Kwanini Watangazaji wengi wa Redio na Runinga Tanzania wanapenda kuishi 'Fake Life' tofauti na wale 'Wagumu Asilia' wa Magazeti?

Kwanini Watangazaji wengi wa Redio na Runinga Tanzania wanapenda kuishi 'Fake Life' tofauti na wale 'Wagumu Asilia' wa Magazeti?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na hata ukiwachunguza tu wa Redio na Runinga wengi wao ndiyo wanaongoza kwa Kupenda 'Kulelewa' na 'Mijimama', Wana Tamaa za Kipopoma ( Kipumbavu ), Wanafiki, Waongo, Wala Rushwa na wapenda Michongo sana, Wafitini na Wadangaji wengi utawakuta huko na hata ukitafuta 'walioathirika' na Gitaa pendwa la 'Dally Kimoko' ni kwamba 95% utawakuta huku.

Ila kwa wa Magazeti ( Wagumu Asilia ) wao wameridhika na Maisha yao, hawajivungi labda kwa kuona Aibu na hata Daladala wanapanda, wanakula kwa Mama Ntilie bila Kujibanza ( Kujificha ) wasionekane na hata ikitokea wameishiwa Nauli wao Kutembea kwa Ngoti ( Miguu ) kutoka Tazara Buguruni hadi Tegeta Nyuki kwao siyo tatizo na ndiyo huwa wana Akili, Mafanikio, Uvumilivu na Maendeleo ya Kimaisha.

Kuna Watangazaji Wawili Mmoja wa Redio na mwingine wa Runinga wa Jinsia Mbili tofauti kutoka katika Media Kubwa nchini moja ya Redio na nyingine ya Runinga walinikaribisha Makwao na nilichokikuta huko ni tofauti na 'Shobo' zao na 'Mikogo' yao wawepo 'Studioni' wakitusomea Taarifa zao za Habari Runingani na wakitutangazia Habari za Michezo Redioni.

Ninatamani niwataje, ila ninawastiri tu!!!
 
Watakuwa wanabanwa na mazingira yao ya kazi, kuuza sura kwenye luninga kila wakati halafu uwe na muonekano wa kuchoka haipendezi, haivutii hata kwa watazamaji, lazima wakaazime nguo hata kwa jirani ili waonekane maridadi.
 
Watakuwa wanabanwa na mazingira yao ya kazi, kuuza sura kwenye luninga kila wakati halafu uwe na muonekano wa kuchoka haipendezi, haivutii hata kwa watazamaji, lazima wakaazime nguo hata kwa jirani ili waonekane maridadi.
upo sahihi,wa gazetini hata akirudia nguo kila siku sio shida,yeye anachohitaji ni ka passport size kamoja tu atakaweka hako miaka yote
 
Watakuwa wanabanwa na mazingira yao ya kazi, kuuza sura kwenye luninga kila wakati halafu uwe na muonekano wa kuchoka haipendezi, haivutii hata kwa watazamaji, lazima wakaazime nguo hata kwa jirani ili waonekane maridadi.
Kuna Mmoja kila Siku katika 'Instagram' yake "anatupostia' anakula Vyakula vya Gharama na yuko Hotel Kubwa Pumbavu zake nimeenda Kwake kanilisha Ugali na Tembele za Jirani huku Maharage kaenda Kununua kwa Bibi Mmoja hivi Jirani. Kanikera mno Mkuu.
 
Na hata ukiwachunguza tu wa Redio na Runinga wengi wao ndiyo wanaongoza kwa Kupenda 'Kulelewa' na 'Mijimama', Wana Tamaa za Kipopoma ( Kipumbavu ), Wanafiki, Waongo, Wala Rushwa na wapenda Michongo sana, Wafitini na Wadangaji wengi utawakuta huko na hata ukitafuta 'walioathirika' na Gitaa pendwa la 'Dally Kimoko' ni kwamba 95% utawakuta huku.

Ila kwa wa Magazeti ( Wagumu Asilia ) wao wameridhika na Maisha yao, hawajivungi labda kwa kuona Aibu na hata Daladala wanapanda, wanakula kwa Mama Ntilie bila Kujibanza ( Kujificha ) wasionekane na hata ikitokea wameishiwa Nauli wao Kutembea kwa Ngoti ( Miguu ) kutoka Tazara Buguruni hadi Tegeta Nyuki kwao siyo tatizo na ndiyo huwa wana Akili, Mafanikio, Uvumilivu na Maendeleo ya Kimaisha.

Kuna Watangazaji Wawili Mmoja wa Redio na mwingine wa Runinga wa Jinsia Mbili tofauti kutoka katika Media Kubwa nchini moja ya Redio na nyingine ya Runinga walinikaribisha Makwao na nilichokikuta huko ni tofauti na 'Shobo' zao na 'Mikogo' yao wawepo 'Studioni' wakitusomea Taarifa zao za Habari Runingani na wakitutangazia Habari za Michezo Redioni.

Ninatamani niwataje, ila ninawastiri tu!!!
Nimecheka sana. Eti wagumu asilia.......
 
Na hata ukiwachunguza tu wa Redio na Runinga wengi wao ndiyo wanaongoza kwa Kupenda 'Kulelewa' na 'Mijimama', Wana Tamaa za Kipopoma ( Kipumbavu ), Wanafiki, Waongo, Wala Rushwa na wapenda Michongo sana, Wafitini na Wadangaji wengi utawakuta huko na hata ukitafuta 'walioathirika' na Gitaa pendwa la 'Dally Kimoko' ni kwamba 95% utawakuta huku.

Ila kwa wa Magazeti ( Wagumu Asilia ) wao wameridhika na Maisha yao, hawajivungi labda kwa kuona Aibu na hata Daladala wanapanda, wanakula kwa Mama Ntilie bila Kujibanza ( Kujificha ) wasionekane na hata ikitokea wameishiwa Nauli wao Kutembea kwa Ngoti ( Miguu ) kutoka Tazara Buguruni hadi Tegeta Nyuki kwao siyo tatizo na ndiyo huwa wana Akili, Mafanikio, Uvumilivu na Maendeleo ya Kimaisha.

Kuna Watangazaji Wawili Mmoja wa Redio na mwingine wa Runinga wa Jinsia Mbili tofauti kutoka katika Media Kubwa nchini moja ya Redio na nyingine ya Runinga walinikaribisha Makwao na nilichokikuta huko ni tofauti na 'Shobo' zao na 'Mikogo' yao wawepo 'Studioni' wakitusomea Taarifa zao za Habari Runingani na wakitutangazia Habari za Michezo Redioni.

Ninatamani niwataje, ila ninawastiri tu!!!
😂😂😂 we jamaa wewe!!, mmoja rafikiangu tumekuwa tunakutana hapa Maryland, tuna piga supu ya mikia kilamara mindio na pay bill, nikawanajiuliza huyujamaa vipi mbona anapenda kitonga sana kumbe life tough aisee.

Hawa wa tv, wana saloon zao maalum kabla hujaingia kipindi unang'arishwa kwanza hapohapo then unaingia kipindi alafu suti wanazo vaa ni sare zakazi.
 
XXL ya Clouds na Barazani ya Magic hawaishi kututambia jinsi kila mmoja wao alivyo na gari zuri as if we are interested
Mbaya zaidi hata TBCCM siku hizi ni porojo na kujichekesha ujinga ujinga
 
Back
Top Bottom