Kwanini watu hawawapi watoto wao majina haya?

Kwanini watu hawawapi watoto wao majina haya?

Kuna mtoto anaitwa Israel[emoji1]

NIKIPATA MTOTO MWINGINE WA KIUME NITAMWITA ISRAELI 😃😃

Mwanzo 32:24-30

24. Yakobo alibaki peke yake. Mtu mmoja akaja, akapigana naye mwereka mpaka alfajiri.
25. Mtu huyo alipoona kwamba hawezi kumshinda Yakobo, alimgusa Yakobo nyonga ya kiuno, naye akateguka alipokuwa anapigana naye mwereka.

26. Kisha yule mtu akamwambia Yakobo, “Niache niende zangu, kwani kunapambazuka.” Lakini Yakobo akamwambia, “Sikuachi kamwe, mpaka umenibariki!”
27. Naye akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akamjibu, “Yakobo.”

28. Yule mtu akamwambia, “HUTAITWA YAKOBO tena, bali ISRAELI, kwa kuwa umeshindana na Mungu na wanadamu, ukashinda.”

29. Ndipo Yakobo akamwambia, “Tafadhali, nakuomba uniambie jina lako.” Lakini yeye akamwambia, “Ya nini kuniuliza jina langu?” Kisha akambariki Yakobo.
30. Yakobo akapaita mahali hapo Penueli, akisema, “Nimemwona Mungu uso kwa uso, nami sikufa.”
 
NIKIPATA MTOTO MWINGINE WA KIUME NITAMWITA ISRAELI 😃😃

Mwanzo 32:24-30

24. Yakobo alibaki peke yake. Mtu mmoja akaja, akapigana naye mwereka mpaka alfajiri.
25. Mtu huyo alipoona kwamba hawezi kumshinda Yakobo, alimgusa Yakobo nyonga ya kiuno, naye akateguka alipokuwa anapigana naye mwereka.

26. Kisha yule mtu akamwambia Yakobo, “Niache niende zangu, kwani kunapambazuka.” Lakini Yakobo akamwambia, “Sikuachi kamwe, mpaka umenibariki!”
27. Naye akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akamjibu, “Yakobo.”

28. Yule mtu akamwambia, “HUTAITWA YAKOBO tena, bali ISRAELI, kwa kuwa umeshindana na Mungu na wanadamu, ukashinda.”

29. Ndipo Yakobo akamwambia, “Tafadhali, nakuomba uniambie jina lako.” Lakini yeye akamwambia, “Ya nini kuniuliza jina langu?” Kisha akambariki Yakobo.
30. Yakobo akapaita mahali hapo Penueli, akisema, “Nimemwona Mungu uso kwa uso, nami sikufa.”
Hilo ni Jina lenye baraka tele. Fanya chap kumpata kijana Me umpe hilo jina na hutojutia. 😀
 
Back
Top Bottom