Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #141
Mfalme BelishazarMy son anaitwa Belshazzar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfalme BelishazarMy son anaitwa Belshazzar
Sawa mkuu ICCA,Mbona rahisi..zaa wako umpe majina ayo na washawishi na nduguzo
Haahaa🤣🤣🤣Anaogopa akipata kazi atakua hamsaidii
Akiwa first born NDIO utaitwa mama herode....baba herodeInamana mama herode na baba herode hawakua watu?
anze na wewe mbona mwanao hujamwita hayo majinaHerode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........
Wasalaam
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
WewYes Shetani kabisa tena majina yalikuwa ya Wazazi wake na alihitimu Form Four kwa majina hayo hayo.
Johnnie Walker 🤓🤣🤣😊Tu
anze na wewe mbona mwanao hujamwita hayo majina
Haaahaa,Umbumbumbu. Enzi hizo Ali Kiba ndo anatamba kwenye music, kuna dada mmoja kijijini (RIP) kazaa mtoto wa kiume kampa jina Alikiba! Hakujua kuwa ni majina mawili yeye kaunga!
Johnnie Walker [emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji4]
Massachusetts 🤣🤣🤣🤣😂😂😂Naomba jna la mwanao
Wapo wengiKaini
Wapo wengi
huku kwetu wapo kibaoKuna mtoto anaitwa Israel[emoji1]
Anzaa kuwapa wakwako maana hata wewe ni mtuuuHerode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........
Wasalaam
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Daaaah..... Wewe ni mwanaume? Unapata wapi muda wa kukaa kufikiria jambo la kike kama hili? Ndo maana sasa hivi tunapata shida sana kugombana na mapapai. Haya bwana.Mkuu mm ni MWANAUME siwezi kuolewa....
Hapa tunajadili kwanini watu wengi hawapendi kuyatumia majina Fulani...😊
Asante Kwa mchango wako Chizi Maarifa
Akili zako kama jina lakoDaaaah..... Wewe ni mwanaume? Unapata wapi muda wa kukaa kufikiria jambo la kike kama hili? Ndo maana sasa hivi tunapata shida sana kugombana na mapapai. Haya bwana.
Ongezea na BaalHerode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........
Wasalaam
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