Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,553
- 2,380
Hii gari nimeipenda sana ilivyo na nafasi ndani, siti zake za nyuma zinaweza kulala kuongeza nafasi ya mizigo. Bei zake ni za kizalendo sana, nadhani kwa class yake ni gari ya bei nafuu kuliko zote. Injini ni 2.4 na inakuhakikishia power na durability. Kwanini wabongo hawajazichangamkia sana?
SO FAR
1/ Watu hawapendi muonekano wake - imekaa kama zile gari za kubebea maiti
2/ Ukubwa wa injini
3/ Bei - haina uhakika
4/ Ni gari ya chini ; barabara zetu ni mtihani
Bado napenda kujifunza kwanini wabongo hawajaipokea kivile? Nikiiona naona ni kama NADIA ambayo ilipapatikiwa sana hadi leo sokoni zinaenda tu.
SO FAR
1/ Watu hawapendi muonekano wake - imekaa kama zile gari za kubebea maiti
2/ Ukubwa wa injini
3/ Bei - haina uhakika
4/ Ni gari ya chini ; barabara zetu ni mtihani
Bado napenda kujifunza kwanini wabongo hawajaipokea kivile? Nikiiona naona ni kama NADIA ambayo ilipapatikiwa sana hadi leo sokoni zinaenda tu.