Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mm napenda hatchbacks. kama hiyo. na nafikiri watu wametofautianaHahahaha ndio sababu nikasema muonekano wa hii gari sio mzuri. Kama mahitaji yako ni gari inayoonekana vizuri hapa umepotea.
Gari ambazo toka unanunua zina depreciate kila lisaa limoja.Wabongo gani hao unawasemea wakati wengi wana Mark X Crown Brevis zenye cc2500 au zaidi na ni za chini?!
Mkuu ukitoka IST kwa wingi zibafuata Crown. Anaenunua hivyo usemacho doesn't apply. Otherwise angenunua ISTGari ambazo toka unanunua zina depreciate kila lisaa limoja.
Watu wanayakimbia sana na wananunua kwa kushawishiwa kuwa sio kweli kama zinakula mafuta.
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Sorry brother, Subaru XT unaweza pata kwa shilingi ngapi kwa kuagiza nje? Hapa nchini wanazingua sanaNdio tatizo la kuwa mtu wa magari, hapa mjini mnapigwa/mnapiga sana. Kuuza au kununua gari hiyo milioni 22 ni wizi wa mchana kweupe. Kama unataka ya 2007, nikupeleke sehemu wakuuzie kwa milioni 11 leo hii.
mm napenda hatchbacks. kama hiyo. na nafikiri watu wametofautiana
alteza gita boraa aisee. mark 2 blit body design mbayaKuna mark 2 blit na alteza gita.. hizo vipi?
Nachukia sana gari aina ya Sedan.Zinafanana na kitimoto.
Zote zenye muundo huo pamoja na hatchback ni uchafu!Sidhani kama unafahamu vizuri gari zenye muundo wa sedan
Kuna mark 2 blit na alteza gita.. hizo vipi?
Hio sio sedan lakini ni hatchbackNachukia sana gari aina ya Sedan.Zinafanana na kitimoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rafiki au haina chura?Nachukia sana gari aina ya Sedan.Zinafanana na kitimoto.
Woiiiiiiiiiiiiii hapa ndo penyewe sasa, yaan ukiwa unasukuma una feel ile ladha husika ya ndinga yaaan.Nataka kama hili[emoji116]
View attachment 1817990
Rafiki hiyo avatar yako nikiiona naona utundu mwingi sana.Hongera zako.Woiiiiiiiiiiiiii hapa ndo penyewe sasa, yaan ukiwa unasukuma una feel ile ladha husika ya ndinga yaaan.