mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Miaka fulani tuliendaga tel avivNilishangaa kukutana na wabongo Mongolia mjini Ulaanbaatar, tulipiga sana stori jioni tuliyopanga tukutane
Yaani mkikutana kwa wenzetu mnakuwa karibu kama ndugu wa familia moja
Huko tulikutana na watanzania waliyokaa muda mrefu sana huko
Kuna mzee mmoja huko alinikaribisha
Kwake somebody gasper matunda,aliniambia alipokuwa bongo
Alikuwa tanzania elimu supplies
Sema amejikita huko na yuko vzr alikuwa
Ova