Miaka fulani tuliendaga tel avivNilishangaa kukutana na wabongo Mongolia mjini Ulaanbaatar, tulipiga sana stori jioni tuliyopanga tukutane
Yaani mkikutana kwa wenzetu mnakuwa karibu kama ndugu wa familia moja
Majibu ya kiongozi wa Chama hayaTanzania ni nchi bora sana duniani. Ukisafiri mikoani inatosha kupata kile ambacho ungekipata duniani kote.
Pia teknolijia ya sasa unaweza kwenda popote, kuonge na yeyote duniani ukiwa kijijini sitimbi na internet. Hata kuagizs chochote.
Kama huridhiki na nchi yako utakuwa unatamani kusafirisafiri hovyo.
Kabisa,wengi wanaosafiri nje ni ubishiHela za ku save zipo wapi mkuu hayo matibabu tuu mtihani? Wanaofanya hivyo ni wachache sana
Ukiwa na cash passport ni kitu kidogoHapo kwenye kupata paspoti uhamiaji nimekuelewa sana
Na kwanini hadi uwe na cash?Ukiwa na cash passport ni kitu kidogo
Unalainisha kidogo hata Kwa 2.5 unapata freshNa kwanini hadi uwe na cash?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1]twende wapi tukapate shida.
Tanzania ndio bustani ya Eden ilipo, Watanzania ndio Jews wenyewe...
3.ugumu wa kupata passport hasa ukiwa unatokea kigomaMwanamke aitwaye Cassandra de Pecol kutoka Connecticut, alifanikisha ndoto yake ya kutembelea nchi zote duniani, 193,
akiwa na umri wa miaka ishirini na saba.
Mpaka anafikisha miaka 18, Canada ndiyo nchi pekee aliyokuwa amefika, tena, ni kwa vile mama yake anatokea huko. Sababu kubwa iliyomfanya asisafiri akiwa mdogo ni uwezo mdogo wa kifedha.
Kufanikiwa kwake kuzitembelea nchi 193 ni jitihada zake binafsi. Anavyoonekana si tajiri, ila anapenda kusafiri. Lakini kuna Watanzania ambao pengine wana uwezo mkubwa kifedha kumzidi yeye lakini bado hawasafiri.
Ukizilinganisha nchi za Afrika Mashariki, hasa Kenya, Uganda, na Rwanda, Watanzania ndiyo wanaoongoza kwa kutokusafiri kwenda nchi zingine. Kwa nini hivyo?
1. Umaskini?
2. Lugha?
3. Ugumu wa upatikanaji wa passport?
4. Ushamba?
5. Utamaduni?
Sababu ni nini?
Hivi kweli, kwa mtu anayeishi Kigoma mpakani, anashindwaje kwenda alau Kigali au Bunjumbura? Na huyo naye itakuwa ni kwa sababu ya ugumu wa maisha, wakati mtu huyo anaweza akawa anasafiri Kigoma - Dar mara kadhaa kwa mwaka?3.ugumu wa kupata passport hasa ukiwa unatokea kigoma