Kwanini Watanzania hawatawaunga mkono wapinzani (CHADEMA& ACT-Wazalendo) kwenye mgomo wao na maandamano

Tulieni, sana sana muongeze vifaru kabisa.2/11/2020 na kuendelea siku ya kwanza itakuwa na misukosuko lakini hatutakata tamaa .
 
Ningeshauri askari wawaache waandame mpaka wachoke wasiwaguse ngo wawalinde tuone mwisho wao ,nonsense miaka kumi na ushee bado mnaona mna haki tuu who are uuu
 

Wahenga walisema yenye uchungu ndio dawa.
Wapinzani wa Tanzania haswa ACT na CHADEMA wasiporudi nyuma na kujitafakari wanaenda kubaki kwenye historia ya nchi hii kama mfano wa magenge ya watu waliowahi kutumia mfumo demokrasia ya vyama vingi kufanya mambo ya ajabu kuwahi kutokea duniani ikiwamo kuihujumu nchi yao.

Asante kwa kuwaeleza Stephano Mgendanyi kwa kuwakumbusha walikoangukia, sasa ni maamuzi yao kuamua kubaki kuvijenga vyama vyao upya katika misingi ya ukweli wakizingatia uzalendo, au kuungana na wananchi kupokea, kukubali na boresha maendeleo yanayofanywa na kusimamiwa na serikali.

Na katika yote wajue hawawezi kuendelea kuwatumia wananchi wa Tanzania kuungana mkono juhudi za kumsaidia Tundu na bobuamstadamu wake kupata huo ushahidi wa maandamano wanaoutaka kwa udi na uvumba ili kuhhujumu nchi yetu, wala hakuna mwananchi wa Tanzania atakaekubali kuungana nao kubeza na kupinga maendeleo yanayofanya na rais John Pombe Magufuli
Stephano Mgendanyi tokea nianze kusoma humu nyuzi za wadau mbalimbali sijawahi kuona mdau aliyotoa hoja nzuri na yenye mashiko Kama wewe.Hii kwangu ndio best thread Hadi sasa.
mama D umeona hoja ya mdau huyu?
 
Uhuru gani ambao akina Mbowe, Zitto, na Lissu wanautaka? Kauli yao siyo nzuri ya kuwakatalia waliochaguliwa ubunge wa vyama vyao kukubaliana na msimamo wa vyama vyao kuukataa ubunge; angekuwa Mbowe au Zitto ameupata huo ubunge hiyo hoja angeikubali? Kwani hao wabunge waliochaguliwa wanawatumikia akina Mbowe, na Zitto au wanawatumikia wananchi? Wakati wanafanya kampeni hao viongozi walienda kuwapigia kampeni au waliwachangia hela za kupigia kampeni? Na siyo lazima wao akina Mbowe na Zitto na Lissu washinde, maana hata miaka iliyopita kuna watu walishindwa na wakawa wavumilivu.

Wapinzani kubalini kushindwa. Jipangeni msimu ujao.
Tuingie barabarani jamani. Our future is in our hands. Mwalimu Nyerere hakuogopa kudai uhuru toka kwa mkoloni mweupe. Vijana wa sasa tuna wajibu wa kudai uhuru toka kwa mkoloni mweusi.

View attachment 1616618
 
Uhuru gani ambao akina Mbowe, Zitto, na Lissu wanautaka? Kauli yao siyo nzuri ya kuwakatalia waliochaguliwa ubunge wa vyama vyao kukubaliana na msimamo wa vyama vyao kuukataa ubunge; angekuwa Mbowe au Zitto ameupata huo ubunge hiyo hoja angeikubali? Kwani hao wabunge waliochaguliwa wanawatumikia akina Mbowe, na Zitto au wanawatumikia wananchi? Wakati wanafanya kampeni hao viongozi walienda kuwapigia kampeni au waliwachangia hela za kupigia kampeni? Na siyo lazima wao akina Mbowe na Zitto na Lissu washinde, maana hata miaka iliyopita kuna watu walishindwa na wakawa wavumilivu.

