Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu Kabudi na Lukuvi aliwaaga kabisa tena akawapamba kwamba ameaacha si kwamba hawana uwezo Bali anahitaji vijana ila atawatumia kama washauri ktk mambo mbalimbali ya serikali na atakuwa anaibuka nao sehemu mbalimbali.Na Raisi , anaona shida kuwakaripia watu waliomzidi umri
Kwa mfano Prof Kabudi, mh Lukuvi nk wamerejeshwa na Nape Nauye, Angela Kairuki, January Makamba nk walirejeshwa na sasa wametumbuliwa tena
Kuna Siri gani katika kuwaamini Mno Watendaji wa Shujaa Magufuli?
Mtanikumbuka 😂😂
Mlale Unono 😀
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Mluzi kutoka Msoga ilimpoteza muwindajiKuna Siri gani katika kuwaamini Mno Watendaji wa Shujaa Magufuli?
Nadhani ile kauli ya mtanikumbuka tena kwa mazuri ina siri kubwa sana. Hili pia ni katika kukumbukwaKwa mfano Prof Kabudi, mh Lukuvi nk wamerejeshwa na Nape Nauye, Angela Kairuki, January Makamba nk walirejeshwa na sasa wametumbuliwa tena
Kuna Siri gani katika kuwaamini Mno Watendaji wa Shujaa Magufuli?
Mtanikumbuka 😂😂
Mlale Unono 😀
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Amekuta yalitomo yamo.Kwa mfano Prof Kabudi, mh Lukuvi nk wamerejeshwa na Nape Nauye, Angela Kairuki, January Makamba nk walirejeshwa na sasa wametumbuliwa tena
Kuna Siri gani katika kuwaamini Mno Watendaji wa Shujaa Magufuli?
Mtanikumbuka 😂😂
Mlale Unono 😀
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
shujaa wa familia yako , wew na mke wako na watoto wakoKwa mfano Prof Kabudi, mh Lukuvi nk wamerejeshwa na Nape Nauye, Angela Kairuki, January Makamba nk walirejeshwa na sasa wametumbuliwa tena
Kuna Siri gani katika kuwaamini Mno Watendaji wa Shujaa Magufuli?
Mtanikumbuka 😂😂
Mlale Unono 😀
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Shujaa wa kuzimuShujaa jpm!?
Labda kwa ukoo wako.
Pia kipindi kina February wanaondoka alisema Ummy teacher kawekwa kiporoMzee Mgaya endelea kula mtori nyama zipo chini.
Britanicca alisema mkeka ukitoka "Zakayo" ataondolewa lakini panga limemkosa.
Kulikoni mkuu vipi BT wanamla kichwa auHatimaye mstaafu atastaafu Rasmi.
Siri siriniKwa mfano Prof Kabudi, mh Lukuvi nk wamerejeshwa na Nape Nauye, Angela Kairuki, January Makamba nk walirejeshwa na sasa wametumbuliwa tena
Kuna Siri gani katika kuwaamini Mno Watendaji wa Shujaa Magufuli?
Mtanikumbuka 😂😂
Mlale Unono 😀
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Yaani JPM alikuwa na akili na mtu wa haki? Kazi ipoSimpo.. Ukiona Mtu mwenye Akili na wa Haki kama MAGUFULI, anampuuza mtu, basi ujue huyo mtu HAFAI KWELIKWELI.
Hasira za nini wewe January Makamba Team?. Kwanza nyie Team Makamba hamna uwezo, kazi kuwekea watu sumu na kufisadi nchi tu. Wapuuz wakubwa nyieshujaa wa familia yako , wew na mke wako na watoto wako
Wewe si umekaririshwa na Team za mchongo. Akili umekabidhi watu na hataki kufkir kabsa. Watu wakisema Flani mbaya na wewe unafuata mkumbo tu.Yaani JPM alikuwa na akili na mtu wa haki? Kazi ipo
Ngoja tuone Hatima ya Bashiru pia Kabla ya 2025Kwa mfano Prof Kabudi, mh Lukuvi nk wamerejeshwa na Nape Nauye, Angela Kairuki, January Makamba nk walirejeshwa na sasa wametumbuliwa tena
Kuna Siri gani katika kuwaamini Mno Watendaji wa Shujaa Magufuli?
Mtanikumbuka 😂😂
Mlale Unono 😀
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Watu wengi walishajua pumba ni zipi na mchele ni upi !Uchaguzi 2025 , timu ya ushindi ni Jina la Magufuli