..kama mtakumbuka Mwalimu Nyerere alianzisha mpango wa quota system.
..mpango huo ulikuwa na lengo la kuidhibiti mikoa kama Kagera[ziwa magharibi] na Kilimanjaro isi-dominate ktk idadi ya wanafunzi wanaokwenda shule za serikali za sekondari.
..quota system iliweka pass mark ya juu zaidi ktk mikoa kama Kilimanjaro na Kagera, huku mikoa ya pembezoni ikipewa pass mark ndogo.
..maelezo ya Mwalimu yalikuwa ni kuleta usawa ktk upatikanaji wa fursa za elimu kwa kila Mtanzania.
..kuna watoto toka Kagera na Kilimanjaro walilazimika kubadilisha majina na kwenda mikoa yenye pass mark ndogo kurudia mitihani ya darasa la 7. je, akitokea mwananchi wa Kagera au Kilimanjaro akamlaumu Mwalimu kwa kumnyima elimu akiwa kwao atakuwa amekosea?
..kulikuwa na ubaya gani kwa Mwalimu kuboresha mazingira ya upatikanaji elimu ktk mikoa ya 'pembezoni' bila kuwawekea kuwawekea 'spidi gavana' au quota system wanafunzi wa Kagera na Kilimanjaro?
..kuna wataalamu wanadai wanafunzi waliotoka mikoa ya pembezoni na kubebwa kwa quota-system hawakuwa wameandaliwa vizuri hivyo matokeo yake waliishia kufanya vibaya walipofika sekondari.
..je, mwananchi wa mikoa ya pembezoni ana haki ya kumlaumu Mwalimu Nyerere kwa kutoboresha mazingira ya upatikanaji elimu na badala yake kuwapatia quota system ambayo in a long run didnt help them that much?
..mpango huo ulikuwa na lengo la kuidhibiti mikoa kama Kagera[ziwa magharibi] na Kilimanjaro isi-dominate ktk idadi ya wanafunzi wanaokwenda shule za serikali za sekondari.
..quota system iliweka pass mark ya juu zaidi ktk mikoa kama Kilimanjaro na Kagera, huku mikoa ya pembezoni ikipewa pass mark ndogo.
..maelezo ya Mwalimu yalikuwa ni kuleta usawa ktk upatikanaji wa fursa za elimu kwa kila Mtanzania.
..kuna watoto toka Kagera na Kilimanjaro walilazimika kubadilisha majina na kwenda mikoa yenye pass mark ndogo kurudia mitihani ya darasa la 7. je, akitokea mwananchi wa Kagera au Kilimanjaro akamlaumu Mwalimu kwa kumnyima elimu akiwa kwao atakuwa amekosea?
..kulikuwa na ubaya gani kwa Mwalimu kuboresha mazingira ya upatikanaji elimu ktk mikoa ya 'pembezoni' bila kuwawekea kuwawekea 'spidi gavana' au quota system wanafunzi wa Kagera na Kilimanjaro?
..kuna wataalamu wanadai wanafunzi waliotoka mikoa ya pembezoni na kubebwa kwa quota-system hawakuwa wameandaliwa vizuri hivyo matokeo yake waliishia kufanya vibaya walipofika sekondari.
..je, mwananchi wa mikoa ya pembezoni ana haki ya kumlaumu Mwalimu Nyerere kwa kutoboresha mazingira ya upatikanaji elimu na badala yake kuwapatia quota system ambayo in a long run didnt help them that much?