Wapinzani kubalini kushindwa. Jipangeni msimu ujao.
Uhuru gani ambao akina Mbowe, Zitto, na Lissu wanautaka? Kauli yao siyo nzuri ya kuwakatalia waliochaguliwa ubunge wa vyama vyao kukubaliana na msimamo wa vyama vyao kuukataa ubunge; angekuwa Mbowe au Zitto ameupata huo ubunge hiyo hoja angeikubali? Kwani hao wabunge waliochaguliwa wanawatumikia akina Mbowe, na Zitto au wanawatumikia wananchi? Wakati wanafanya kampeni hao viongozi walienda kuwapigia kampeni au waliwachangia hela za kupigia kampeni? Na siyo lazima wao akina Mbowe na Zitto na Lissu washinde, maana hata miaka iliyopita kuna watu walishindwa na wakawa wavumilivu.

Wapinzani kubalini kushindwa. Jipangeni msimu ujao.
 
Uhuru gani ambao akina Mbowe, Zitto, na Lissu wanautaka? Kauli yao siyo nzuri ya kuwakatalia waliochaguliwa ubunge wa vyama vyao kukubaliana na msimamo wa vyama vyao kuukataa ubunge; angekuwa Mbowe au Zitto ameupata huo ubunge hiyo hoja angeikubali? Kwani hao wabunge waliochaguliwa wanawatumikia akina Mbowe, na Zitto au wanawatumikia wananchi? Wakati wanafanya kampeni hao viongozi walienda kuwapigia kampeni au waliwachangia hela za kupigia kampeni? Na siyo lazima wao akina Mbowe na Zitto na Lissu washinde, maana hata miaka iliyopita kuna watu walishindwa na wakawa wavumilivu.

Wapinzani kubalini kushindwa. Jipangeni msimu ujao.
Uhuru gani ambao akina Mbowe, Zitto, na Lissu wanautaka? Kauli yao siyo nzuri ya kuwakatalia waliochaguliwa ubunge wa vyama vyao kukubaliana na msimamo wa vyama vyao kuukataa ubunge; angekuwa Mbowe au Zitto ameupata huo ubunge hiyo hoja angeikubali? Kwani hao wabunge waliochaguliwa wanawatumikia akina Mbowe, na Zitto au wanawatumikia wananchi? Wakati wanafanya kampeni hao viongozi walienda kuwapigia kampeni au waliwachangia hela za kupigia kampeni? Na siyo lazima wao akina Mbowe na Zitto na Lissu washinde, maana hata miaka iliyopita kuna watu walishindwa na wakawa wavumilivu.

Wapinzani kubalini kushindwa. Jipangeni msimu ujao.
 
Uhuru gani ambao akina Mbowe, Zitto, na Lissu wanautaka? Kauli yao siyo nzuri ya kuwakatalia waliochaguliwa ubunge wa vyama vyao kukubaliana na msimamo wa vyama vyao kuukataa ubunge; angekuwa Mbowe au Zitto ameupata huo ubunge hiyo hoja angeikubali? Kwani hao wabunge waliochaguliwa wanawatumikia akina Mbowe, na Zitto au wanawatumikia wananchi? Wakati wanafanya kampeni hao viongozi walienda kuwapigia kampeni au waliwachangia hela za kupigia kampeni? Na siyo lazima wao akina Mbowe na Zitto na Lissu washinde, maana hata miaka iliyopita kuna watu walishindwa na wakawa wavumilivu.

Wapinzani kubalini kushindwa. Jipangeni msimu ujao.
Ningeshauri askari wawaache waandame mpaka wachoke wasiwaguse ngo wawalinde tuone mwisho wao ,nonsense miaka kumi na ushee bado mnaona mna haki tuu who are uuu
 
Uhuru gani ambao akina Mbowe, Zitto, na Lissu wanautaka? Kauli yao siyo nzuri ya kuwakatalia waliochaguliwa ubunge wa vyama vyao kukubaliana na msimamo wa vyama vyao kuukataa ubunge; angekuwa Mbowe au Zitto ameupata huo ubunge hiyo hoja angeikubali? Kwani hao wabunge waliochaguliwa wanawatumikia akina Mbowe, na Zitto au wanawatumikia wananchi? Wakati wanafanya kampeni hao viongozi walienda kuwapigia kampeni au waliwachangia hela za kupigia kampeni? Na siyo lazima wao akina Mbowe na Zitto na Lissu washinde, maana hata miaka iliyopita kuna watu walishindwa na wakawa wavumilivu.

