RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
Ivi Kwanini? Wasichana Wengi Uwa Wanajiona Wana Haki ya Kupewa Salamu na Sio Kutoa?
Habarini wanajamii Forums nimekuwa na kitu kinanishangaza sana tangu utoto hadi sasa kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu , imekuwa kawaida kwa jamii ya kiafrica mvulana kumshobokea mtoto wa kike yaani kuanza kumpa salamu ata kama kakukuta sehemu , maana navyojua mtu anapokukuta sehemu yeye ndo anatakiwa kukupa salamu na sio yeye afike na kukaa kimya kisha wewe ndo umpe salamu
Hii kitu nimeishuhudia mara kwa mara tangu nizaliwe hadi sasa , hii kitu imekuwa ikinikuta mara kwa mara labda nipo kwenye bus naenda mkoa fulani nimekaa zangu kwenye seat anakuja msichana seat ya pembeni yangu anafika na kukaa bila ata salamu aisee uwa nashindwa kumuanza kumsalimia au kwa kumuonea aibu nampa hi halafu nakausha, hii ishu pia kwenye usafiri wa umma uwa inatokea unakuta nimewahi nimekaa zangu ndani ya gari mara anaingia sister duh anakuja anakaa pembeni yangu kimya kimya ata asalimii uwa sijui namuonaje kuna muda uwa napiga kimya hadi safari napoishia maana uwa naona kumshobokea mtu kumsalimia aliyekukuta ni kuuaibisha ukoo wangu na mimi pia.
Sijui kwa wengine kama hii hali wanaishuhudia ila nimekuwa naishuhudia ata mitaani na vyuoni ni ivyo ivyo binti anaweza kuwakuta mmekaa na asiwasalimie au akasalimia kwa majina kadhaa na sio wote 😀😀sijui uwa ni kitu gani kinawasumbua, ila kwa mimi nachoamini iyo ni tabia iliyojengeka kwao kutokana na wavulana tunavyowatreat wasichana tunajishusha sana mbele ya wasichana hadi wanatudharau na wanaona wana haki ya kila kitu kutoka kwetu hadi salamu 😀😀
Ningependa kusikia maoni ya wasichana na wanaume kuhusu ili suala ...
Habarini wanajamii Forums nimekuwa na kitu kinanishangaza sana tangu utoto hadi sasa kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu , imekuwa kawaida kwa jamii ya kiafrica mvulana kumshobokea mtoto wa kike yaani kuanza kumpa salamu ata kama kakukuta sehemu , maana navyojua mtu anapokukuta sehemu yeye ndo anatakiwa kukupa salamu na sio yeye afike na kukaa kimya kisha wewe ndo umpe salamu
Hii kitu nimeishuhudia mara kwa mara tangu nizaliwe hadi sasa , hii kitu imekuwa ikinikuta mara kwa mara labda nipo kwenye bus naenda mkoa fulani nimekaa zangu kwenye seat anakuja msichana seat ya pembeni yangu anafika na kukaa bila ata salamu aisee uwa nashindwa kumuanza kumsalimia au kwa kumuonea aibu nampa hi halafu nakausha, hii ishu pia kwenye usafiri wa umma uwa inatokea unakuta nimewahi nimekaa zangu ndani ya gari mara anaingia sister duh anakuja anakaa pembeni yangu kimya kimya ata asalimii uwa sijui namuonaje kuna muda uwa napiga kimya hadi safari napoishia maana uwa naona kumshobokea mtu kumsalimia aliyekukuta ni kuuaibisha ukoo wangu na mimi pia.
Sijui kwa wengine kama hii hali wanaishuhudia ila nimekuwa naishuhudia ata mitaani na vyuoni ni ivyo ivyo binti anaweza kuwakuta mmekaa na asiwasalimie au akasalimia kwa majina kadhaa na sio wote 😀😀sijui uwa ni kitu gani kinawasumbua, ila kwa mimi nachoamini iyo ni tabia iliyojengeka kwao kutokana na wavulana tunavyowatreat wasichana tunajishusha sana mbele ya wasichana hadi wanatudharau na wanaona wana haki ya kila kitu kutoka kwetu hadi salamu 😀😀
Ningependa kusikia maoni ya wasichana na wanaume kuhusu ili suala ...