Kwanini watoto wengi wanapenda wali-maharage?

Kwanini watoto wengi wanapenda wali-maharage?

Vipi una Ulcers ama hupendi tu maharage?, mimi mbaazi,dengu,choroko duh sitaki bora ndondo tu

Sina ulcers, yaani siyaoni kama ni matamu tu kama mnavyoyasifia eti, lakini kaka yangu tulikua pamoja ni chakula chake pendwa hadi leo hii, mke wake lazima ahakikishe kuna maharage kwenye mlo.
 
limbwata hilo linafanya kazi, kenge we, dume unaacha kutafuta hela unashinda jikoni kukata vitunguu na kuonja chumvi.
Na wewe kutwa kushinda ndani na mkeo uku mnasikiliza mirindimo ya pwani na mauno juu.


Mimi bado sijaoa nakaa na madogo wa marehemu anko
 
tuwe tunaongea na fact, kitu kilipgwa kikabaki
IMG_20200506_161211.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe kutwa kushinda ndani na mkeo uku mnasikiliza mirindimo ya pwani na mauno juu.


Mimi bado sijaoa nakaa na madogo wa marehemu anko
😁😁😁😁 basi dogo yaishe naona unaanza kutoa siri za kambi, hii ndio shida ya kuishi na majirani wambea kama wewe.
 
Sijui kwanini sipendi wali harage..nakulaga tu nikiwa Sina m'badala wa mboga.
 
Mie maharage kwa kweli hapana, tangu utoto yalishanishinda, labda niweke nyama na mchuzi wa maharage kidunchu, au samaki na mchuzi wa maharage kidunchu. Ukiona nakula wali maharagwe wenyewe wenyewe jua kabisa sina option ya maisha siku hiyo.

Ndio maana boarding nilikuwa mkondefu wa kuwaza jinsi ya kula mandondo, Shuleni ikitokea kuna muuza mbogamboga za majani ilikuwa lazima niwe mteja wa kudumu. Bora wale ndugu zake maharage akina mbaazi, njegere, dengu, choroko na kunde lakini maharage kwangu big no!
Vipi una Ulcers ama hupendi tu maharage?, mimi mbaazi,dengu,choroko duh sitaki bora ndondo tu
Shuleni siku za kupikwa wali na maharagwe

Siku hizo tukiziita siku za punje kwa punje

Nilikua naishi na viongozi wao walikua wanachukua vindoo vidogo viwili vya wali mchanganyiko na ukoko
,basi siku za ugali maharagwe wao wakikua wanaenda tu kuchukua mboga tuu tunakula wali mpaka nikawa naumis ugali
cc: meta high school
 
Kuanzia nakua mpaka sasa wali maharage umekuwa 1st priority kwa watoto wengi wa kibongo!,

Ila nikawaza kuwa kuku ni mtamu even samaki but maharage limekuwa kinara kwa haya yote!,

Ila ni kwanini maharage kaja kuwa nothing kwa watu wengi, hasa baada ya watu kubalehe or kuvunja ungo?

Mtu akipevuka utaskia mimi napenda nyama na bear, or chips kuku or yai lakini i believe "1st always the best"

Maana maharage still our sons and daughter favorite food!,

Nikapata maswali machache
1, Maharage na wali ni brain stimuli?

2, Kwanini maharage ni priority mno kwenye shule zetu za boarding?

3, Why maharage kwa watu wenye vidonda vya tumbo ni harmful?

Is it bcz they stop it during their childhood so some enzyme adopt it and gafla zikaachishwa doz?
( lets imagine no any stomach reaction in stomach (a hoax about food),)

Ni mimi kwani peke yangu niliyependa ubwabwa ndondo?

NB: kama hukuwahi kula ubwaba harage, basi read and quite dont comment
Hawapendi Ni chakula kinachopatikana kwa urahisi kwenye familia zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom