Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wapenzi wa mpira tu ila suala la maendeleo na Elimu yenye tija tunaburuzwa sanaYanga tena
🔨🔨🔨Nakubali sana kuongea kwa statistic
Kula hiyo 🤝🤝
Ni kweliSisi wapenzi wa mpira tu ila suala la maendeleo na Elimu yenye tija tunaburuzwa sana
Nachukia hicho kituHapa kwetu lecture ni Mungu mtu .
duuuh kwaiyo Tatizo ni kiswahili au tatizo ni Quality ya elimu?Kiufupi Tanzania hakuna elimu Bali kunamakapi ya elimu.Ndiyo maana watu wanaokaa mipakani kama kule tarime na Tanga wengi wao wanasoma Kenya kuanzia shule ya msingi.Hivyo Hivyo na watu wa bukoba husoma Uganda kuanzia shule ya msingi na chuo.Hata watu wenye pesa au hata viongozi wetu huwezi kumwona mwanae anahangaika na vi vyuo uchwara vya hapa nyumbani.Mfumo wetu wa elimu ni wa hovyo hasa kwenye lugha ya kufundishia inawafanya wtz wawe nyuma Kila kitu.
Kwaiyo tunachojua ni mpiraSisi wapenzi wa mpira tu ila suala la maendeleo na Elimu yenye tija tunaburuzwa sana
jipige konzi kwa maamuzi ya kijuhaUbora wa elimu aisee, nilipata bahati ya kuchagua kati ya Bongo na UG
Kwa kujikuta mzalendo na kuwaza kuhusiana na kupata kazi nikachagua kusoma chuo bongo
Nilichokutana nacho kwenye masomo mbona nilijuta
Unakuta course ina jina konki na course outline imesheheni madini, lakini unachokuja kufundishwa mpaka unashangaa mwalimu anarashia rashia tu vile kasoma baba yako zama hizo ila desa mpaka leo
Halafu repetition kama zote, semester ya kwanza somo hilo hilo, ya pili hilo hilo pia ila inapewa jina la advanced, na hakuna cha ziada zaidi ya kuongezewa assignments
Wakati kitu ni kile kile
Dah bora ningeenda huko nje ya nchi
Tatizo ni lugha ndiyo iliyopelekea low quality education.ndiyo maana wtz waoga wa kuitafuta fursa nje ya Nchi Yao maana lugha za kimataifa ni tatizo kwao.Linganisha na watu Burundi au wakenyaduuuh kwaiyo Tatizo ni kiswahili au tatizo ni Quality ya elimu?
Boss huoni nchi nzima ana trend yule mzee wa Yanga akimtukana mtu 😄Kwaiyo tunachojua ni mpira
Ilikuwepo Wizara ya Elimu ya Juu,Sayansi na Teknolojia na Mzee Mkapa amewahi kuwa Waziri kwenye hiyo Wizara,yenyewe ilikuwa niasimamia Elimu ya Juu tu. Sasa wanasiasa wetu wakaivunja hiyo wizara na kuibebesha mzigo mzito Wizara ya ElimuAhahh sijajua vizuri kuhusu hilo
👍Ilikuwepo Wizara ya Elimu ya Juu,Sayansi na Teknolojia na Mzee Mkapa amewahi kuwa Waziri kwenye hiyo Wizara,yenyewe ilikuwa niasimamia Elimu ya Juu tu. Sasa wanasiasa wetu wakaivunja hiyo wizara na kuibebesha mzigo mzito Wizara ya Elimu
Nakubali🔨Boss huoni nchi nzima ana trend yule mzee wa Yanga akimtukana mtu 😄
Other than gossip hakuna zaidi
Mpira na Siasa mbovu
😂😂😂Bongo unakuta chuo kinachukua best student afundishe first year wajao. Unategemea tuwe na University za maana kweli.
Kimsingi chuo kikuu kinatakiwa wakufunzi wawe PhD holders ila bongo sasa ni huzuni kubwa.