiimba kanisani usishangae Wala dulamakabila alicho fanya nikawaidatu kwakua ukiristo niusanii kushinda huo usanii wadula makabila[emoji23][emoji23].ukiristo nikikundi chakukusanya sadakatu hamna kingine chamaana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787].uisilamu hauchezewi nanyau yeyote..mmeelewa?au??????????????????????
Kwani uislam ni dini au upuuzi tu?
 
Nimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.

Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.

Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.

Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!

Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?

Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.

Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
Wimbo wa Dula makabila unastahili kuwa wimbo bora wa mwaka 2022.

Tuweke pembeni mashindano ya Padri na Shekhe....
Ok nitamwambia Dula aufanyie edit kwa kuweka kipande cha shekhe pia ili uridhike.

All in all......wimbo wa Dula ni wimbo bora.


Tusiwe wanafki...
 
Tazama video ya Mzee wa Busara no 3 Juma Nature na Inspekta wamemuweka Shekhe
 
hata aibu huna? ukiristo sio dini.uislam ndio dini yahakiiiiiiii
Uislamu ni tawi Ukristo.Roman katoliki ndio waliounzisha uislamu kwa lengo la kuwaweka waarabu ndani ya mfumo mmoja Ili wawatawale.Qurani imekopi yaliyomo kwenye Biblia.
 
Mapadri wote motoniiiiiiiiiiiiiiiiiii sema emeeeeeeeeeeeeeeee
 
Uislamu ni tawi Ukristo.Roman katoliki ndio waliounzisha uislamu kwa lengo la kuwaweka waarabu ndani ya mfumo mmoja Ili wawatawale.Qurani imekopi yaliyomo kwenye Biblia.
wakiristo wote motoniiiiiiiiiiiiiiiiiii.sema emeeeeeeeeeeeeeeein
 
Uislamu ni tawi Ukristo.Roman katoliki ndio waliounzisha uislamu kwa lengo la kuwaweka waarabu ndani ya mfumo mmoja Ili wawatawale.Qurani imekopi yaliyomo kwenye Biblia.
ukiristo sio dini acha kujikanyaga.wakoristo wote motoni
 
Nimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.

Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.

Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.

Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!

Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?

Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.

Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
wanaogopa kukatwa shingo!!!
 
Wimbo wa Dula makabila unastahili kuwa wimbo bora wa mwaka 2022.

Tuweke pembeni mashindano ya Padri na Shekhe....
Ok nitamwambia Dula aufanyie edit kwa kuweka kipande cha shekhe pia ili uridhike.

All in all......wimbo wa Dula ni wimbo bora.


Tusiwe wanafki...
Nimeucheki aisee jamaa kumbe ni kichwa sana aisee amefikiria nje ya box.
Yaani kwa maudhui yale amefunika nyimbo zote na wasanii wote wa Bongo wa sasa.
 
Nimeucheki aisee jamaa kumbe ni kichwa sana aisee amefikiria nje ya box.
Yaani kwa maudhui yale amefunika nyimbo zote na wasanii wote wa Bongo wa sasa.
True....
Sikuwahi penda kazi za Dula...ila hii nimeipenda.
 
Mungu wetu anajipigania yeye mwenyewe kwa sabubu yu hai.
sasa pande zile...
 
Mungu wetu anajipigania yeye mwenyewe kwa sabubu yu hai.
sasa pande zile...
Ila hata kutangaza habari njema za Mungu ni kumpigania Mungu pia maana Mungu angetaka watu wote wangemjua Mungu na tungejua habari zake tangu tunazaliwa.
 
Back
Top Bottom