Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Angeweka ustaadhi muda huu nyumba yake ingeshachomwa moto. Wakirsto wastaarabu sana. Ila ustaarab ukizidi unakuwa ukondoo. Haiwezekani mpaka muda huu makanisa hayajatoa tamko
ukristo unachezewa kwasababu hauna chombo maalum cha kuudhibiti, kuusimamia na kuusemea.

leo wataibuka wachungaji toka kundi A kukosoa jambo fulani, keshokutwa wataibuka wachungaji toka kundi X kuunga mkono jambo ambalo limetoka kukosolewa na wachungaji wa kundi A. mbaya zaidi watakuja na vifungu vya biblia kuthibitisha.

miaka ya nyuma viongozi wa kikatoliki walikuwa imara sana kuusemea na kuutetea ukristo, kauli zao zilikuwa ndio ultimatum bila kujari madhehebu yote ya kikristo.

ila tangu makanisa ya kilokole yaliposhika hatamu na walipojitokeza viherehere kama akina gwajima, ni kama wameuacha ukristo ujipambanie wenyewe.
 
Na pale alipomweka shoga wa ukweli agrey alizingua sana.
 
Porojo nyiingii kumbe utoko tu,huyo mungu asiyejipigania ahubiri mwenyewe huko mbinguni tumsikie,mbona mnashupaza shingo kumuhubiri mpaka mic zinajaa mate!?
Hao jamaa Ni wanafiki namba moja hapa duniani ,,ukiwakuta wamevaa Rozari utadhani matendo yao yanafanana na huyo Mungu wao wasiompigania....

Kuna mpumbavu mmoja anasema anaamini nature lkn kuchwa kuutukana uislamu,, ukifa Hali ya kuwa kafiri mashukio yako Ni motoni/Jahannam na mtakaa humo mkichomwa Moto kwa kule kudai kwenu kuwa Mungu anamwana..

Ukafiri Ni mbaya kuliko kitu chochote Kibaya.
 
Tukiondoa hiyo changamoto ya mchungaji...

Wimbo wake ni Bora kabisa wa kufungia mwaka.

Namshauri aongeze na kipande Cha Sheikh akiwa kashaoa wake wanne na Bado ana michepuko ya kutosha ili kuweka mizani sawa.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
....Elimu...Elimu...Elimu....Elimu!...Alisikika Mheshimiwa mmoja akisisitiza Watu Kusoma ili Kutoa Ujinga!...[emoji846]
Wengi waliosoma elim dunia ndio wajinga zaidi.hujaligundua hilo.?ukristo sio dini.
 
Uislamu ni dini ambayo hairuhusu upuuzi lakini hongera kwa wakristo kwa uvumilivu japokuwa mda mwingine kwa uvumilivu wenu munaibagaza dini yenu na kuonekana kana kwamba hakuna miiko na values.
 
Unaelewa maana ya chupi?. Hakuna kanisa linaruhusu vichupi kanisani, ukiona ujue hao sio wakristo ni waasi.
ndio Mana nikasema ukiristo sio dini nivikundi vyawakusanya sadaka.hata ukienda nakimini sadaka yako inapokelewa tuuu.

ukiristo sio dini
 
Back
Top Bottom