Rsm0087
JF-Expert Member
- Jul 12, 2019
- 361
- 893
Sasa nyie vyura ambao hamna wahujumu uchumi mna niniiiii, acha ushabiki wewe, hv vilabu viwili tabia zao zinafanana tu.Wewe kweli ni mbumbumbu kindakindaki! Una ushahidi wowote wa kuwahusu hao viongozi wa Yanga? Si uwataje! Maana kama ni kwa upande wa timu yako, ushahidi uko wazi kabisa!
Kuanzia Mwenyekiti wenu mstaafu Ismail Aden Rage, Evance Aveva, Godfrey Nyange, Zakariah Hans Pope, Michael Wambura, nk. Hawa wote wameshawahi kuingia kwenye misukosuko ya kila aina na niliyoitaja hapo juu!
Sasa unataka uhamishe magoli na wakati hoja yangu inaiongelea bodaboda fc!
Vyura nyie kwann mashabiki wengi ni wachawiiiii?