Wapinzani kubalini kushindwa. Jipangeni msimu ujao.
 
Ningeshauri askari wawaache waandame mpaka wachoke wasiwaguse ngo wawalinde tuone mwisho wao ,nonsense miaka kumi na ushee bado mnaona mna haki tuu who are uuu
Uhuru gani ambao akina Mbowe, Zitto, na Lissu wanautaka? Kauli yao siyo nzuri ya kuwakatalia waliochaguliwa ubunge wa vyama vyao kukubaliana na msimamo wa vyama vyao kuukataa ubunge; angekuwa Mbowe au Zitto ameupata huo ubunge hiyo hoja angeikubali? Kwani hao wabunge waliochaguliwa wanawatumikia akina Mbowe, na Zitto au wanawatumikia wananchi? Wakati wanafanya kampeni hao viongozi walienda kuwapigia kampeni au waliwachangia hela za kupigia kampeni? Na siyo lazima wao akina Mbowe na Zitto na Lissu washinde, maana hata miaka iliyopita kuna watu walishindwa na wakawa wavumilivu.

Wapinzani kubalini kushindwa. Jipangeni msimu ujao.
 
Tatizo ninalo liona tz tunajitoa ufaham Sana Yani taifa lipo katika kipindi kigumu badala ya kushauri Nini kifanyike tusonge mbele ,mnakaa leta mada za maajabu ,za kujikomba, za uchama n.k alafu mwajihita wazalendo ,mpaka mda huu ni taifa kwanza sio ccm au jpm ,na Kama organ za nchi hamuoni kwamba taifa linaenda kuangamia kisa kwa sababu ya kikundi kidogo tu ambacho hakizidi watu mia tutu ,basi mtakua na tatizo,
Mpaka Sasa dalili ziko wazi kwamba mteule wa nec hatatambuliwa na jumuiya za kimataifa,lakini hamsemi na hamtaki mshauri Kama vile Sasa amekua juu ya taifa
Tamko la vyama jana sio la kupeza mtaani watu wanamajonzi na hasira,so msilete utani hapa kitawaka kwelikweli
Viongozi wa dini ambao tunawategemea kuwa msahada mkubwa kwa kipindi hiki mko kimia na mmejikita kusifia wakati taifa linaelekea kuzama alafu utamsikia eti Kuna kamati ya amani ya taifa,Sasa Mimi niseme ukweli nalipenda kweli taifa langu so sio mda wakumba mtu wakati taifa laekea kuzama
MWISHO NO WAY OUT lazima uchaguzi huu ufutwe na hapa sio ombi ni lazima kwa manufaa mapana ya taifa naamini ORGAN ZA NCHI MNAELEWA ,
KIKWETE ,MWINYI, KAMA WASTAHAFU LAZIMA MSIMAME SASA TENA KWA HAKILI KUBWA NA MSIMAMO MZITO MAANA MLIKUEPO NA MLIACHA TAIFA LIKIWA SAWA,MDA WA KUCHEKA UMEISHA ,TAIFA KWANZA
 
Watanzania wamechagua maendeleo na wanaenda na John Pombe Magufuli
ACT na CHADEMA waamue kubadilika kwa kuunga mkono juhudi za rais au wajitafakari na kujenga upya vyama vyao katika misingi ya haki, uzalendo na ukweli
 
me kila siku naingia barabarani mkuu kwenda kazin na kurud nyumban hiyo inanitosha kwa wanangu kupata mkate wao
 
Watanzania vurugu sio hulka yetu,Mwalimu Nyerere alitujenga kwenye misingi ya kuvumuliana na kusamehe.
Kwa nini hakubadilisha katiba,wakati alijua madhara yake kama akitokea rais dictator.
 
