GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #161
👏👏👏✅Mimi baada ya kujifunza Na kuelewa umuhimu wa kusafiri kiafya nimeazimia kuanzia kupanga na kusafiri kwa kuanzia maeneo ambayo naweza kuya -access Kwa urahisi.
Matharani unaweza kuanzia kwa level ya Wilaya , mikoa , nchi jirani , za mbali kisha ng’ambo.
Kwa kadiri ya uwezo wako.
Walau uanze karibu.
Imagine hata mbuga za wanyama watu hawaendi?!
Wengine watakuambia hawahitaji kwenda kwenye mbuga za wanyama kwa sababu teknolojia imewarahisishia🤣🤣🤣Mimi baada ya kujifunza Na kuelewa umuhimu wa kusafiri kiafya nimeazimia kuanzia kupanga na kusafiri kwa kuanzia maeneo ambayo naweza kuya -access Kwa urahisi.
Matharani unaweza kuanzia kwa level ya Wilaya , mikoa , nchi jirani , za mbali kisha ng’ambo.
Kwa kadiri ya uwezo wako.
Walau uanze karibu.
Imagine hata mbuga za wanyama watu hawaendi?!
1.Mwanamke aitwaye Cassandra de Pecol kutoka Connecticut, alifanikisha ndoto yake ya kutembelea nchi zote duniani, 193,
akiwa na umri wa miaka ishirini na saba.
Mpaka anafikisha miaka 18, Canada ndiyo nchi pekee aliyokuwa amefika, tena, ni kwa vile mama yake anatokea huko. Sababu kubwa iliyomfanya asisafiri akiwa mdogo ni uwezo mdogo wa kifedha.
Kufanikiwa kwake kuzitembelea nchi 193 ni jitihada zake binafsi. Anavyoonekana si tajiri, ila anapenda kusafiri. Lakini kuna Watanzania ambao pengine wana uwezo mkubwa kifedha kumzidi yeye lakini bado hawasafiri.
Ukizilinganisha nchi za Afrika Mashariki, hasa Kenya, Uganda, na Rwanda, Watanzania ndiyo wanaoongoza kwa kutokusafiri kwenda nchi zingine. Kwa nini hivyo?
1. Umaskini?
2. Lugha?
3. Ugumu wa upatikanaji wa passport?
4. Ushamba?
5. Utamaduni?
Sababu ni nini?
Kumbe ,wazungu hawana hizo Habari za MICHANGO YA UKOO,??Iko hivi ukiangalia wazungu wengi ni watu ambao wanafanya sana saving hata wenye vipato vya kawaida.
Wanaweza saving kwakuwa kwanza kiwango cha utegemezi kwao ni kidogo sana. Yani utakuta baba na mama wana mtoto mmoja au hawana na hamna mtu anaewaomba hela.
Hakuna sijui michango ya ukoo, sijui mtoto wa mjomba ada shule, mara rafiki anaoa, mara bibi anaumwa n.k
Birth control imesaidia wenzetu sana. Sisi huku mtu ana ndugu zaidi ya laki na akipata tu ka ajira ka kulipwa laki saba basi kila mtu anamtolea macho, vizinga visivyoisha.
Huyo mtu ata save sangapi ili aweze kutembelea nchi mbalimbali?
Kingine kwa wenzetu wa nje huko wengi wanakula generational wealth. Yani mtu anazaliwa anakuta familia iko well-off kuanzia vizazi kadhaa vilivyopita. So yeye anaendeleza kutengeneza hela tu na future ya kizazi chake so mambo kama kusafiri ni kawaida tu.
Chamwisho ni nchi yetu hii ina mifumo ya ajabu sana. Mtu kumiliki passport tu inaonekana kama vile ni jambo la ajabu sana. Ukienda uhamiaji kutaka passport inakuwa ni mchakato mgumu utadhani unataka kwenda mbinguni.
Nchi za wenzetu kuwa na passport ni kawaida na kila raia anayo kama document muhimu. Hapa kwetu passport inachukuliwa tofauti sijui kwanini CCM hawataki raia wamiliki passport?
Hata watalii wanaokuja kutalii Tanzania nao pia ni kwa sababu ya shida kwenye nchi zao?Tanzania nchi ya amani ambapo ukiweka jitihada kidogo tu maisha yanakunyookea. Sababu kuu ni watu kuridhika na nchi yao na kutokuwa na sababu ya kuhangaika. Hao wakenya, Rwanda na Burundi wana dhiki kali kwenye nchi zao hivyo hawasafiri kwa kupenda.
Kwanza nimekulia kwenye kijiji kinachopakana na mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro. Hifadhi zote za kaskazini nimezivuruga. Nisingefaulu darasa la saba ningeenda kusomea Tour Guide. Una swali lingine?Hata watalii wanaokuja kutalii Tanzania nao pia ni kwa sababu ya shida kwenye nchi zao?
Mkuu, wewe umeshawahi kutembelea hata hifadhi za Taifa hapa Tanzania?
