Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muundo wa Family cars hizo. Sawa na NOAH na zinazofanana nazo. Hazifai kuitwa mnyama. Hizo zinaitwa mkusanyo maana zinakusanya hata 10 mnakaa humo mkijibana vzr. Gari nzuri kwa familia.View attachment 1818955
Mnyama noma sana kama kitu hujawahi kimiliki utaskia maneno mengi sana ..mwaka wa 2 nakamua nayo
[emoji23][emoji23][emoji23] rafiki haina chura lakini.Rafiki hiyo avatar yako nikiiona naona utundu mwingi sana.Hongera zako.
Zote hizo zinafanana na kitimoto,i hate them!Hio sio sedan lakini ni hatchback
Rafiki hiyo lips nimeielewa lakini,inaonyesha kuwa yaliyomo yamo!😄[emoji23][emoji23][emoji23] rafiki haina chura lakini.
Umejiwahi sio 😅😅😅[emoji23][emoji23][emoji23] rafiki haina chura lakini.
Sasa hiyo Mark X Zio ni Sedan?? UsikaririNachukia sana gari aina ya Sedan.Zinafanana na kitimoto.
Najua ni hatchback, usijione akili kubwa kwa mambo madogo na ya utopolo kama haya!Sasa hiyo Mark X Zio ni Sedan?? Usikariri
Ungemalizia ugly as f&*kThat thing is ugly!!
View attachment 1818955
Mnyama noma sana kama kitu hujawahi kimiliki utaskia maneno mengi sana ..mwaka wa 2 nakamua nayo
Tatizo kubwa wabongo hatujui kutofautisha magari na kipato. Kila mtu anataka gari zuri na la bei, tatizo ukilazimisha unajikuta unaumia tu. Unakuta mtu mwezi mzima amepaki gari kisa suspensions sijui sensor.Watanzania bado tuna ushamba wa kudharau aina za magari. Walianza wanigeria na sisi tumeiga.
Huu ni ushamba tu kama ushamba wa madem kushobokea iphone.
Na huu ushamba haujatuacha salama, unatugharimu ila hatujui maskini!.
Vipi muonekano wa Toyota Rumion?Tatizo kubwa wabongo hatujui kutofautisha magari na kipato. Kila mtu anataka gari zuri na la bei, tatizo ukilazimisha unajikuta unaumia tu. Unakuta mtu mwezi mzima amepaki gari kisa suspensions sijui sensor.
Kama nakupata, ila kwa nje inaonekana kama kubwa kingine iko juu si unajua tena barabara zetu, design kama family carMkuu mimi kwenye gari naangalia sana matumizi na mashine. Rumion imejibana sana, siwezi kufanya baadhi ya mambo humi ndani if you know what i mean.
Kama nakupata, ila kwa nje inaonekana kama kubwa kingine iko juu si unajua tena barabara zetu, design kama family car