Kwa nini hakubadilisha katiba,wakati alijua madhara yake kama akitokea rais dictator.
Kwani na hapa Tanzania kuna kiongozi dikteta? Ni lazima ujue kutofautisha kati ya Rais dikteta na kiongozi mkali. Rais JPM ni kiongozi mkali ambaye ni mwepesi kuchukia uzembe. Ni mtu ambaye anataka matokeo tu ya kazi aliyokupa, na hana muda wa kubembeleza mtu. Msimamo huu ndiyo unamfanya aonekane ni mkali kupita kiasi.
 
Uhuru gani ambao akina Mbowe, Zitto, na Lissu wanautaka? Kauli yao siyo nzuri ya kuwakatalia waliochaguliwa ubunge wa vyama vyao kukubaliana na msimamo wa vyama vyao kuukataa ubunge; angekuwa Mbowe au Zitto ameupata huo ubunge hiyo hoja angeikubali? Kwani hao wabunge waliochaguliwa wanawatumikia akina Mbowe, na Zitto au wanawatumikia wananchi? Wakati wanafanya kampeni hao viongozi walienda kuwapigia kampeni au waliwachangia hela za kupigia kampeni? Na siyo lazima wao akina Mbowe na Zitto na Lissu washinde, maana hata miaka iliyopita kuna watu walishindwa na wakawa wavumilivu.

Wapinzani kubalini kushindwa. Jipangeni msimu ujao.
 
Watanzania wamechagua maendeleo na wanaenda na John Pombe Magufuli
ACT na CHADEMA waamue kubadilika kwa kuunga mkono juhudi za rais au wajitafakari na kujenga upya vyama vyao katika misingi ya haki, uzalendo na ukweli
Wanata kushika dola lakini hataki kujipanga. Sasa kama mpaka inafikia katikati ya kampeni lakini bado hawajaungana na kujua wanam support nani kwenye nafasi ya Rais (Membe au Maali Seif), Ubunge, na Udiwani, je watu hawa wako serious? Upinzani umekaa mjini tu, vijijini huko hawaonekani? Viongozi wao wengi wanaonekana Twitter, Instagram, na Facebook na kwenye social medias. Huko nje mtaani hata hawawajui. Kwenye hizi social media wamejaa kwa sehemu kubwa INTELLECTUALS tu, but VOTERS are both (Elite and non- elite person). Wapinzani wanafanya uchaguzi unakuta tathimini inaonyesha sehemu kubwa hawakusimamisha wagombea, bado tu wanategemea ushindi wa kishindo kutoka wapi?
 
Tulieni, sana sana muongeze vifaru kabisa.2/11/2020 na kuendelea siku ya kwanza itakuwa na misukosuko lakini hatutakata tamaa .
Uhuru gani ambao akina Mbowe, Zitto, na Lissu wanautaka? Kauli yao siyo nzuri ya kuwakatalia waliochaguliwa ubunge wa vyama vyao kukubaliana na msimamo wa vyama vyao kuukataa ubunge; angekuwa Mbowe au Zitto ameupata huo ubunge hiyo hoja angeikubali? Kwani hao wabunge waliochaguliwa wanawatumikia akina Mbowe, na Zitto au wanawatumikia wananchi? Wakati wanafanya kampeni hao viongozi walienda kuwapigia kampeni au waliwachangia hela za kupigia kampeni? Na siyo lazima wao akina Mbowe na Zitto na Lissu washinde, maana hata miaka iliyopita kuna watu walishindwa na wakawa wavumilivu.

Wapinzani kubalini kushindwa. Jipangeni msimu ujao.
 
