Kwanini watoto wa Kiafrika ni Wajinga.?

Kwanini watoto wa Kiafrika ni Wajinga.?

Wacha kujidharau sio wote wajinga sehemu nimekaa kuna watoto wanajielewa unagundua tu ni kwamba vipaji vyao haviendelezwi

Uzunguni ndo na kuna matoto yanazaliwa mataira kabisa ndo maana wanayabust mapema kusoma
 
We ni mpuuzi sana tu,degree nimepata nna miaka 30.
Bila mimi hivyo vitoto vya kizungu havili vitashinda njaa
Siku nikigoma italetwa mpaka ambulance mlangoni nikatibiwe.
Mazingira yanafanya tusome ukubwani.
Naanza darasa la kwanza kajiunga john ana miaka 15,sikumcheka na alikua classmate safi sana.huyo jamaa kukesha na maji miguuni kwake poa tu.
Sijui atakua wapi leo ila la saba alitoboa kwenda Secondary.
We uko labda Poland huko au Romania.
Huko utulie tu.
 
Mleta mada sidhani kama lengo lako ujumbe huu ufikie jamii kubwa vinginevyo usingeuwasilisha kwa muktadha huu, japo unaweza kuwa wa maana haswa lakini uwasilishaji umeuondolea maana
 
Your thread is a bunch of bullshit and I can prove that.
You disagree?
 
Kama wewe ni PhD holder basi hii nchi imekwisha
 
Back
Top Bottom