utakuta wakati mahitaji yake yote anayatoa kwako,anakua mpole mkarim na pia mwenye busara.lakini akishapata chanzo chochote cha kumpatia fedha anabadirika.au hiyo ni dalili kua hakua anakupenda? lakini mbona asilimia kubwa about 98%, yani almost wote wako hivyo.naomba mnisaidie wana JF kwenye hili,kwamba ukweli uko wapi?