Swali la nyongeza: kwa kusema kuwa umezivuruga unamaanisha kuwa umezitembelea kama mtalii au ilitokea tu kupita humo kama msafiri?Kwanza nimekulia kwenye kijiji kinachopakana na mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro. Hifadhi zote za kaskazini nimezivuruga. Nisingefaulu darasa la saba ningeenda kusomea Tour Guide. Una swali lingine?
Kumbe! Hongera.Tumeridhika na taifa letu kila kitu kipo kwetu
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Yote mawili. Kupita na kuzitembelea. Nikiwa mwanafunzi nimetembelea hizo hifadhi mara kadhaa. Huku ukubwani pia nimetembelea kreta Ngorongoro mara 2. Wewe ulishawahi tembelea hifadhi ipi?Swali la nyongeza: kwa kusema kuwa umezivuruga unamaanisha kuwa umezitembelea kama mtalii au ilitokea tu kupita humo kama msafiri?
Wakubwa wanakwepa usumbufu maana hawapo huru kama sisiKumbe! Hongera.
Lakini kwa nini wakubwa wenyewe wana tabia ya kila baada ya muda fulani kwenda kupumzika huko ng'ambo? Wenyewe hawana hiyo habari njema?
Du na wewe kama Huna cha kuchangia si unasoma tu mkuu!!! Kutembea ni raha sana hata nchi zinazoizunguka bongo sio inatosha...Tanzania ni nchi bora sana duniani. Ukisafiri mikoani inatosha kupata kile ambacho ungekipata duniani kote.
Pia teknolijia ya sasa unaweza kwenda popote, kuonge na yeyote duniani ukiwa kijijini sitimbi na internet. Hata kuagizs chochote.
Kama huridhiki na nchi yako utakuwa unatamani kusafirisafiri hovyo.
na hata wakisafiri ukikutana nao usiwaamini kwakweli, wamenitapeli mara mbiliMwanamke aitwaye Cassandra de Pecol kutoka Connecticut, alifanikisha ndoto yake ya kutembelea nchi zote duniani, 193,
akiwa na umri wa miaka ishirini na saba.
Mpaka anafikisha miaka 18, Canada ndiyo nchi pekee aliyokuwa amefika, tena, ni kwa vile mama yake anatokea huko. Sababu kubwa iliyomfanya asisafiri akiwa mdogo ni uwezo mdogo wa kifedha.
Kufanikiwa kwake kuzitembelea nchi 193 ni jitihada zake binafsi. Anavyoonekana si tajiri, ila anapenda kusafiri. Lakini kuna Watanzania ambao pengine wana uwezo mkubwa kifedha kumzidi yeye lakini bado hawasafiri.
Ukizilinganisha nchi za Afrika Mashariki, hasa Kenya, Uganda, na Rwanda, Watanzania ndiyo wanaoongoza kwa kutokusafiri kwenda nchi zingine. Kwa nini hivyo?
1. Umaskini?
2. Lugha?
3. Ugumu wa upatikanaji wa passport?
4. Ushamba?
5. Utamaduni?
Sababu ni nini?
CCM wameharibu maisha ya vijana wengi sana, ujira wa elfu saba kwa siku umesababisha ongezeko la MACHAWAIko hivi ukiangalia wazungu wengi ni watu ambao wanafanya sana saving hata wenye vipato vya kawaida.
Wanaweza saving kwakuwa kwanza kiwango cha utegemezi kwao ni kidogo sana. Yani utakuta baba na mama wana mtoto mmoja au hawana na hamna mtu anaewaomba hela.
Hakuna sijui michango ya ukoo, sijui mtoto wa mjomba ada shule, mara rafiki anaoa, mara bibi anaumwa n.k
Birth control imesaidia wenzetu sana. Sisi huku mtu ana ndugu zaidi ya laki na akipata tu ka ajira ka kulipwa laki saba basi kila mtu anamtolea macho, vizinga visivyoisha.
Huyo mtu ata save sangapi ili aweze kutembelea nchi mbalimbali?
Kingine kwa wenzetu wa nje huko wengi wanakula generational wealth. Yani mtu anazaliwa anakuta familia iko well-off kuanzia vizazi kadhaa vilivyopita. So yeye anaendeleza kutengeneza hela tu na future ya kizazi chake so mambo kama kusafiri ni kawaida tu.
Chamwisho ni nchi yetu hii ina mifumo ya ajabu sana. Mtu kumiliki passport tu inaonekana kama vile ni jambo la ajabu sana. Ukienda uhamiaji kutaka passport inakuwa ni mchakato mgumu utadhani unataka kwenda mbinguni.
Nchi za wenzetu kuwa na passport ni kawaida na kila raia anayo kama document muhimu. Hapa kwetu passport inachukuliwa tofauti sijui kwanini CCM hawataki raia wamiliki passport?
✅Muamko...
✅🙏🙏🙏Du na wewe kama Huna cha kuchangia si unasoma tu mkuu!!! Kutembea ni raha sana hata nchi zinazoizunguka bongo sio inatosha...