Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Acha upotoshaji, wakristo hawajawahi kuvamia marekani, Bali marekani ilikuwa koloni la uingereza .

Hakuna aliye kasirika bali unatakiwa kujibu swari.
Kama mungu wenu ahitaji usaidizi hilo kanisa unalo salia limejegwa na mungu?

Au hiyo biblia unayo tumia kumuabudu yy ndo anekununulia?

Bila roma kusimama kidete kuutetea huo ukristo kwa panga siunge sambatishwa na Ottoman?
Bila wakristo kulivamia bara la amerika na kuuwa mamilion ya wahindi wekundu kungekuwepo dini ina itwa ukristo barani Amerika?
 
Wewe Economist uchwara utakuwa umenielewa ila unaleta ujanja wa mbuzi kujambia mdomo.

Halafu unikome Mimi sio economist sawa shika adabu yako , Soma vizuri jina ulielewe sio unarukia tu. Siwezi kumuelewa mtu asiyejielewa.
 
Tengeneza wewe clip yako uimbe halafu uwaigize hao masheikh ili muende sawa ila usiwapangie watu chakufanya.

Kuwapangia Cha kufanya kwenye kudhihaki dini ya wengine?. Ngoja BASATA waufungui huo wimbo maana alitaka kiki kupitia wakristo.
 
waislamu hatutegemei miujiza Kama wakiristo wanaoenda kukesha uwanja wataifa kusibiri miujiza yamwamposa mwisho wasiku wanakufa naumaskini wao.wakirito stukeni

Mbona nusu ya walioenda walikuwa waislamu?
 
Kumbe majibu munayo wenye sasa munahoji nini.
Yaani munajitekenya wenyewe alafu munacheka

Ametoa jibu kwanini akina zuchu hawafanyi mizaha msikitini. Sasa Kama wanaogopa kwao ndio wake wafanye mizaha kwa wakristo huo ni upumbavu, ndio maana nyimbo zao zinapigwa marufuku.
 
yesu hakufa nali alipaa.kwahio lazima aludi kufa ndio kilakitu kitimie. pale msalabani mliwekewa toy tu mlivyo maandazi mkasema limekufa nakufufuka machizi nyie..😃😃😃


Wewe una shida ya ziada.
 
Wakiristo siku hizi wanataka kubalance kila kitu hadi madhambi! 😀😀

Sasa akiweka na Sheikh hiyo ndo itaondoa ukweli kuwa kuna mapadri matapeli?

Si ajabu msanii muislamu akitengeneza wimbo kulaani Kibwetere alivyowachoma moto waumini kanisani kuna Wakiristu wafia dini watachukia Utadhani Ukiristo unaruhusu mambo ya Kibwetere!

Kwanini waislamu wanapenda kuudhihaki Ukristo?.
 
Wewe mbona ujiheshimu?. Nani alikuambia watu wanaamini mcheza filamu ndio Yesu?. Mnajitungia mambo na kilazimisha yawe kweli. Yani mtu acheze filamu, halafu watu waamini huyo ndio Yesu, kawadanganye wengine. Kuna filamu za Yesu zimechezwa zaidi ya 10, sijui unaongelea ipi.
Mshamba nn? Wapo wajinga mpaka kanisani Wana sanamu ya yule jamaa😂😂😂we wa wapi aisee?
 
Back
Top Bottom