Kwanini watoto wengi wanapenda wali-maharage?

Kwanini watoto wengi wanapenda wali-maharage?

Kiporo cha wali maharage ni hatari sana..hasa ukipige na chai ya rangi!
 
Mi naona hamko serious nyie hivi mnaijua wali sato au sangara na mchuzi mzito fulavi..!!
Nyie mnaopenda maharage ndo vibosile wa kujambaa na sio kunyampa[emoji28]
Kujamba ni ile puuuu! Yani umekosa ustahimilivu[emoji23][emoji28] Kunyampa inakuwa ni himilivu na stahimilivu hakina harufu ndo kina sie Wala sato... Sasa kuna wale cha yusufu hao ndo usiempenda kaja au kikulacho ki nguoni mwako [emoji23][emoji28]

Sato ni gharama wee tunajua ni tamu sanaa ila maharage chakula cha taifa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi napenda ubwabwa arage mpaka leo na ndevu zangu izi,na my wife anajua kabisa ili nirudi nyumbani mapema bila kupitia ulabu ananitaarifu kabisa Leo wali ndondo...
 
Mie maharage kwa kweli hapana, tangu utoto yalishanishinda, labda niweke nyama na mchuzi wa maharage kidunchu, au samaki na mchuzi wa maharage kidunchu. Ukiona nakula wali maharagwe wenyewe wenyewe jua kabisa sina option ya maisha siku hiyo.

Ndio maana boarding nilikuwa mkondefu wa kuwaza jinsi ya kula mandondo, Shuleni ikitokea kuna muuza mbogamboga za majani ilikuwa lazima niwe mteja wa kudumu. Bora wale ndugu zake maharage akina mbaazi, njegere, dengu, choroko na kunde lakini maharage kwangu big no!
 
Mie maharage kwa kweli hapana, tangu utoto yalishanishinda, labda niweke nyama na mchuzi wa maharage kidunchu, au samaki na mchuzi wa maharage kidunchu. Ukiona nakula wali maharagwe wenyewe wenyewe jua kabisa sina option ya maisha siku hiyo.

Ndio maana boarding nilikuwa mkondefu wa kuwaza jinsi ya kula mandondo, Shuleni ikitokea kuna muuza mbogamboga za majani ilikuwa lazima niwe mteja wa kudumu. Bora wale ndugu zake maharage akina mbaazi, njegere, dengu, choroko na kunde lakini maharage kwangu big no!
Vipi una Ulcers ama hupendi tu maharage?, mimi mbaazi,dengu,choroko duh sitaki bora ndondo tu
 
Naona mnatetea gesi zenu😂
Kitu sato ndani ya sahani na kachumvi kapilipili na limao pembeni 😋😋
Hamjawayi kujua tu

kwangu mimi vyakula bora ni samaki,kuku,mayai,maziwa,maharage,wali
 
Kuanzia nakua mpaka sasa wali maharage umekuwa 1st priority kwa watoto wengi wa kibongo!,

Ila nikawaza kuwa kuku ni mtamu even samaki but maharage limekuwa kinara kwa haya yote!,

Ila ni kwanini maharage kaja kuwa nothing kwa watu wengi, hasa baada ya watu kubalehe or kuvunja ungo?

Mtu akipevuka utaskia mimi napenda nyama na bear, or chips kuku or yai lakini i believe "1st always the best"

Maana maharage still our sons and daughter favorite food!,

Nikapata maswali machache
1, Maharage na wali ni brain stimuli?

2, Kwanini maharage ni priority mno kwenye shule zetu za boarding?

3, Why maharage kwa watu wenye vidonda vya tumbo ni harmful?

Is it bcz they stop it during their childhood so some enzyme adopt it and gafla zikaachishwa doz?
( lets imagine no any stomach reaction in stomach (a hoax about food),)

Ni mimi kwani peke yangu niliyependa ubwabwa ndondo?

NB: kama hukuwahi kula ubwaba harage, basi read and quite dont comment

Kipato cha Mtanzania ndiyo ilikuwa sababu kubwa ya maharage kutumika kwenye nyumba nyingi. Shuleni huwezi kuwa na bajeti ya nyama kila siku au kila mara kwani uwezo huo haukuwepo, vivyo hivyo kwenye ngazi ya familia, miaka ya nyuma ikipikwa nyama nyumbani ni sherehe ata kwenye familia za wafugaji. Kwa hiyo mimi naweza kusema pamoja na umuhimu wa maharage na vitamin zake kwa ujumla, suala la watoto kupenda maharage ni kwa sababu yapo kila siku ndani, sasa hivi hali hiyo haipo tena kwa kuwa chips , mihogo ya kukaanga,soda, juice, pilau, samaki, vimetamalaki. KWA HIYO UMASIKINI NDIYO ILIKUWA SABABU, UMESAHAU ENZI YA VILAKA KWENYE UNIFORM ZA SHULE NA NGUO ZA NYUMBANI? KUTEMBEA BILA VIATU LILIKUWA JAMBO LA KAWAIDA,PIGA PICHA YA MIAKA YA SABINI UTAKUBALIANA NA MIMI KAMA ULIKUWA UMEKWISHA ZALIWA
 
Back
Top Bottom