Tulieni, sana sana muongeze vifaru kabisa.2/11/2020 na kuendelea siku ya kwanza itakuwa na misukosuko lakini hatutakata tamaa .
UKIWAONA HAWA KATIKA MAANDAMANO, ANDAMANA!!
---------------------------------

1. Ukimuona Dudley, mtoto wa kwanza na Freeman Mbowe na wadogo zake wakiongoza maandamano nawe andamana. Freeman Mbowe pekee hatoshi, yeye hawezi kupigwa risasi hata moja. Nafasi yake ya Uenyekiti wa Chama kikuu cha Upinzani nchini inamlinda, ni jicho la Dunia anatazamwa, hakuna risasi inayoweza kuelekezwa kwake hata moja. Pale Mkwajuni Kinondoni risasi ilimkwepa Mbowe ikamuua Akwiline Akwelina. Wazazi wake wanalia hadi sasa, hakuna kitu. Usipowaona watoto wa Freeman Mbowe usiandamane!!

2. Ukimuona Alicia Magabe na watoto wake wa damu andamana. Alicia ni mke wa Tundu Lissu ambae Urais wa Lissu unamhusu zaidi kuliko mimi na wewe. Ukimuona Tundu Lissu peke yake usidanganyike kuandamana. Lissu ndie aliegombea Urais kwa Chama kikuu cha upinzani akiungwa mkono na ACT Wazalendo, huyu ni icon ya uchaguzi, ndie mwanamkakati ktk maandano hayo. Dunia yote ipo kwake, akifa hakuna cha kujificha, mission INATIKI.

Hakuna Askari mpumbavu anaweza kulenga shabaha ktk mwili wa Lissu, risasi zitaelekezwa kwako. Utakufa na si ajabu usifahamike, taarifa zako hazitofika popote, utakufa kama Mbwa, utazikwa siku inayofuata ktk kabuli la futi mbili au usizikwe kabisa. Usipomuona Alicia na wanawe, usiandamane!!

3. Ukimuona Bi Fourtuna Salehe na Bi Aweina Sinani na watoto wao katika maandamano andamana. Hii ni familia ya Maalim Seif ambayo inasemwa kuwa imepelekwa Oman mafichoni tayari. Wanasema watu wameuawa Zanzibar lkn hakuna jina la mtoto wa Maalim Seif wala wa mtoto wa Jussa hata moja. Usiwe mjinga, hukuzaliwa kuwa chambo, hukuzaliwa kwa ajili ya Urais wa Maalim au Lissu. Wakiwa Marais wewe haitokusaidia chochote. Usipomuona mtoto wa Maalim Seif, wake zake na familia yake jilalie zako nyumbani hauna cha kupoteza.

4. Ukimuona Anna Bwana, Wiza na Josina ktk maandamano yaliyoitishwa na wewe ungana nao, andamana kwa moyo mkunjufu kabisa. Hii ni familia ya Zitto Kabwe, akiwa peke yake muache aendelee na kazi yake. Zitto Kabwe ni Kiongozi wa Chama cha upinzani (KC), ni jicho la Dunia hawezi kupigwa risasi taratibu za kuzuia maandamano zinamtambua na kumlinda. Usipomuona mke wake, watoto na ndugu zake wengine achana na kazi hiyo haina faida itakupeleka kuzimu bure.

5. Ukimuona Askofu Bagonza na mkewe, na watoto wake wote ktk maandamano andamana. Akiwa peke yake muombee kwa Mungu, usijiunge nae. Ukimuona Lema na watoto wake, Sugu na mke wake na watoto zake, Msigwa na wadogo zake kutoka Iringa, Heche na mkewe na watoto wake andamana.
Ukiwaona wao peke yao usiandamane, Ubunge na Urais wao hauna maana yoyote kwako. Maisha yako ni ya kwako peke yako, pambana!!
#USIANDAMANE!!
 

Walijisahau sana hao. Akili zao zilikua kwenye siasa za kabla ya 2015 bila kujua kwamba wananchi wanaenda sawa na rais John Pombe Magufuli kwa vitendo hadi hii 2020
Waache waendelee kulalamika ila watanzania wameshaamua
 

Waambie hao waelewe
Ujumbe muhimu sana huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…