Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Natamani kujua Kwa nini mtu hamwiti mtoto wake YUDA ISKARIOTEDaaah umewaza nini mkuu
Kwasabb majina huumba...NDIO maana wew ume ji ita dalali mkuu..........Wewe kwann huiti hayo majina?
We unaweza kumuita mwanao Id amin?Herode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........
Wasalaam
[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Padlock ππ MAGUFULIMagufuli
Y notWe unaweza kumuita mwanao Id amin?
Jembe hiliMagufuli
HaaahaaY not
Sawa NDIO maana Kuna watu wanaitwa....MEZAFarao ni cheo
Baba mdogo anaitwa YudaNatamani kujua Kwa nini mtu hamwiti mtoto wake YUDA ISKARIOTE
Ni Moja ya watu wachache sana....ata ivyo YUDA ISKARIOTE yupo PEPONI....Baba mdogo anaitwa Yuda
YesuHerode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........
Wasalaam
πΉπΏπΉπΏπΉπΏπΉπΏ
Mbona Ndugai anaitwa Belzebuli?Herode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........
Wasalaam
πΉπΏπΉπΏπΉπΏπΉπΏ