ukifuatilia vizuri walio wengi ni vilaza hajaenda shule au kama amenda basi ameunga unga na akifuatilia kwa ukaribu maisha yake atakuwa ameishi uswahilini.
Msomi aliye elimika vizuri tungu mwanzo wa elimu kamwe hawezi kushindwa kutofautisha kati ya "R" na "L" chunguza utaona.
ni bora kuanzisha darasa rasmi la kuwafundisha hawa wasio jiweza kutofautisha kati ya " R" na "L"
tena kuwa na mtaala maalum.
hawa ndio wale tunashindwa kuwaelewa mfano;
Lais badala ya Rais
plesident badala ya Presedent.
sasa watu wa aina hiyo unaweza kusema wamesoma kweli?!
Msomi aliye elimika vizuri tungu mwanzo wa elimu kamwe hawezi kushindwa kutofautisha kati ya "R" na "L" chunguza utaona.
ni bora kuanzisha darasa rasmi la kuwafundisha hawa wasio jiweza kutofautisha kati ya " R" na "L"
tena kuwa na mtaala maalum.
hawa ndio wale tunashindwa kuwaelewa mfano;
Lais badala ya Rais
plesident badala ya Presedent.
sasa watu wa aina hiyo unaweza kusema wamesoma kweli?!