Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

👏👏👏✅
 
Wengine watakuambia hawahitaji kwenda kwenye mbuga za wanyama kwa sababu teknolojia imewarahisishia🤣🤣🤣

Kwamba kwa video vivutio vilivyopo kwenye mbuga za wanyama🤣🤣🤣
 
1.

Siyo watz tu. Duniani kote ipo hivo
 
Kumbe ,wazungu hawana hizo Habari za MICHANGO YA UKOO,??

HEBU Tupe SoMo kidogo

Kwa maelezo hayo nimeona, Generational wealth plan ,ni Bora mara maelfu kuliko hizo Habari za MICHANGO YA UKOO
 
watanzania wanapenda sana kusafiri ila uhamiaji passport wanaona kama dhahabu kumpa mtu
 
Tanzania nchi ya amani ambapo ukiweka jitihada kidogo tu maisha yanakunyookea. Sababu kuu ni watu kuridhika na nchi yao na kutokuwa na sababu ya kuhangaika. Hao wakenya, Rwanda na Burundi wana dhiki kali kwenye nchi zao hivyo hawasafiri kwa kupenda.
Hata watalii wanaokuja kutalii Tanzania nao pia ni kwa sababu ya shida kwenye nchi zao?

Mkuu, wewe umeshawahi kutembelea hata hifadhi za Taifa hapa Tanzania?
 
Hata watalii wanaokuja kutalii Tanzania nao pia ni kwa sababu ya shida kwenye nchi zao?

Mkuu, wewe umeshawahi kutembelea hata hifadhi za Taifa hapa Tanzania?
Kwanza nimekulia kwenye kijiji kinachopakana na mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro. Hifadhi zote za kaskazini nimezivuruga. Nisingefaulu darasa la saba ningeenda kusomea Tour Guide. Una swali lingine?
 
Kwanza nimekulia kwenye kijiji kinachopakana na mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro. Hifadhi zote za kaskazini nimezivuruga. Nisingefaulu darasa la saba ningeenda kusomea Tour Guide. Una swali lingine?
Swali la nyongeza: kwa kusema kuwa umezivuruga unamaanisha kuwa umezitembelea kama mtalii au ilitokea tu kupita humo kama msafiri?
 
Swali la nyongeza: kwa kusema kuwa umezivuruga unamaanisha kuwa umezitembelea kama mtalii au ilitokea tu kupita humo kama msafiri?
Yote mawili. Kupita na kuzitembelea. Nikiwa mwanafunzi nimetembelea hizo hifadhi mara kadhaa. Huku ukubwani pia nimetembelea kreta Ngorongoro mara 2. Wewe ulishawahi tembelea hifadhi ipi?
 
Du na wewe kama Huna cha kuchangia si unasoma tu mkuu!!! Kutembea ni raha sana hata nchi zinazoizunguka bongo sio inatosha...
 
na hata wakisafiri ukikutana nao usiwaamini kwakweli, wamenitapeli mara mbili
utasikia bro nisaidie dola mia tatu hapo kuna vitu ninunue nikirudi bongo tu nakuwekea kwa akaunti,
akirudi bongo haweki , hata ukimchek anakua haeleweki sio poa
ishu nyingine ni lugha, lugha si English peke yake, hata French, spanish n.k lakini wengi hawajui, hivyo wanaona aibu kusafiri kwa sababu hawana uhakika wa lugha ya kuzungumza
atleast wafanyabiashara wanasafiri sababu pesa inawapa confidence wanaweza kuweka hata translator
Lakini all in all Tanzania sisi bado, tuko wenyewe kwetu hatutaki kutoka lakini hiyo confidence sasa,[emoji38][emoji38], utafikiri tumeyaona yote ya Dunia
 
Kusafiri ni muhimu. Jiwekee mpango wa kusafiri hata kama ni mara moja kwa mwaka.
 

Attachments

  • #Umuhimu_wa_kusafiri(720p).mp4
    39.2 MB
CCM wameharibu maisha ya vijana wengi sana, ujira wa elfu saba kwa siku umesababisha ongezeko la MACHAWA
 
Sikiliza wasemavyo wataalam kuhusu umuhimu wa kusafiri.
 

Attachments

  • Expert_Advice__The_Health_Benefits_of_Traveling(720p).mp4
    37.4 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…