Kwanini washabiki wengi wa Simba ni bodaboda na wahuni?

Kwanini washabiki wengi wa Simba ni bodaboda na wahuni?

viongozi watoote wa simba ni janja janjaa na kanjanja kanjanja, yaani wao ni 'short cut' kwa kwenda mbele, hapo unategemea nini?
 
Jana nilikuwa na maslay qeen na video vixen wa yanga leo nipo na wenzao kwanini mashabiki wengi wa simba ni BODABODA na wahuni?
ni kwa sababu Simba ni Mbumbumbu SC.

Yanga nao hawaitwi Vyura FC bure - ni vile wafuasi wao wengi ni wavuvi!
 
viongozi watoote wa simba ni janja janjaa na kanjanja kanjanja, yaani wao ni 'short cut' kwa kwenda mbele, hapo unategemea nini?

Na pia ni wezi, wabadhirifu wa mali za umma, wapenda rushwa, wapiga dili, waongoza magenge ya uhalifu, watakatisha fedha, wahujumu uchumi, wadokozi, nk.

Mbumbumbu yoyote yule anayebisha aje ili nitoe ushahidi wa majina yao.
 
viongozi watoote wa simba ni janja janjaa na kanjanja kanjanja, yaani wao ni 'short cut' kwa kwenda mbele, hapo unategemea nini?
Ila sio boda boda, yanga iko wap unayotaka kusema iko vizur katika irldara ya uongoziii
 
Boss wao ni muuza bodaboda.
Kumbuka mashabiki wa simba walikuwepo kabla hata ki2 kinachoitwa boda boda hakijulikani, pia swala la kuuza boda boda kaanza juzi nadhan kabla yake alianza Leader wenu mliyekuwa mnamlilia akawatosa. Yanga ni kama baiskeli ya kinolea visu....kelele nyiiiiiiiingi halafu ipo hapo hapo tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na pia ni wezi, wabadhirifu wa mali za umma, wapenda rushwa, wapiga dili, waongoza magenge ya uhalifu, watakatisha fedha, wahujumu uchumi, wadokozi, nk.

Mbumbumbu yoyote yule anayebisha aje ili nitoe ushahidi wa majina yao.
Huo utumbo uliotaja hapo juu hata kwenu UTOPOLO yapo
 
Sibishi ila sijaona sababu ya ww kuzungumzia huo utumbo ambao hata yanga umejaa

Wewe kweli ni mbumbumbu kindakindaki! Una ushahidi wowote wa kuwahusu hao viongozi wa Yanga? Si uwataje! Maana kama ni kwa upande wa timu yako, ushahidi uko wazi kabisa!

Kuanzia Mwenyekiti wenu mstaafu Ismail Aden Rage, Evance Aveva, Godfrey Nyange, Zakariah Hans Pope, Michael Wambura, nk. Hawa wote wameshawahi kuingia kwenye misukosuko ya kila aina na niliyoitaja hapo juu!

Sasa unataka uhamishe magoli na wakati hoja yangu inaiongelea bodaboda fc!
 
Ngoja nipime akili zako kwanini mashabiki wa Yanga ni makahaba na asilimia kubwa ni darasa la 7 na kidato cha nne?
.
pili kwanini mashabiki wa Italy ni wabaguzi kuliko mataifa mengine?
Makubwa haya jamani [emoji33][emoji33][emoji33][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom