Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji849][emoji849][emoji849]ambao hatuna nyumba tunacomment wapi ?
Hivi siku hizi lipo hili jiwe ? Muda sijasikiaUnalijuwa jiwe Fatuma wewe!!!
Niliwahi kuibiwa gun boots za mtoto wangu ambazo house girl aliweka kwenye baraza ya nyuma ili adeki pale zilikokuwa zimehifadhiwa saa kumi na moja asubuhi, ghafla akaona kijana mdogo miaka kumi hivi (nyoka) akitambaa kuzifuata na kabla house girl hajaweza hata kupiga kelele nyoka alizinyakua na kukimbia nazo. Baada ya hapo nilijenga ukuta!Siku ukipata hela utajikuta tu umeshajenga ukuta.
Privacy ni muhimu lakini pia unapunguza vibaka na wadokozi wale wanaookota hadi kandambili za mgeni mlangoni
Hili ni mojawapo ya matukio mengiNiliwahi kuibiwa gun boots za mtoto wangu ambazo house girl aliweka kwenye baraza ya nyuma ili adeki pale zilikokuwa zimehifadhiwa saa kumi na moja asubuhi, ghafla akaona kijana mdogo miaka kumi hivi (nyoka) akitambaa kuzifuata na kabla house girl hajaweza hata kupiga kelele nyoka alizinyakua na kukimbia nazo. Baada ya hapo nilijenga ukuta!
Broo Tanganyika Nchi Gani huyo[emoji1787][emoji1787]Ukienda nchi za Ulaya na Marekani, nyumba zimepangwa eneo la wazi na hakuna uzio wa ukuta wala machuma.
Nyumba zenyewe za mbao, wanaishi kirahisi sana.
Ukija Tanganyika, nyumba zimejengwa kwa uzio wa zege na machuma, ati ndio maisha ya kisasa!
Kila mwenye hela lazima ajenge liukuta refu na mazege juu. Na siku hizi wamejikita kujenga MISAUZI basi unakuta jumba refuu lina manondo kama yote.
Mwanzoni nilijua ni swala la kiusalama kumbe la hasha. Ukienda Ulaya na Marekani kuna matishio makubwa zaidi tena ya silaha za moto.
Tanganyika wala hakuna tishio lolote zaidi ya vipanya vichache ambavyo vinashughulikiwa kikamilifu.
Sasa yale makuta marefu na mageti ya chuma huko Tanganyika ni USHAMBA au hofu ya kisichojulikana?
Unapo andk " Trespass" unamaansh nnTrespass kwa America ni Criminal Case kubwa ukipita nyumba ya mtu unaweza kupigwa risasi.
Tanzania hatuna utaratibu huo ndo maana watu wanajenga fensi
Hata huko pia kuna gate community ingia YouTube utaona.
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
😂😂😂 Utakua haujawahi kupigwa tukio la Mwaka wewe sio uzio tu na machumachuma na Mlinzi juu anawekwa yaan pamoja na uzio, machuma geti kubwa, CCTV camera, fences za waya wa umeme, na Mlinzi anawekwa getini ndio utaelewa wanamaanisha nini, mtu analala ndani na million 900 unataka afanyaje akae kizembe afundishwe adabu mjini?Ukija Tanganyika, nyumba zimejengwa kwa uzio wa zege na machuma, ati ndio maisha ya kisasa!
Hakuna kitu km hicho kuna nyumba zina zaidi ya Ulinzi sio ukuta tu na geti kubwa technology imekua sana tembea uone, usione tu zimekaa kizembe zingine zimefungwa mpaka IoT (Internet of Things) na haujui kwa hio jichanganye usimuliwe kumbe unaonwa tu yaan usije ukahisi hivyo hata kidogoNinacho hisi risk ya Nyumba ya Fensi mnaweza kutekwa wote Kimyah Kimyah na majiran wakaja kujua after wiki